Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Chama cha siasa kisicho na ajenda kinadandia hoja nyepesi nyepesi bila hata na kuwa na hoja endelevu
Mnaokoteleza hoja zenye mtazamo hasi kwenye jamii, Jamii imewachukia sana wapinzani wanalazimisha kusema kuwa hakuna amani ilihali amani imesheheni Tanzania.
Na mwaka huu wa uchaguzi bahati iliyoje watu wana vyakula wameshiba na mtu aliyeshiba huwa hadanfanyiki kiukweli Magufuli hana mpinzani wabunge wa Upinzani labda CCM. iamue tu kuwaachia lkn hakuna mpinzani hata mmoja awe diwani au mbunge atakayeshinda watu wamekasirika na siasa Chafu za kipumbavu za wapinzani.
Mnaokoteleza hoja zenye mtazamo hasi kwenye jamii, Jamii imewachukia sana wapinzani wanalazimisha kusema kuwa hakuna amani ilihali amani imesheheni Tanzania.
Na mwaka huu wa uchaguzi bahati iliyoje watu wana vyakula wameshiba na mtu aliyeshiba huwa hadanfanyiki kiukweli Magufuli hana mpinzani wabunge wa Upinzani labda CCM. iamue tu kuwaachia lkn hakuna mpinzani hata mmoja awe diwani au mbunge atakayeshinda watu wamekasirika na siasa Chafu za kipumbavu za wapinzani.