Pamoja
Tuna toa takwimu kwa sheria ipi?Ukumbuke na mlivyochoma Ofisi zenu Arusha mnatafuta Kiki.
Mambo mazuri mnayaona mnatatufutiza Vya uongo.
Wafanyakazi wote wapo na furaha zao makazini.
Corona inawapa faida kwani?
Watu wanachapa kazi , corona hapa hamna .
Mlikua mnatoa takwimu za uongo ili watu waogope kufanya kazi ili uchumi udorole JPM akashtuka. CCM mbele kwa mbele.
Uchumi Wa tumbo labda
Wanaelewa ila wana sumbuliwa na makusudiTumetekeleza kwa kishindo tunasonga mbele pamoja
magufuli is the presedent of all time in revotion
Mbona wilaya ya Magu mkuu wako kasema hapeleki maendeleo kisa n Mbunge wa upinzani na kodi wanalipa je n kona ipi unayosema?