Hakika ni mengi ameyafanya bado watu hatutaki kuamini.
Mi nauliza mbona wanaopinga ndio haohao wanaotumia vitu hivyo ???

Swala ni kwamba kumbe wanatukubalineeeh hahahha wataendelea kuisoma namba mpaka wakome mwaka huu.

Kama kuna mtu anaona hajafanya chochote basi wahame nchini waende nchi jirani huko mbona wanaruhusiwa tu jamani.
Hana mpinzani huyu Baba, kwa mapenzi ya dhati aliyonayo kwa Taifa letu na kwa sisi wananchi kiukweli anastahili miaka mitano tena.
Nitamchagua Magufuli
 
Hana mpinzani huyu Baba, kwa mapenzi ya dhati aliyonayo kwa Taifa letu na kwa sisi wananchi kiukweli anastahili miaka mitano tena.
Nitamchagua Magufuli
Kumbe hata na wewe unalitambua hilo?
#Tulipotokatunapokwenda
#MagufuliNiMafanikio
#AchaKaziIendelee
#hapakazituu

Hakika vijana tukiwa nguvu moja hakika TAIFA hili halitachukuliwa na mabeberu
 
Hakika ni mengi ameyafanya bado watu hatutaki kuamini.
Mi nauliza mbona wanaopinga ndio haohao wanaotumia vitu hivyo ???

Swala ni kwamba kumbe wanatukubalineeeh hahahha wataendelea kuisoma namba mpaka wakome mwaka huu.

Kama kuna mtu anaona hajafanya chochote basi wahame nchini waende nchi jirani huko mbona wanaruhusiwa tu jamani.
HASWAaaa ila kwakua watu tunataka mpaka tubustiwe ndio tuelewe


ILa kwa miMi kaMa kijana mzalendo na mpenda maendeleo ninasema aliyoyafanya Magufuli ni mengi sana sina budi 28/10/2020 kumpa kura yangu.
 
Katika miaka mitano ya muhula wa kwanza wa uongozi wa Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli licha ya kuwa ni Muumini wa dini ya Kikristo amekuwa akiongoza nchi kwa kushirikiana vema na viongozi na waumini wa dini ya Kiislam pamoja na waumini wa Madhehebu mengine yaliyopo Nchini.

Uongozi wake umekuwa una usawa kwa watu wa dini zote pasipo kuipendelea dini yoyote.

Pia, kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mhe. Rais Magufuli katika kampeni amekuwa akiwasisitiza wananchi kuwachagua viongozi pasipo kutazama itikadi zao za kidini bali watazame sera ambazo zinalenga kuliletea Taifa maendeleo.

Katika kudhihirisha kuwa Mhe. Rais Dkt. Magufuli abagui dini, amejenga msikiti Wilayani Chato ambao una uwezo wa kubeba waumini 5000 kwa wakati mmoja.

Pia Mhe. Rais Magufuli amewezesha mchakato kujengwa kwa msikiti mkubwa Kinondoni jijini Dar es salaam ambao aliiomba Serikali ya Morocco ijenge, ili waumini wa dini ya kiislamu wapate msikiti mkubwa ambao utawewezesha waumini wengi kuswali mahala pamoja kwa wakati mmoja.

Kadhalika, Mhe. Rais Magufuli alichangisha zaidi ya Shilingi Milioni 40 katika Uzinduzi wa Kanisa la Katoliki Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Jijini Dodoma kwa ajili ya ujenzi wa msikiti wa Chamwino Jijini Dodoma, kutokana na watu wa dini mbalimbali kuchangia fedha za ujenzi wa kanisa hilo.

Hakika tumepata Rais Mcha Mungu na anayewapenda wananchi wote pasipo kubaga imani zao za kidini.

Mungu Mbariki Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Mungu Ibariki Tanzania.
KWa mambo aliyoyafanya Dr MAGufuli ni mengi na hayawezi elezeka kabisa.



NDIO maana kuna muda hua namfananisha na BABA wa TAIFA hili mwal.Nyerere hawa ni watu wenye maono ya kutosha


KURA YANGU KWA MAHGUFULI
 
Hakika JPM5tena, Tarehe 29 October ngebe zinaisha za Wapinzani.
IMG-20201017-WA0203.jpg
 
Anaandika Sheikh, Dr Yahya Msangi(PHD).
LOME, TOGO.
SANAA YA MAANDAMANO NA SIKUKUU: NYUMA YA PAZIA KUNA WAKUBWA

Ni vyema wenzangu mkaelewa yanayojiri nchi nyingine ili mtafakari kwa makini.

Kumekuwa na harakati za kuandaa maandamano nchi mbalimbali Afrika toka kipite kimbunga cha ARAB SPRING. Kipunga kiklichoanzia Tunisia kikasambaa kwa kasi Misri. Lakini wengi hamjui mlengwa haswa wa kile kimbunga cha facebook na tweeter alikuwa nani. Hakuwa Tunisia wala hakuwa Misri!

Baada ya kumuua Sadam wababe wa kimagharibi walilenga mitutu na makombora yao kwa Algeria, Libya na Syria. Wengi mnajua kuhusu kilichofanywa Libya na sasa Syria. Lakini wengi hamjui kuhusu Algeria.

Algeria ni nchi ya 10 kwa ukubwa duniani (geographically). Nchi kubwa kama hiyo haikosi kuwa na mali asili zinazowatoa mate mafisi makubwa! Lakini pia Algeria imepakana na kina Morocco, Mali, Tunisia, Libya, Niger, Mauritania na Sahara ya Magharibi. Kutokana na hili Algeria inapakazwa kuwa ni mfadhili mkubwa wa vikundi vya kigaidi! Hakuna ushahidi wowote ila hila hii inafanywa ili kupata sababu ya kuivamia na kuivuruga Algeria.

Mfaransa bado hajamsamehe Algeria kwa kiichowakuta enzi ya vita ya ukombozi! Mfaransa bado anayataka mafuta ya Algeria. Mfaransa anaona Algeria ndio inaofadhili wa TOURAG wanaompiga vita kutokana na wizi wa Uranium kaskazini mwa Chad na Mali! Wapiganaji wa kitourag walikuwa wakihifadhiwa na Gadaffi. Watourag wanatetea mali zao na nchi yao iliyotwaliwa kwa mabavu na kampuni ya kifaransa inayochimba uranium! Kuna taarifa zisizo na shaka kuwa umeme woote unaowaka ufaransa unatokana na Uranium inayoibwa Chad na Mali. Mazingira, wanyama na watu wamelemaa kwa athari za uranium mfaransa hajali! Wakubwa wamefumba macho! Mijizi combined! Baada ya Libya kuvamiwa sasa ni Algeria inatafutwa! Ukumbuke Algeria ina utajiri mkubwa wa mafuta! Algiers na Cairo ndio miji pekee Africa in aundergroung transport system ya hadhi ya kimataifa!

Arab spring ililenga Algeria ikaja bahati mbaya akabondwa Tunisia na kipenzi chao Misri! Ndio maana pamoja na arab spring kupamba moto Misri na Tunisia zimekufa kifo cha mende! Waliokuwa nyuma ya Arab Spring walipoona mlengwa kakwepa wakatuliza ngoma! Vijana wa facebook na tweeter wakaumia buree!

Sasa kuna nchi 2 maandamano yanatumika kutaka kuzivuruga. Ni Tanzania na Togo. Kila moja na sababu zake tofauti.

Tuanze na Togo.
Togo ni kanchi kadogo kabisa barani Afrika. Nadhani ni Sao Tome na Principe pekee ndio ndogo kuliko Togo. Wakazi wa Togo ni kama milioni 8 hivi na mji mkuu wa Lome una wakazi takriban milioni moja. Ni mji ambao kwa tuliozoea Dar hauna mikikimikiki kabisa. Togo haina madini isipokuwa ina bandari maarufu toka enzi za ukoloni. Ikitumika kama bandari maalum kwa makoloni ya Ufaransa. Kwa kipindi cha kuanzia mwaka jana Togo imekabiliwa na maandamano mawili au matatu kila wiki! Mjumuiko wa vyama vya upinzani hapa (unaweza kuwaita UKAWA TOGO BRANCH) vimekuwa vikiandaa maandamano haya. Yamesababisha watu kufa na mali kuharibiwa kila yanapoitishwa. Ilishangaza watu ni wapi watu hawa ambao vyama vyao ni dhaifu mno walipotoa fedha za kuendesha maandamano kila wiki? Pia ikashangaza wengi ni kwa nini maandamano haya yamechukua sura ya udini? Baadhi ya mashehe na misikiti imetumika sana. Inashangaza kwa kuwa asilimia 54 ya watogo wanaamini vodoo!

Lakini wengine tunajua chanzo!

Mwaka jana Netanyahu alijitahidi kupitapita nchi mbalimbali za kiafrika na hata kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Afrika mjini Addis na kuhudhuria sherehe za kumuapisha Uhuru mjini Nairobi japo hakwenda kiwanjani! Netanyahu huyo huyo aliitisha kikao cha wakuu wa nchi za kiafrika wakati wa kikao cha UN General Assembly mjini New York kikao ambacho Kagame aligoma kuhudhuria! Agenda kuu ya Netanyahu ilikuwa kuomba nchi mojawapo ikubali kuandaa IZRAEL AFRICAN SUMMIT ili tu aonyeshe Izrael inakubalika Afrika na ili kuwadhibiti Wapalestina baada ya Taifa lao kutambulika. Izrael inamezea mate kiti Baraza la Usalama na inadhani Afrika itaunga mkono siku wakiwasilisha ombi. Katika harakati zake hizi alifanikiwa kuishawishi Togo iandae hiyo Summit.

Kabla hata Togo haijaanza maandalizi maandamano yakaanza! Nia ni kuizuia isiandae hiyo Summit na wahusika wanaungwa mkono na mataifa yoote ya kiarabu na baadhi ya mataifa mema ya Ulaya. Wanapinga Afrika kumpa Netanyahu karata ya kuendelea kuikandamiza Palestine na watu wake!

Kweli summit imeshindikana kuandaliwa kutokana na hizi vurugu lakini pia kutokana na mataifa mengi ya Afrika kuiambia Togo utahudhuria wewe na Netanyahu hiyo Summit! Hii ndio hali tete iliyopo Togo hivi sasa. Kuna maandamano ambayo nguvu inatoka nje! kelele za uchaguzi, tume huru, uvunjifu wa haki ni geresha tupu!

Turudi Tanzania
Toka JPM adhibiti uporaji wa kimataifa kwa kiwango cha kutishia maslahi ya nje pameibuka watu ambao kutwa kucha wanawaza maandamano! Huhitaji akili ya ziada kujua ni wao au wanaowalipa! Kwa ilivyo Tanzania wamekwama ila msiwadharau kamwe! Tayari wameanza kuingiza udini kwenye harakati zao! Tumeanza kuona baadhi ya viongozi wa kiroho wakigeuka kuwa wanasiasa! Hawakemei mambo ya kiroho wanakemea mambo ya kisiasa! Utashangaa kiongozi wa kiroho hakemei watu kusoma misa ya wafu mbwa! Hawakemei kiongozi wa kiroho kutoka hadharani na kumtukana kiongozi mwenzao wa kiroho eti ni mjinga na kala maharage! Wao kwao haya ni sawa! tatizo kwao ni katiba ya nchi!

Hapa Togo maandamano yamefikia ukomo! Serikali iliwakusanya viongozi woote wa UKAWA na kuwafungia ndani toka alfajiri hadi usiku wa manane wiki mbili zilizopita baada ya wao kutangaza maandamano tena! Wiki imepita sasa bila maandamano! Waandamanaji waliokuwa wakilipwa wamerejea makwao!

Najua Tanzania leo haikuwezekana ila serikali isidhani yameisha! Kuna watu na mataifa yanatamani amani itoweke wapenye kama walivypenya DRC, Libya, Syria, Iraq, Afghanistan, Somalia, Sudan na kwingineko! Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa sana uliokuwa ukinufaisha wengi! Sasa unanufaisha Tanzania imekuwa nongwa.

Serikali itafute dawa ya kukomesha maandamano! Haiwezekani maandamano yakafanywa ni mchezo wa kitoto! Maandamano yanayoshinikizwa na watu wa nje ni uhaini! Wahusika watendewe kama wahaini!

Najua makala ni ndefu lakini soma!
Hakuna kitu hapo, tumegawanywa tu sasa hivi hakuna umoja tena, viongozi wetu wanatakiwa kutuunganisha na kututendea inavyofaa, uzalendo umeshuka sana kutokana na yale wananchi wanayofanyiwa, hakuna mtanzania anayependa amani iliyopo itoweke lakini hiki kinachoendelea kwa sasa nchini kuna watu wanaona bora tukose wote. Ombi ni viongozi wasimame Kwenye HAKI waone kama Adui ataingia nchi hii, watu hawako tayari tena kuteseka ili wachache wafaidike. Na hapo ndipo viongozi wanapotudanganyia eti kwamba Wapinzani wanatumika! Acheni kutudanganya
 
KWa mambo aliyoyafanya Dr MAGufuli ni mengi na hayawezi elezeka kabisa.



NDIO maana kuna muda hua namfananisha na BABA wa TAIFA hili mwal.Nyerere hawa ni watu wenye maono ya kutosha


KURA YANGU KWA MAHGUFULI

KWa mambo aliyoyafanya Dr MAGufuli ni mengi na hayawezi elezeka kabisa.



NDIO maana kuna muda hua namfananisha na BABA wa TAIFA hili mwal.Nyerere hawa ni watu wenye maono ya kutosha


KURA YANGU KWA MAHGUFULI

IMG_7718.jpg

IMG_7719.jpg

IMG_7717.jpg
 
DR. JPM: SHUJAA WA DUNIA #MITANO5TENA

TAREHE 28.10.2020.

#Wakati Trump Na Marais Wengine Wakipambana Na Korona Kwa Nguvu Za Binadamu, Dr.JPM Alikua Akipambana Na Korona Kwa Sala, Maombi Na Kufunga,

#Wakati Marais Wengine Wa Afrika Wakichecheka Na Mabepari, MABEBERU Na Wasiopenda Maendeleo, Dr.JPM Amekua Akiwachana Makavu Dhidi Ya Dhuluma Na Uzandiki Wao Kwa Nchi MASIKINI Hasa TANZANIA,

#Wakati DUNIA Ukipambana Na Adui Maradhi, Dr. JPM Amekua Akipambana Na Adui Umasikini Wa Watanzania,

#Dr. JPM Ndiye Aliyeuweza Mfupa Uliowashinda Wengi TANZANIA Na Nje Ya Tanzania. Mfupa Wa "SERIKALI HAINA FEDHA, MADO NI MASIKINI",

#Wakati Trump Anawaza Kuikimbia MAREKANI, Dr. JPM Anapasha Kwa Pushapu Za Kuonesha Umara Wake Kiafya, Anawaza Kurejea Kuendeleza MIRADI MIKUBWA YA KIUCHUMI, NCHINI,

#Wakati Viongozi Wa Vyama Vya Siasa Afrika Vikiendesha Chaguzi Kwa Fedha Za Mikopo Na Misaada, Dr. JPM Amekimbia Aibu Ya Kuwa Ombaomba Kwa MABEBERU, Kwa Kuweza Kujikimu Katika Uchaguzi Mkuu,2020,

#Wakati Nchi Zingine Za Afrika Na Dunia Zikifunga Mipaka Na Kuzuia Raia Wake Wasitoke Nje Kwasababu Ya Ugonjwa Wa Korona, Dr. JPM Amewahamasisha Raia Wake Kuendelea Kuchapa Kazi, Ili Kujiletea Kipato Na Kukuza Pato La Nchi,

#Wakati Marais Wengine Wa Afrika Na Kwingineko Duniani, Wakiogopa Kuirejesha Mikataba Tata Ya RASILIMALI ZA NCHI Mezani Kuijadili ili Kupata HAKI YA RAIA ILIYOPORWA, Dr. JPM Ameweza Kukomaa Na Kampuni Za Kigeni Za Madini Katika Kutafuta Usawa Wa Unufaikaji Wa RAIA Katika Rasilimali Zao NCHINI,
*Nchi Imelipwa Mabulioni Na Kurejesha Heshima Ya RASILIMALI Za TANZANIA Dhidi Ya Mataifa Ya Kibepari Na Kibeberu,

#Wakati Viongozi Wengine Wakiamini Diplomasia Ya Nchi Inaimarishwa Na Rais Kuzurura Nje Ya Mipaka Ya Nchi, Dr. JPM Ametulia TANZANIA Na Diplomasia Ya Nchi Dhidi Ya Mataifa Ya Nje Ya Tanzania Ikizidi Kupaa Kwa Kiasharia Kikuu Cha Pato La Nje Ya Nchi Kupanda,

#Dr. JPM Ametoa Somo Kwa Viongozi Wa Nchi Zote Duniani, Kwamba Mungu Ndiye Kila Kitu Na Sio Lucifer, Kwa Sala Akazimisha Mipango Yote Ya Lucifer Ikiwemo Korona, Dhidi Ya TANZANIA Na Dunia.

#Wakati Viongozi Wengine Duniani, Wakipendelea Dini, Makabila Yao, Na Ukanda Wao, Dr. JPM Amejenga Misikiti, Makanisa, Barabara, Shule, Vituo Vipya Vya Afya, Hospitali, n.k Kwa Makabila Ya Rangi Zote, Dini Zote, Na Maeneo Yote Nchini,

#Wakati Marais Wengine Wakitumia Muda Mrefu Kubadilisha Nchi Zao Kimaendeleo, Kiuchumi Na Kijamii Kwa Dr. JPM Imemchukua Miaka 4 Na Miezi Tu, Kuibalidilisha Nchi From Zero To Heroine...

Nani Kama Magufuli, Shime Watanzania Wazalendo Tujitokeze Kwa Wingi Katika Vituo Vya Kupigia KURA Tukampigie Kura Za NDIYO Kipenzi Chetu Dr. JPM, Ili AIHAMISHIE UBELGIJI, Inayomzuzua Mgombea Wa Urais Wa Chama Cha MBOWE, Iwe Hapa Nchini, TANZANIA.
BAADA YA KUPIGA KURA TUREJEE NYUMBANI TUSUBIRIE TUME ITUTANGAZIE MATOKEO YA USHINDI WETU WA KISHINDO KWA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI WA CCM, 2020-25.
CCM 2020 HOYEEEEEE...
CCM 2020
IMG-20201021-WA0040.jpg
IMG-20201020-WA1477.jpg
IMG-20201020-WA1039.jpg
 
DR. JPM: SHUJAA WA DUNIA #MITANO5TENA

TAREHE 28.10.2020.

#Wakati Trump Na Marais Wengine Wakipambana Na Korona Kwa Nguvu Za Binadamu, Dr.JPM Alikua Akipambana Na Korona Kwa Sala, Maombi Na Kufunga,

#Wakati Marais Wengine Wa Afrika Wakichecheka Na Mabepari, MABEBERU Na Wasiopenda Maendeleo, Dr.JPM Amekua Akiwachana Makavu Dhidi Ya Dhuluma Na Uzandiki Wao Kwa Nchi MASIKINI Hasa TANZANIA,

#Wakati DUNIA Ukipambana Na Adui Maradhi, Dr. JPM Amekua Akipambana Na Adui Umasikini Wa Watanzania,

#Dr. JPM Ndiye Aliyeuweza Mfupa Uliowashinda Wengi TANZANIA Na Nje Ya Tanzania. Mfupa Wa "SERIKALI HAINA FEDHA, MADO NI MASIKINI",

#Wakati Trump Anawaza Kuikimbia MAREKANI, Dr. JPM Anapasha Kwa Pushapu Za Kuonesha Umara Wake Kiafya, Anawaza Kurejea Kuendeleza MIRADI MIKUBWA YA KIUCHUMI, NCHINI,

#Wakati Viongozi Wa Vyama Vya Siasa Afrika Vikiendesha Chaguzi Kwa Fedha Za Mikopo Na Misaada, Dr. JPM Amekimbia Aibu Ya Kuwa Ombaomba Kwa MABEBERU, Kwa Kuweza Kujikimu Katika Uchaguzi Mkuu,2020,

#Wakati Nchi Zingine Za Afrika Na Dunia Zikifunga Mipaka Na Kuzuia Raia Wake Wasitoke Nje Kwasababu Ya Ugonjwa Wa Korona, Dr. JPM Amewahamasisha Raia Wake Kuendelea Kuchapa Kazi, Ili Kujiletea Kipato Na Kukuza Pato La Nchi,

#Wakati Marais Wengine Wa Afrika Na Kwingineko Duniani, Wakiogopa Kuirejesha Mikataba Tata Ya RASILIMALI ZA NCHI Mezani Kuijadili ili Kupata HAKI YA RAIA ILIYOPORWA, Dr. JPM Ameweza Kukomaa Na Kampuni Za Kigeni Za Madini Katika Kutafuta Usawa Wa Unufaikaji Wa RAIA Katika Rasilimali Zao NCHINI,
*Nchi Imelipwa Mabulioni Na Kurejesha Heshima Ya RASILIMALI Za TANZANIA Dhidi Ya Mataifa Ya Kibepari Na Kibeberu,

#Wakati Viongozi Wengine Wakiamini Diplomasia Ya Nchi Inaimarishwa Na Rais Kuzurura Nje Ya Mipaka Ya Nchi, Dr. JPM Ametulia TANZANIA Na Diplomasia Ya Nchi Dhidi Ya Mataifa Ya Nje Ya Tanzania Ikizidi Kupaa Kwa Kiasharia Kikuu Cha Pato La Nje Ya Nchi Kupanda,

#Dr. JPM Ametoa Somo Kwa Viongozi Wa Nchi Zote Duniani, Kwamba Mungu Ndiye Kila Kitu Na Sio Lucifer, Kwa Sala Akazimisha Mipango Yote Ya Lucifer Ikiwemo Korona, Dhidi Ya TANZANIA Na Dunia.

#Wakati Viongozi Wengine Duniani, Wakipendelea Dini, Makabila Yao, Na Ukanda Wao, Dr. JPM Amejenga Misikiti, Makanisa, Barabara, Shule, Vituo Vipya Vya Afya, Hospitali, n.k Kwa Makabila Ya Rangi Zote, Dini Zote, Na Maeneo Yote Nchini,

#Wakati Marais Wengine Wakitumia Muda Mrefu Kubadilisha Nchi Zao Kimaendeleo, Kiuchumi Na Kijamii Kwa Dr. JPM Imemchukua Miaka 4 Na Miezi Tu, Kuibalidilisha Nchi From Zero To Heroine...

Nani Kama Magufuli, Shime Watanzania Wazalendo Tujitokeze Kwa Wingi Katika Vituo Vya Kupigia KURA Tukampigie Kura Za NDIYO Kipenzi Chetu Dr. JPM, Ili AIHAMISHIE UBELGIJI, Inayomzuzua Mgombea Wa Urais Wa Chama Cha MBOWE, Iwe Hapa Nchini, TANZANIA.
BAADA YA KUPIGA KURA TUREJEE NYUMBANI TUSUBIRIE TUME ITUTANGAZIE MATOKEO YA USHINDI WETU WA KISHINDO KWA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI WA CCM, 2020-25.
CCM 2020 HOYEEEEEE...
CCM 2020 View attachment 1606830View attachment 1606831View attachment 1606833

Magufuli ana mengi Haya wazo kuelezwa yakaenea hapa. Tuseme inatosha Sana kumjazia kura nyingi sana na wagombea wote wa CCM
JPM unatufaa sana.
 
66 Reactions
Reply
Back
Top Bottom