Usisahau uteuzi wa katibu mkuu mpya wa wizara ya afya atakayehakikisha hakuna mgonjwa wa corona anayetangazwa
 

Ukumbuke na mlivyochoma Ofisi zenu Arusha mnatafuta Kiki.
Mambo mazuri mnayaona mnatatufutiza Vya uongo.
Wafanyakazi wote wapo na furaha zao makazini.
Corona inawapa faida kwani?
Watu wanachapa kazi , corona hapa hamna .
Mlikua mnatoa takwimu za uongo ili watu waogope kufanya kazi ili uchumi udorole JPM akashtuka. CCM mbele kwa mbele.
 
Ukumbuke na mlivyochoma Ofisi zenu Arusha mnatafuta Kiki.
Mambo mazuri mnayaona mnatatufutiza Vya uongo.
Wafanyakazi wote wapo na furaha zao makazini.
Corona inawapa faida kwani?
Watu wanachapa kazi , corona hapa hamna .
Mlikua mnatoa takwimu za uongo ili watu waogope kufanya kazi ili uchumi udorole JPM akashtuka. CCM mbele kwa mbele.
Tuna toa takwimu kwa sheria ipi?
 
Mimi nashangaa mtu akisema amerejesha nidhamu kazini, ni wajibu wa muajiri kuhakikisha nidhamu ya kazi inasimamiwa,kama nidhamu ya kazi ilikuwa imeshuka ni Chama gani kilikuwa kinatawala?
Kujenga reli ni strategy tu kama kunauhitaji ifanye hivyo, kwa kulikuwa na watz wamezuia?
Mtu anasema kajenga hostel, ni wajibu wa serikali kutoa huduma za kijamii kama elimu, afya n.k.ningefurahi kama angeboresha elimu kuliko kusifia ujinga.
 
Mbona wilaya ya Magu mkuu wako kasema hapeleki maendeleo kisa n Mbunge wa upinzani na kodi wanalipa je n kona ipi unayosema?
 
Mbona wilaya ya Magu mkuu wako kasema hapeleki maendeleo kisa n Mbunge wa upinzani na kodi wanalipa je n kona ipi unayosema?

Unaropoka tu. Fanya tathmini kwanza utaona maendeleo yalivyoelekwa kila kona ya nchi hii bila kujali mbunge ni wa chama gani . Hebu angalia hapo dar basi kidogo .
Upinzani wa kukataa hata ukweli ni upuuzi
 
Nahisi kuna tatizo baadhi ya maeneo, au hawajaelewa nini mgombea wetu alimanisha jana kuhusu kufunga mkono mwalimu self
IMG-20200908-WA0038.jpg
 
Katika Masuala ya jumla na ya kimataifa Tanzania imeweza kuongeza mapato, kutoka wastani wa shilingi bilioni 850 hadi shilingi Tilioni 1.5, Kuongeza makusanyo ya madini kutoka shilingi bililioni 160 hadi shilingi bilioni 528 mwaka 2019/2020. Kadhalika kuongeza makusanyo ya Halmashauri kutoka takribani shilingi bilioni 379 mwaka 2015 hadi shilingi bilioni 713.3 mwaka 2019/20. #MIAKAMITANOYAMAGUFULI
 
“Kumekuwa na ongezeko la mapato kwa Wachimbaji wakubwa. Mwaka 2016 waliuza dhahabu kilo 17,587.15 yenye thamani ya Dola za Marekani Mil 607.3 sawa na shilingi tilioni 1.4, Serikali ilipata Mrabaha wa thamani ya Dola za Kimarekani Mil 23.4 sawa na shilingi bilioni 53.81. Hadi mwezi Mei, Mwaka 2020 wameuza Kilo 21,652.77 zenye thamani ya Dola za Kimarekani Mil 949.8 sawa na shilingi tilioni 2.2 na kutoa Mrabaha wenye thamani ya Dola za Kimarekani mil 56.8 sawa na shilingi bilioni 130.64 “ #kazizaidi
 
Back
Top Bottom