Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,902
- 95,191
Amejidhalilisha sana yeye na familia yake
Mahaba yako yamezidi mno!
Mahaba yako yamezidi mno!
Hiki hapa chuma cha puaView attachment 1156987
Usije sema tu hata baba ako ni mwanamke! Njaa mbaya sana
Nawewe ni mwanamke pia kama mleta uziKamwulize DJ
Swali lako halina mashiko, ni sawa na kumuuliza mjamzito kama alifanya tendo la ndoa. Huyo ni mwanamke mkuu, au hujamwelewa wapi?Kwa hiyo we ni mwanamke?
Umethibitisha kuwa ni mwanaume?
amesimamia vyema UPORAJI WA KOROSHO ZETU KUSINI.Na Shilatu E.J
1. Amesimamia vyema utolewaji wa ELIMU BURE kuanzia shule ya msingi hadi sekondari kwa wanyonge.
2. Amesimamia vyema mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi nchini.
3. Amesimamia vyema kulinda maisha na kuhakikisha rasilimali za nchi ni mali ya Watanzania wote.
4. Amesimamia vyema nidhamu, uwajibika na uadilifu kwa Watumishi wa umma
5. Amefufua shirika la ndege la ATCL kutoka kutokuwa na ndege hadi kuwa na ndege mpya 6 za kisasa zinazopasua anga za kitaifa na kimataifa.
6. Amesimamia Tanzania kufika uchumi wa kati unaokuwa kwa asilimia 7.1% kupitia mafanikio ya sera ya Tanzania ya viwanda zaidi ya 3000 vilivyojengwa.
7. Amesimamia vyema Serikali kuhamia Dodoma ikiwa ni ndoto aliyoiacha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
8. Amejenga reli ya kisasa yenye kasi inayotumia umeme (SGR) na kufufua reli ya Dar - Tanga - Moshi Kilimanjaro.
9. Ameongeza makusanyo ya mapato ya ndani na kusimamia nidhamu ya matumizi ya pesa.
10. Amesimamia ujenzi wa mradi wa umeme Mto Rufiji wa Stiglers gogle utakaozalisha megawatts 2115.
11. Amesimamia ujenzi miundombinu ya kisasa ya mitandao ya barabara, flyover na madaraja.
12. Amekomesha biashara ya ujangiri na madawa ya kulevya nchini.
13. Ameleta maboresho ya afya nchini kwa kujenga hospital zaidi ya 57, vituo vya afya zaidi ya 350, ununuzi wa madawa na vifaa tiba hospitalini.
14. Ameisimamia vyema katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kulinda amani na usalama nchini hali inayofanya Watanzania tuendelee kujivunia uhuru wetu na kuvutia Watalii nchini.
15. Amejenga umoja, mshikamano wa kitaifa nchini.
*Rais Magufuli ameyafanya yote haya, Mimi ni nani haswa nisimchague tena 2020*
Mpe na tigo yako kabisa ikiwezekanaNa Shilatu E.J
1. Amesimamia vyema utolewaji wa ELIMU BURE kuanzia shule ya msingi hadi sekondari kwa wanyonge.
2. Amesimamia vyema mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi nchini.
3. Amesimamia vyema kulinda maisha na kuhakikisha rasilimali za nchi ni mali ya Watanzania wote.
4. Amesimamia vyema nidhamu, uwajibika na uadilifu kwa Watumishi wa umma
5. Amefufua shirika la ndege la ATCL kutoka kutokuwa na ndege hadi kuwa na ndege mpya 6 za kisasa zinazopasua anga za kitaifa na kimataifa.
6. Amesimamia Tanzania kufika uchumi wa kati unaokuwa kwa asilimia 7.1% kupitia mafanikio ya sera ya Tanzania ya viwanda zaidi ya 3000 vilivyojengwa.
7. Amesimamia vyema Serikali kuhamia Dodoma ikiwa ni ndoto aliyoiacha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
8. Amejenga reli ya kisasa yenye kasi inayotumia umeme (SGR) na kufufua reli ya Dar - Tanga - Moshi Kilimanjaro.
9. Ameongeza makusanyo ya mapato ya ndani na kusimamia nidhamu ya matumizi ya pesa.
10. Amesimamia ujenzi wa mradi wa umeme Mto Rufiji wa Stiglers gogle utakaozalisha megawatts 2115.
11. Amesimamia ujenzi miundombinu ya kisasa ya mitandao ya barabara, flyover na madaraja.
12. Amekomesha biashara ya ujangiri na madawa ya kulevya nchini.
13. Ameleta maboresho ya afya nchini kwa kujenga hospital zaidi ya 57, vituo vya afya zaidi ya 350, ununuzi wa madawa na vifaa tiba hospitalini.
14. Ameisimamia vyema katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kulinda amani na usalama nchini hali inayofanya Watanzania tuendelee kujivunia uhuru wetu na kuvutia Watalii nchini.
15. Amejenga umoja, mshikamano wa kitaifa nchini.
*Rais Magufuli ameyafanya yote haya, Mimi ni nani haswa nisimchague tena 2020*
Na Shilatu E.J
1. Amesimamia vyema utolewaji wa ELIMU BURE kuanzia shule ya msingi hadi sekondari kwa wanyonge.
2. Amesimamia vyema mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi nchini.
3. Amesimamia vyema kulinda maisha na kuhakikisha rasilimali za nchi ni mali ya Watanzania wote.
4. Amesimamia vyema nidhamu, uwajibika na uadilifu kwa Watumishi wa umma
5. Amefufua shirika la ndege la ATCL kutoka kutokuwa na ndege hadi kuwa na ndege mpya 6 za kisasa zinazopasua anga za kitaifa na kimataifa.
6. Amesimamia Tanzania kufika uchumi wa kati unaokuwa kwa asilimia 7.1% kupitia mafanikio ya sera ya Tanzania ya viwanda zaidi ya 3000 vilivyojengwa.
7. Amesimamia vyema Serikali kuhamia Dodoma ikiwa ni ndoto aliyoiacha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
8. Amejenga reli ya kisasa yenye kasi inayotumia umeme (SGR) na kufufua reli ya Dar - Tanga - Moshi Kilimanjaro.
9. Ameongeza makusanyo ya mapato ya ndani na kusimamia nidhamu ya matumizi ya pesa.
10. Amesimamia ujenzi wa mradi wa umeme Mto Rufiji wa Stiglers gogle utakaozalisha megawatts 2115.
11. Amesimamia ujenzi miundombinu ya kisasa ya mitandao ya barabara, flyover na madaraja.
12. Amekomesha biashara ya ujangiri na madawa ya kulevya nchini.
13. Ameleta maboresho ya afya nchini kwa kujenga hospital zaidi ya 57, vituo vya afya zaidi ya 350, ununuzi wa madawa na vifaa tiba hospitalini.
14. Ameisimamia vyema katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kulinda amani na usalama nchini hali inayofanya Watanzania tuendelee kujivunia uhuru wetu na kuvutia Watalii nchini.
15. Amejenga umoja, mshikamano wa kitaifa nchini.
*Rais Magufuli ameyafanya yote haya, Mimi ni nani haswa nisimchague tena 2020*
“Jemedali”...then f** you!
Sijui ni kwanini majitu ambayo ni mashabiki ya Jiwe hua hayajui kuandika Kiswahili sahihi!?
I wonder why!
Hizo ni ndio fact mkuu,punguza povu
Hata wewe hukuandika kiswahili sahihi“Jemedali”...then f** you!
Sijui ni kwanini majitu ambayo ni mashabiki ya Jiwe hua hayajui kuandika Kiswahili sahihi!?
I wonder why!
Watanzania tulio wengi tunamwelewa sana Raisi Magufuli hawa wachache wanaompinga na kumkosoa ni wale waliozoea kuishi kwa ujanja na ufisadi ,Tunajiuliza hawa walitaka Rais wa namna gani, tumeshughudia na tumejioneo miradi mingi saana ikianzishwa na kufanikiwa mifano michache ya miradi . kajenga vituo vya afya zaidi ya mia tatu, reli ya kisasa kutoka Dar kwenda kanda ya ziwa, tumejionea juzi alhamisi treni ya mizigo ikitoka tanga kwenda kilimanjaro amekaraba reli ya tanga hadi kilimanjaro, Elimu bure , miundombinu ya barabara anaiborosha mfano Dar es saalam UBUNGO tunajionea anachokifanya hapo, madawa hospitalin yameongezeka , Watanzania tuendelee kumwombea Raisi wetu zidi ya maadui yaliotafuna taifa hili ,
Na Shilatu E.J
1. Amesimamia vyema utolewaji wa ELIMU BURE kuanzia shule ya msingi hadi sekondari kwa wanyonge.
2. Amesimamia vyema mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi nchini.
3. Amesimamia vyema kulinda maisha na kuhakikisha rasilimali za nchi ni mali ya Watanzania wote.
4. Amesimamia vyema nidhamu, uwajibika na uadilifu kwa Watumishi wa umma
5. Amefufua shirika la ndege la ATCL kutoka kutokuwa na ndege hadi kuwa na ndege mpya 6 za kisasa zinazopasua anga za kitaifa na kimataifa.
6. Amesimamia Tanzania kufika uchumi wa kati unaokuwa kwa asilimia 7.1% kupitia mafanikio ya sera ya Tanzania ya viwanda zaidi ya 3000 vilivyojengwa.
7. Amesimamia vyema Serikali kuhamia Dodoma ikiwa ni ndoto aliyoiacha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
8. Amejenga reli ya kisasa yenye kasi inayotumia umeme (SGR) na kufufua reli ya Dar - Tanga - Moshi Kilimanjaro.
9. Ameongeza makusanyo ya mapato ya ndani na kusimamia nidhamu ya matumizi ya pesa.
10. Amesimamia ujenzi wa mradi wa umeme Mto Rufiji wa Stiglers gogle utakaozalisha megawatts 2115.
11. Amesimamia ujenzi miundombinu ya kisasa ya mitandao ya barabara, flyover na madaraja.
12. Amekomesha biashara ya ujangiri na madawa ya kulevya nchini.
13. Ameleta maboresho ya afya nchini kwa kujenga hospital zaidi ya 57, vituo vya afya zaidi ya 350, ununuzi wa madawa na vifaa tiba hospitalini.
14. Ameisimamia vyema katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kulinda amani na usalama nchini hali inayofanya Watanzania tuendelee kujivunia uhuru wetu na kuvutia Watalii nchini.
15. Amejenga umoja, mshikamano wa kitaifa nchini.
*Rais Magufuli ameyafanya yote haya, Mimi ni nani haswa nisimchague tena 2020*