Ukweli upi huo unauma?!Ukweli unaumaa ☹☹
Barabara 8 Kimara---kibaha
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kafanya haya;
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------
Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;
Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji :
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
============
emie emie posted: Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea...Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa
Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa
Flyovers zinajengwa
Miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji. Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto..Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika ....hakika nidhamu imeimarika.
Kwa sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiasara bali si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio...Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
Hakika Namsifu Rais wetu...
Yan nmesoma coment za wachache ila naona humu mnalopoka sana akili kdgo mno unafkr kuna atakae weza jenga kitu kwa hela zake za mfukon kwake au unafkr vikodi vyako unavyolipa kwa kuvutana vtaweza kujenga irad mikubwa ndan ya miaka mitano au angesimamisha mirad yote ilioanzishwa ili ajenge yake naapo siungeongea sana aloo umu vijana mnashida sana bola mkapewe mashamba mlimishwe tu sio mlime wenyewe maana wengi mambumbu. Ww ni muwakilish tu naongelea wengi umu jamii.Watanzania wengi hasa wadogo ni mbumbumbu daraja la salenda linajenga kwa msaada wa south Korea, fly over zote ni pesa ya bank kuu ya dunia na walianza toka zamani ukiona daraja leo planning imeanza zaidi ya miaka 5. Airport imejengwa kwa miaka mingi tu lakini ndiyo inaisha. Hata treni plan haikuanza leo na plan ilikuwepo mpaka ya kujenga treni upande wa mtwara na lindi. Hebu tuletee budget ya serikali utuambie hizo fly over wamelipa lini pumba tu
Yan nmesoma coment za wachache ila naona humu mnalopoka sana akili kdgo mno unafkr kuna atakae weza jenga kitu kwa hela zake za mfukon kwake au unafkr vikodi vyako unavyolipa kwa kuvutana vtaweza kujenga irad mikubwa ndan ya miaka mitano au angesimamisha mirad yote ilioanzishwa ili ajenge yake naapo siungeongea sana aloo umu vijana mnashida sana bola mkapewe mashamba mlimishwe tu sio mlime wenyewe maana wengi mambumbu. Ww ni muwakilish tu naongelea wengi umu jamii.
Mod wameshafanya yao😂Hii hali inanishangaza kila nikiingia jukwaa hili la siasa thread nyingi ni za kukosoa utendaji wa kazi wa rais magufuri mambo mengi yamekuwa yanaibuliwa hapa pamoja na hayo lakini uko mtaani asilimia kubwa ya wananchi wanasema rais wao mpendwa anapiga kazi anawabana mafisadi mabinti wa instagram na wakina mama ndo huwaambii kitu wao hawana harakati za kutaka kujikomboa wala hawana habari kuhusu siasa wameshamua kutanguliza mapenzi kwa chama cha mapinduzi ccm kama mshabiki wa timu ata timu ifungwe bado utabaki kuwa mpenzi tukigeukia upande wa mtandao wa facebook vijana wengi wanamkubali rais magufuri kwa kiasi kikubwa wanafikia hadi hatua ya kusema rais aendelee kuinyoosha nchi hadi 2035 hali hii inaweza kukushangaza kama wewe ni mtumiaji tu wa jamiiforum hasa hili jukwaa la siasa cha mwisho nachotaka kusema chadema wanasafari ndefu sana kuingia ikulu tofauti na watu wanavyozani ni kazi rahisi kuwashawishi wananchi pamoja na mapungufu yanayoonekana awamu hii
Hayo ni maneno yako wewe!!!!!Hii hali inanishangaza kila nikiingia jukwaa hili la siasa thread nyingi ni za kukosoa utendaji wa kazi wa rais magufuri mambo mengi yamekuwa yanaibuliwa hapa pamoja na hayo lakini uko mtaani asilimia kubwa ya wananchi wanasema rais wao mpendwa anapiga kazi anawabana mafisadi mabinti wa instagram na wakina mama ndo huwaambii kitu wao hawana harakati za kutaka kujikomboa wala hawana habari kuhusu siasa wameshamua kutanguliza mapenzi kwa chama cha mapinduzi ccm kama mshabiki wa timu ata timu ifungwe bado utabaki kuwa mpenzi tukigeukia upande wa mtandao wa facebook vijana wengi wanamkubali rais magufuri kwa kiasi kikubwa wanafikia hadi hatua ya kusema rais aendelee kuinyoosha nchi hadi 2035 hali hii inaweza kukushangaza kama wewe ni mtumiaji tu wa jamiiforum hasa hili jukwaa la siasa cha mwisho nachotaka kusema chadema wanasafari ndefu sana kuingia ikulu tofauti na watu wanavyozani ni kazi rahisi kuwashawishi wananchi pamoja na mapungufu yanayoonekana awamu hii
Uzi wangu hauhusiani na ushauri nashangaa tu wameunganisha hukuHii hali inanishangaza kila nikiingia jukwaa hili la siasa thread nyingi ni za kukosoa utendaji wa kazi wa rais magufuri mambo mengi yamekuwa yanaibuliwa hapa pamoja na hayo lakini uko mtaani asilimia kubwa ya wananchi wanasema rais wao mpendwa anapiga kazi anawabana mafisadi mabinti wa instagram na wakina mama ndo huwaambii kitu wao hawana harakati za kutaka kujikomboa wala hawana habari kuhusu siasa wameshamua kutanguliza mapenzi kwa chama cha mapinduzi ccm kama mshabiki wa timu ata timu ifungwe bado utabaki kuwa mpenzi tukigeukia upande wa mtandao wa facebook vijana wengi wanamkubali rais magufuri kwa kiasi kikubwa wanafikia hadi hatua ya kusema rais aendelee kuinyoosha nchi hadi 2035 hali hii inaweza kukushangaza kama wewe ni mtumiaji tu wa jamiiforum hasa hili jukwaa la siasa cha mwisho nachotaka kusema chadema wanasafari ndefu sana kuingia ikulu tofauti na watu wanavyozani ni kazi rahisi kuwashawishi wananchi pamoja na mapungufu yanayoonekana awamu hii
Serikali hii ya awamu ya tano imefanikiwa sana kutekeleza miradi mikubwa wezeshi kiuchumi kwani miundombinu na maendeleo ni kama mishipa ya damu na cell ndani ya miili ya viumbe hai