Acheni kuleta upuuzi Kwa maisha ya watu.
Watanzania awamu hii wanaangaika kupata chakula ili waishi tu
 
Tigershark, Punguza stress
Maisha wakati huu wa JPM ni the best ever

Angalia bei za viwanja vimeshuka
Angalia umeme kila kijiji
Angalia heshima makazini imerudi

Angalia ongezeko la mishahara kwa punguzo la kodi
 
Wana JF,Takwimu hazidanganyi kwa wale waliosoma takwimu za kimataifa ni dhahiri tupo uchumi wa kati

Kampeni za ccm zimepelekea maelfu ya wakulima,wafanyakazi na wafanyabiashara kujaza viwanja na kufurika

Wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania sasa wanapatiwa elimu bora kuliko wakati wowote ule tangu uhuru wa Taifa hili,Wanafunzi hawa wanaajirika na kukubalika kimataifa

Leo hii wafanyakazi wa serikali na wale wa sekta binafsi wamepunguziwa kodi kwa asilimia kubwa sana kuanzia mwezi July 2021.Punguzo la kodi limeongeza uwezo wa jamii kuuza na kununua

Upande wa wafanyabiashara kodi zimekuwa rafiki zaidi ukilinganisha na miaka mitano kabla ya JPM,Wafanyabiashara wanaruhusiwa kulipa kodi kwa majadiliano na Mamlaka ya mapato TRA

Aidha,Maelfu ya wanafunzi wameajiliwa serikalini kuanzia mwaka 2014 .Sekta ya afya zaidi ya madaktari mia sita wameajiriwa,Karibuni zaidi ya ajira elfu kumi na tatu za walimu zimetangazwa

Kwa upande wa wakulima mambo ni mazuri zaidi ,Wakulima wa nafaka na mikunde serikali imeimarisha uhimilivu wa bei hivyo bei kutoyumbishwa na madalali wachache,Hali hii imepelekea wakulima kulima na kuuza kwa wakati,Zao la korosho limeimarika kwa kipindi cha miaka mitano baada ya serikali kuingilia kati watu waliotaka kushusha bei kwa manufaa binafsi,Serikali iliamua kununua korosho zote na kulipa kwa wakati

Ni furaha,na Upendo kila kona ya nchi hii,Mzunguko wa pesa ni mzuri kwa wajasiriamali walio wengi na hii imepelekea kila mtu kula ,kununua na kufanya atakalo bila kuvunja katiba ya nchi

Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi kwa maendeleo ya watanzania wote
Hata kama ni kampeni, si vema kumdanga mtu mzima mwenye akili timamu ambaye pia si kipofu. Wafanyabiashara wengine ni sisi na tunaona kodi ilivyobana. Ndugu yangu alifunga duka Kariakoo kwa sababu ya kodi kubwa. Katika familia yetu kuna vijana 4 walimaliza chuo bila ajira hadi sasa. Bei za vitu madukani kwa miaka hii ziko juu kuliko 2015, mfano, sukari. Shuleni hakuna walimu wa kutosha kwa kuwa hakuna walimu walioajiriwa kipindi hiki cha miaka 5. Wana vijiji waliahidiwa mlioni 50 kila kijiji hawakupewa hivyo hawana furaha, komputa mpakato walizoahidiwa? Hawana furaha. Wafanyakazi hawakupandishwa mishahara wala madaraja hivyo hawana furaha. Uchumi wa kati ni suala kisomi ambalo mwananchi wa kawaida halielewi kwa kuwa haliakisi maisha yao moja kwa moja. Uchumi wa kati na maisha magumu.... ! Hata bima yua afya kwa wanayoitumia wamepunguza aina za dawa na baadhi ya huduma zinazolipiwa na bima, zahanati vijijini hakuna dawa za kutosha, na hakuna waganga na wauguzi wa kutosha na kila skta iko hoi.
Watu hawaji kwenye mikutano yenu kwa hiari zao. Shule zinafungwa na wanafunzi wanatakiwa wavae kiraia wahudhurie, ofisi zinafungwa na wafanyakazi wanatakiwa kuhudhuria kwa lazima, malori yanakodiwa kuleta watu kutoka mbali ambapo wale wa mbali sana hupewa elfu 5 ya kula na kadhalika. Magazeti yote, radio zote, tv zote mnatumia ninyi. Hata mango yote ya uraisi ni ninyi tu, hivyo watu hawafuriki kwa sababu ya furaha na kuridhika. Hali ni mbaya ila basi tu!
 
Punguza stress
Maisha wakati huu wa JPM ni the best ever

Angalia bei za viwanja vimeshuka
Angalia umeme kila kijiji
Angalia heshima makazini imerudi

Angalia ongezeko la mishahara kwa punguzo la kodi
Huwezi kufanya propaganda kwenye maisha ya watu maana wanapambana nayo kila siku!
Hizi porojo ni wachumia tumbo tu watazielewa!Hali ya maisha ya wananchi imedorora!Iko hivyo mtaani!
 
Wana JF,Takwimu hazidanganyi kwa wale waliosoma takwimu za kimataifa ni dhahiri tupo uchumi wa kati

Kampeni za ccm zimepelekea maelfu ya wakulima,wafanyakazi na wafanyabiashara kujaza viwanja na kufurika

Wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania sasa wanapatiwa elimu bora kuliko wakati wowote ule tangu uhuru wa Taifa hili,Wanafunzi hawa wanaajirika na kukubalika kimataifa

Leo hii wafanyakazi wa serikali na wale wa sekta binafsi wamepunguziwa kodi kwa asilimia kubwa sana kuanzia mwezi July 2020.Punguzo la kodi limeongeza uwezo wa jamii kuuza na kununua

Upande wa wafanyabiashara kodi zimekuwa rafiki zaidi ukilinganisha na miaka mitano kabla ya JPM,Wafanyabiashara wanaruhusiwa kulipa kodi kwa majadiliano na Mamlaka ya mapato TRA

Aidha,Maelfu ya wanafunzi wameajiliwa serikalini kuanzia mwaka 2014 .Sekta ya afya zaidi ya madaktari mia sita wameajiriwa,Karibuni zaidi ya ajira elfu kumi na tatu za walimu zimetangazwa

Kwa upande wa wakulima mambo ni mazuri zaidi ,Wakulima wa nafaka na mikunde serikali imeimarisha uhimilivu wa bei hivyo bei kutoyumbishwa na madalali wachache,Hali hii imepelekea wakulima kulima na kuuza kwa wakati,Zao la korosho limeimarika kwa kipindi cha miaka mitano baada ya serikali kuingilia kati watu waliotaka kushusha bei kwa manufaa binafsi,Serikali iliamua kununua korosho zote na kulipa kwa wakati

Ni furaha,na Upendo kila kona ya nchi hii,Mzunguko wa pesa ni mzuri kwa wajasiriamali walio wengi na hii imepelekea kila mtu kula ,kununua na kufanya atakalo bila kuvunja katiba ya nchi

Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi kwa maendeleo ya watanzania wote

Hoja hujibiwa kwa hoja bali si kwa matusi,Mwenye kupinga alete takwimu zake hapa JF

Je hatupo uchumi wa kati?
Je wanafunzi graduate wa udaktari na ualimu hawajaajiriwa?
Mnahangaika sana
 
Punguza stress
Maisha wakati huu wa JPM ni the best ever

Angalia bei za viwanja vimeshuka
Angalia umeme kila kijiji
Angalia heshima makazini imerudi

Angalia ongezeko la mishahara kwa punguzo la kodi
Viwanja vya wapi vimeshuka..!?
Mishahara imeongezwa lini..!?
Hiyo heshima ya kazi iliyorudi, ALIISHUSHA NANI..!?
 
Mkuu mimi nimekufahamu. Nimezaliwa uswahilini kwa hivyo Kiswahili ni lugha yangu mama. Asante sana.
 
Mkuu nilichosikia mitaani ni kwamba wakulima, wafanyakazi, wafanyabiashara, graduates na wanavyuo, October 28, 2020, eti WANA JAMBO LAO. :D

Hapa napeleleza jambo lipi?

Everyday is Saturday...............................:cool:
 
Wana JF, Takwimu hazidanganyi kwa wale waliosoma takwimu za kimataifa ni dhahiri tupo uchumi wa kati.

Kampeni za CCM zimepelekea maelfu ya wakulima, wafanyakazi na wafanyabiashara kujaza viwanja na kufurika.

Wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania sasa wanapatiwa elimu bora kuliko wakati wowote ule tangu uhuru wa Taifa hili, wanafunzi hawa wanaajirika na kukubalika kimataifa.

Leo hii wafanyakazi wa serikali na wale wa sekta binafsi wamepunguziwa kodi kwa asilimia kubwa sana kuanzia mwezi July 2020. Punguzo la kodi limeongeza uwezo wa jamii kuuza na kununua.

Upande wa wafanyabiashara kodi zimekuwa rafiki zaidi ukilinganisha na miaka mitano kabla ya JPM, Wafanyabiashara wanaruhusiwa kulipa kodi kwa majadiliano na Mamlaka ya mapato TRA.

Aidha, Maelfu ya wanafunzi wameajiliwa serikalini kuanzia mwaka 2014. Sekta ya afya zaidi ya madaktari mia sita wameajiriwa,Karibuni zaidi ya ajira elfu kumi na tatu za walimu zimetangazwa.

Kwa upande wa wakulima mambo ni mazuri zaidi, Wakulima wa nafaka na mikunde serikali imeimarisha uhimilivu wa bei hivyo bei kutoyumbishwa na madalali wachache,Hali hii imepelekea wakulima kulima na kuuza kwa wakati,Zao la korosho limeimarika kwa kipindi cha miaka mitano baada ya serikali kuingilia kati watu waliotaka kushusha bei kwa manufaa binafsi,Serikali iliamua kununua korosho zote na kulipa kwa wakati

Ni furaha,na Upendo kila kona ya nchi hii,Mzunguko wa pesa ni mzuri kwa wajasiriamali walio wengi na hii imepelekea kila mtu kula ,kununua na kufanya atakalo bila kuvunja katiba ya nchi

Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi kwa maendeleo ya watanzania wote

Hoja hujibiwa kwa hoja bali si kwa matusi,Mwenye kupinga alete takwimu zake hapa JF

Je hatupo uchumi wa kati?
Je wanafunzi graduate wa udaktari na ualimu hawajaajiriwa?
Jana nilisikitika kumsikia Rais pale iringa anasema amezalisha ajira mil 6,ktk maelezo yake ya hizo ajira anaelezea eti hospital na zahanati nyingi zimejengwa hivyo watu walipata ajira.......

Rais anajua tofauti ya ajira na vibarua kweli?
 
Jana nilisikitika kumsikia Rais pale iringa anasema amezalisha ajira mil 6,ktk maelezo yake ya hizo ajira anaelezea eti hospital na zahanati nyingi zimejengwa hivyo watu walipata ajira.......

Rais anajua tofauti ya ajira na vibarua kweli?
😂😂eti na waliowauzia mafundi chakula walipata ajira😂😂😂 si utani huu...
 
Back
Top Bottom