MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,928
- 6,849
Serikali hii ya awamu ya tano imefanikiwa sana kutekeleza miradi mikubwa wezeshi kiuchumi kwani miundombinu na maendeleo ni kama mishipa ya damu na cell ndani ya miili ya viumbe hai
haielekei kuwa na wewe ni mmojawapo wa hao watu unaowaita wenye "akili timamu" hata kidogo! jamani kichwa cha habari kirefu kuliko ufafanuzi wake?!