Hongera sana serekali ya awamu ya tano chini ya mwamba RaISI JOHN POMBE MAGUFULI kwahaya machache tulioshughudia na kujionea siku hizi tano zilizopita
1 Tumeshughudia Amani ikitawala kipindi cha mkutano wa SADC hatujasikia tukio lolote la uvunjifu wa amani ,Hongera sana jeshi letu la police Tanzania na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ,Hongera sana mh Mkuu wa mkoa wa Dar es saalamu umefanya uhamasishaji wa hali ya juu kuhakisha kila Mtanzania anadumisha ulinzi hasa katika Jiji la Dar es saalamu
2 Hongera sana Raisi Magufuli kwakupigania lugha ya kiswahili hadi kua lugha rasmi katika jumuiya ya SADC, Sasa kiswahili nacho kitatumika kama lugha ya mawasiliano lakini pia hapo waalimu wengi watapata ajira kwenda kufundisha kiswahili katika nchi wanachama wa SADC
3, Jana tumejionea Waziri wa tamisemi kupitia ofisi ya Raisi mh Sulemani Jaffo akikabidhi magari ishirini na sita (26) kwa maafisa Elimu mkoa kwa mikoa yote Tanzania magari haya yaliombwa tangu serekali ya awamu ya nne, lengo la magari hayo nikufanya ukaguzi kwenye shule zetu na kujionea changamoto zinazokabili shule zetu Tanzania ,nakujionea mafanikio ya shule zetu , Hongera sana Raisi wetu kwa kuwapatia maafisa elimu magari haya ,Hongera sana waziri suleman jaffo tumeona juhudi zako katika wizara ya tamisemi kupitia ofisi ya Raisi .
 
Hoja namba 14 inaonyesha wazi ni jinsi gani huelewi amani na usalama kwa mapana yake. Huwezi kusema kasimamia katiba, amani na usalama ilihali kila kukicha waandishi wa habari wanapewa kesi zisizowahusu, wanatwkwa na kuteswa. Mfano mzurih Erick Kabendera na wengine. Achilia mbali mauaji ya raia kadhaa mkuranga, achilia mbali mashambulizi ya mauaji n. K. Sasa cjui hoyo amani na usalama inayoka wapih.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Taifa haliwezi kuendelea bila kuwepo kwa Demokrasia. Na demokrasia aliyoisema nyerere ni uhuru wa kuhoji, uhuru wa habari n. K. Katika awamu hiii ni wazi amani, demokrasia na usalama kwa kiasi kikubwa umezorota. Rejea ripoti kutoka umoja wa ulaya na USA
 
Watu hawana shukrani bana!
Alikuwepo Mwalimu wakamwita Mchonga au Musa, au Haambiliki.
Akaja Mwinyi wakasema anaendeshwa na Mama Sitti.
Kaingia Ben jamaa hawakupumzika, wakasema ana kiburi, kauza nchi
Akaja Kikwete ndo kabisa wakasema kameza miguu ya kuku, Ikulu hakukaliki
Sasa yupo Bull Dozer wa maendeleo, mzee wa Push Up.
Reli tunaziona , barabara tunaziona, Airports, Ndege, Umeme na anakomesha ufisadi.


Nyie watu, muachieni bana, JPM apige kazi
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga

============
emie emie posted: Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea...Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa

Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa

Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa

Flyovers zinajengwa

Miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe

Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji. Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.

Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto..Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.

Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.

Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.

Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika ....hakika nidhamu imeimarika.
Kwa sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiasara bali si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio...Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.

Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.

Hakika Namsifu Rais wetu...
Barabara 8 Kimara---kibaha
 
Watanzania wengi hasa wadogo ni mbumbumbu daraja la salenda linajenga kwa msaada wa south Korea, fly over zote ni pesa ya bank kuu ya dunia na walianza toka zamani ukiona daraja leo planning imeanza zaidi ya miaka 5. Airport imejengwa kwa miaka mingi tu lakini ndiyo inaisha. Hata treni plan haikuanza leo na plan ilikuwepo mpaka ya kujenga treni upande wa mtwara na lindi. Hebu tuletee budget ya serikali utuambie hizo fly over wamelipa lini pumba tu
Yan nmesoma coment za wachache ila naona humu mnalopoka sana akili kdgo mno unafkr kuna atakae weza jenga kitu kwa hela zake za mfukon kwake au unafkr vikodi vyako unavyolipa kwa kuvutana vtaweza kujenga irad mikubwa ndan ya miaka mitano au angesimamisha mirad yote ilioanzishwa ili ajenge yake naapo siungeongea sana aloo umu vijana mnashida sana bola mkapewe mashamba mlimishwe tu sio mlime wenyewe maana wengi mambumbu. Ww ni muwakilish tu naongelea wengi umu jamii.
 
Yan nmesoma coment za wachache ila naona humu mnalopoka sana akili kdgo mno unafkr kuna atakae weza jenga kitu kwa hela zake za mfukon kwake au unafkr vikodi vyako unavyolipa kwa kuvutana vtaweza kujenga irad mikubwa ndan ya miaka mitano au angesimamisha mirad yote ilioanzishwa ili ajenge yake naapo siungeongea sana aloo umu vijana mnashida sana bola mkapewe mashamba mlimishwe tu sio mlime wenyewe maana wengi mambumbu. Ww ni muwakilish tu naongelea wengi umu jamii.

Mafanikio mengi hasa ya ujenzi ni zaidi ya muhula mmoja lakini wengine hapa mnafanya kama vile hivi vitu vyote ni awamu moja. World bank ndiyo hao hao wengine hapa wanawaita mabeberu hivyo tuseme basi daraja limejegwa na mabeberu
 
kuna mambo uwa yanakosa mwendelezo na waandishi wa habari sijui waoga.

kule lile sakata la CT SCAN sijui pale muhimbili kwa msukumo ule niliamini huenda gharama itashuka na walau kifaa hicho kitafungwa kila hospitali ya mkoa
 
Hii hali inanishangaza kila nikiingia jukwaa hili la siasa thread nyingi ni za kukosoa utendaji wa kazi wa rais magufuri mambo mengi yamekuwa yanaibuliwa hapa pamoja na hayo lakini uko mtaani asilimia kubwa ya wananchi wanasema rais wao mpendwa anapiga kazi anawabana mafisadi mabinti wa instagram na wakina mama ndo huwaambii kitu wao hawana harakati za kutaka kujikomboa wala hawana habari kuhusu siasa wameshamua kutanguliza mapenzi kwa chama cha mapinduzi ccm kama mshabiki wa timu ata timu ifungwe bado utabaki kuwa mpenzi tukigeukia upande wa mtandao wa facebook vijana wengi wanamkubali rais magufuri kwa kiasi kikubwa wanafikia hadi hatua ya kusema rais aendelee kuinyoosha nchi hadi 2035 hali hii inaweza kukushangaza kama wewe ni mtumiaji tu wa jamiiforum hasa hili jukwaa la siasa cha mwisho nachotaka kusema chadema wanasafari ndefu sana kuingia ikulu tofauti na watu wanavyozani ni kazi rahisi kuwashawishi wananchi pamoja na mapungufu yanayoonekana awamu hii
 
Hii hali inanishangaza kila nikiingia jukwaa hili la siasa thread nyingi ni za kukosoa utendaji wa kazi wa rais magufuri mambo mengi yamekuwa yanaibuliwa hapa pamoja na hayo lakini uko mtaani asilimia kubwa ya wananchi wanasema rais wao mpendwa anapiga kazi anawabana mafisadi mabinti wa instagram na wakina mama ndo huwaambii kitu wao hawana harakati za kutaka kujikomboa wala hawana habari kuhusu siasa wameshamua kutanguliza mapenzi kwa chama cha mapinduzi ccm kama mshabiki wa timu ata timu ifungwe bado utabaki kuwa mpenzi tukigeukia upande wa mtandao wa facebook vijana wengi wanamkubali rais magufuri kwa kiasi kikubwa wanafikia hadi hatua ya kusema rais aendelee kuinyoosha nchi hadi 2035 hali hii inaweza kukushangaza kama wewe ni mtumiaji tu wa jamiiforum hasa hili jukwaa la siasa cha mwisho nachotaka kusema chadema wanasafari ndefu sana kuingia ikulu tofauti na watu wanavyozani ni kazi rahisi kuwashawishi wananchi pamoja na mapungufu yanayoonekana awamu hii
Mod wameshafanya yao😂
 
Hii hali inanishangaza kila nikiingia jukwaa hili la siasa thread nyingi ni za kukosoa utendaji wa kazi wa rais magufuri mambo mengi yamekuwa yanaibuliwa hapa pamoja na hayo lakini uko mtaani asilimia kubwa ya wananchi wanasema rais wao mpendwa anapiga kazi anawabana mafisadi mabinti wa instagram na wakina mama ndo huwaambii kitu wao hawana harakati za kutaka kujikomboa wala hawana habari kuhusu siasa wameshamua kutanguliza mapenzi kwa chama cha mapinduzi ccm kama mshabiki wa timu ata timu ifungwe bado utabaki kuwa mpenzi tukigeukia upande wa mtandao wa facebook vijana wengi wanamkubali rais magufuri kwa kiasi kikubwa wanafikia hadi hatua ya kusema rais aendelee kuinyoosha nchi hadi 2035 hali hii inaweza kukushangaza kama wewe ni mtumiaji tu wa jamiiforum hasa hili jukwaa la siasa cha mwisho nachotaka kusema chadema wanasafari ndefu sana kuingia ikulu tofauti na watu wanavyozani ni kazi rahisi kuwashawishi wananchi pamoja na mapungufu yanayoonekana awamu hii
Hayo ni maneno yako wewe!!!!!
 
Hii hali inanishangaza kila nikiingia jukwaa hili la siasa thread nyingi ni za kukosoa utendaji wa kazi wa rais magufuri mambo mengi yamekuwa yanaibuliwa hapa pamoja na hayo lakini uko mtaani asilimia kubwa ya wananchi wanasema rais wao mpendwa anapiga kazi anawabana mafisadi mabinti wa instagram na wakina mama ndo huwaambii kitu wao hawana harakati za kutaka kujikomboa wala hawana habari kuhusu siasa wameshamua kutanguliza mapenzi kwa chama cha mapinduzi ccm kama mshabiki wa timu ata timu ifungwe bado utabaki kuwa mpenzi tukigeukia upande wa mtandao wa facebook vijana wengi wanamkubali rais magufuri kwa kiasi kikubwa wanafikia hadi hatua ya kusema rais aendelee kuinyoosha nchi hadi 2035 hali hii inaweza kukushangaza kama wewe ni mtumiaji tu wa jamiiforum hasa hili jukwaa la siasa cha mwisho nachotaka kusema chadema wanasafari ndefu sana kuingia ikulu tofauti na watu wanavyozani ni kazi rahisi kuwashawishi wananchi pamoja na mapungufu yanayoonekana awamu hii
Uzi wangu hauhusiani na ushauri nashangaa tu wameunganisha huku
 
Habarini wanajamvi.....

Nimpongeze JPM Kwa kazi kubwa anazozifanya kupeleka Nchi mbele....

Kwa haraka haraka kumbe Tanzania siyo maskini tuna uwezo wa kufanya kila kitu mahospitali yanajengwa,barabara,ndege zinanunuliwa,Elimu bure Nchi nzima,madaraja yanajengwa hakika Tanzania tumepiga hatua kubwa sana...

CCM ndo chama pekee itakayowaletea wananchi maendeleo na siyo hivi vyama vingine vilivyojaa genge la wahuni
 
Haina haja ya kutumia nguvu nyiiingi kujinadi,kama hayo maendeleo yapo wananchi watayaunga mkono.Acha mti ujitukuze wenyewe kwa matunda yake.
Serikali hii ya awamu ya tano imefanikiwa sana kutekeleza miradi mikubwa wezeshi kiuchumi kwani miundombinu na maendeleo ni kama mishipa ya damu na cell ndani ya miili ya viumbe hai
 
Back
Top Bottom