Na Shilatu E.J

1. Amesimamia vyema utolewaji wa ELIMU BURE kuanzia shule ya msingi hadi sekondari kwa wanyonge.

2. Amesimamia vyema mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi nchini.

3. Amesimamia vyema kulinda maisha na kuhakikisha rasilimali za nchi ni mali ya Watanzania wote.

4. Amesimamia vyema nidhamu, uwajibika na uadilifu kwa Watumishi wa umma

5. Amefufua shirika la ndege la ATCL kutoka kutokuwa na ndege hadi kuwa na ndege mpya 6 za kisasa zinazopasua anga za kitaifa na kimataifa.

6. Amesimamia Tanzania kufika uchumi wa kati unaokuwa kwa asilimia 7.1% kupitia mafanikio ya sera ya Tanzania ya viwanda zaidi ya 3000 vilivyojengwa.

7. Amesimamia vyema Serikali kuhamia Dodoma ikiwa ni ndoto aliyoiacha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

8. Amejenga reli ya kisasa yenye kasi inayotumia umeme (SGR) na kufufua reli ya Dar - Tanga - Moshi Kilimanjaro.

9. Ameongeza makusanyo ya mapato ya ndani na kusimamia nidhamu ya matumizi ya pesa.

10. Amesimamia ujenzi wa mradi wa umeme Mto Rufiji wa Stiglers gogle utakaozalisha megawatts 2115.

11. Amesimamia ujenzi miundombinu ya kisasa ya mitandao ya barabara, flyover na madaraja.

12. Amekomesha biashara ya ujangiri na madawa ya kulevya nchini.

13. Ameleta maboresho ya afya nchini kwa kujenga hospital zaidi ya 57, vituo vya afya zaidi ya 350, ununuzi wa madawa na vifaa tiba hospitalini.

14. Ameisimamia vyema katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kulinda amani na usalama nchini hali inayofanya Watanzania tuendelee kujivunia uhuru wetu na kuvutia Watalii nchini.

15. Amejenga umoja, mshikamano wa kitaifa nchini.

*Rais Magufuli ameyafanya yote haya, Mimi ni nani haswa nisimchague tena 2020*
amesimamia vyema UPORAJI WA KOROSHO ZETU KUSINI.
Amesimamia vyema mauji ya WAISLAMU huko MKIRU
Amesimia vyema jaribio la kumuua/ kumshambulia TL
Amesimamia vyema kukatisha bunge live lakini yeye anaoneshwa hata akienda kanisani
NI MPUUZI AWEZAYE KUSEMA MAGUFULI NI KIONGOZI MZURI KUIONGOZA NCHI .YULE NI MNYAPARA
 
Na Shilatu E.J

1. Amesimamia vyema utolewaji wa ELIMU BURE kuanzia shule ya msingi hadi sekondari kwa wanyonge.

2. Amesimamia vyema mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi nchini.

3. Amesimamia vyema kulinda maisha na kuhakikisha rasilimali za nchi ni mali ya Watanzania wote.

4. Amesimamia vyema nidhamu, uwajibika na uadilifu kwa Watumishi wa umma

5. Amefufua shirika la ndege la ATCL kutoka kutokuwa na ndege hadi kuwa na ndege mpya 6 za kisasa zinazopasua anga za kitaifa na kimataifa.

6. Amesimamia Tanzania kufika uchumi wa kati unaokuwa kwa asilimia 7.1% kupitia mafanikio ya sera ya Tanzania ya viwanda zaidi ya 3000 vilivyojengwa.

7. Amesimamia vyema Serikali kuhamia Dodoma ikiwa ni ndoto aliyoiacha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

8. Amejenga reli ya kisasa yenye kasi inayotumia umeme (SGR) na kufufua reli ya Dar - Tanga - Moshi Kilimanjaro.

9. Ameongeza makusanyo ya mapato ya ndani na kusimamia nidhamu ya matumizi ya pesa.

10. Amesimamia ujenzi wa mradi wa umeme Mto Rufiji wa Stiglers gogle utakaozalisha megawatts 2115.

11. Amesimamia ujenzi miundombinu ya kisasa ya mitandao ya barabara, flyover na madaraja.

12. Amekomesha biashara ya ujangiri na madawa ya kulevya nchini.

13. Ameleta maboresho ya afya nchini kwa kujenga hospital zaidi ya 57, vituo vya afya zaidi ya 350, ununuzi wa madawa na vifaa tiba hospitalini.

14. Ameisimamia vyema katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kulinda amani na usalama nchini hali inayofanya Watanzania tuendelee kujivunia uhuru wetu na kuvutia Watalii nchini.

15. Amejenga umoja, mshikamano wa kitaifa nchini.

*Rais Magufuli ameyafanya yote haya, Mimi ni nani haswa nisimchague tena 2020*
Mpe na tigo yako kabisa ikiwezekana
 
12. Amekomesha biashara ya ujangiri na madawa ya kulevya nchini. ____Hapa 100% pasipo shaka amefaulu mwanaume......
 
Na Shilatu E.J

1. Amesimamia vyema utolewaji wa ELIMU BURE kuanzia shule ya msingi hadi sekondari kwa wanyonge.

2. Amesimamia vyema mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi nchini.

3. Amesimamia vyema kulinda maisha na kuhakikisha rasilimali za nchi ni mali ya Watanzania wote.

4. Amesimamia vyema nidhamu, uwajibika na uadilifu kwa Watumishi wa umma

5. Amefufua shirika la ndege la ATCL kutoka kutokuwa na ndege hadi kuwa na ndege mpya 6 za kisasa zinazopasua anga za kitaifa na kimataifa.

6. Amesimamia Tanzania kufika uchumi wa kati unaokuwa kwa asilimia 7.1% kupitia mafanikio ya sera ya Tanzania ya viwanda zaidi ya 3000 vilivyojengwa.

7. Amesimamia vyema Serikali kuhamia Dodoma ikiwa ni ndoto aliyoiacha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

8. Amejenga reli ya kisasa yenye kasi inayotumia umeme (SGR) na kufufua reli ya Dar - Tanga - Moshi Kilimanjaro.

9. Ameongeza makusanyo ya mapato ya ndani na kusimamia nidhamu ya matumizi ya pesa.

10. Amesimamia ujenzi wa mradi wa umeme Mto Rufiji wa Stiglers gogle utakaozalisha megawatts 2115.

11. Amesimamia ujenzi miundombinu ya kisasa ya mitandao ya barabara, flyover na madaraja.

12. Amekomesha biashara ya ujangiri na madawa ya kulevya nchini.

13. Ameleta maboresho ya afya nchini kwa kujenga hospital zaidi ya 57, vituo vya afya zaidi ya 350, ununuzi wa madawa na vifaa tiba hospitalini.

14. Ameisimamia vyema katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kulinda amani na usalama nchini hali inayofanya Watanzania tuendelee kujivunia uhuru wetu na kuvutia Watalii nchini.

15. Amejenga umoja, mshikamano wa kitaifa nchini.

*Rais Magufuli ameyafanya yote haya, Mimi ni nani haswa nisimchague tena 2020*

“Jemedali”...then f** you!

Sijui ni kwanini majitu ambayo ni mashabiki ya Jiwe hua hayajui kuandika Kiswahili sahihi!?

I wonder why!
 
Watanzania tulio wengi tunamwelewa sana Raisi Magufuli hawa wachache wanaompinga na kumkosoa ni wale waliozoea kuishi kwa ujanja na ufisadi ,Tunajiuliza hawa walitaka Rais wa namna gani, tumeshughudia na tumejioneo miradi mingi saana ikianzishwa na kufanikiwa mifano michache ya miradi .

kajenga vituo vya afya zaidi ya mia tatu, reli ya kisasa kutoka Dar kwenda kanda ya ziwa, tumejionea juzi alhamisi treni ya mizigo ikitoka tanga kwenda kilimanjaro amekaraba reli ya tanga hadi kilimanjaro, Elimu bure , miundombinu ya barabara anaiborosha mfano Dar es saalam UBUNGO tunajionea anachokifanya hapo, madawa hospitalin yameongezeka , Watanzania tuendelee kumwombea Raisi wetu zidi ya maadui yaliotafuna taifa hili ,
 
Aisee mkuu binafsi namkubali rais kwenye maendeleo.. ila kwenye siasa amefeli. Kuna mambo anafanya ni mazuri na kuna anayofanya si mazuri.

Sasa ww unavyosema watanzania wengi? Unawakilisha mkoa,jimbo ,au nchi nzima?
Mara mia ukajisimea ww kama ww.. lakis si ukawasemea wengine wkt hujui state zao kuhusu mhe rais.
Watanzania tulio wengi tunamwelewa sana Raisi Magufuli hawa wachache wanaompinga na kumkosoa ni wale waliozoea kuishi kwa ujanja na ufisadi ,Tunajiuliza hawa walitaka Rais wa namna gani, tumeshughudia na tumejioneo miradi mingi saana ikianzishwa na kufanikiwa mifano michache ya miradi . kajenga vituo vya afya zaidi ya mia tatu, reli ya kisasa kutoka Dar kwenda kanda ya ziwa, tumejionea juzi alhamisi treni ya mizigo ikitoka tanga kwenda kilimanjaro amekaraba reli ya tanga hadi kilimanjaro, Elimu bure , miundombinu ya barabara anaiborosha mfano Dar es saalam UBUNGO tunajionea anachokifanya hapo, madawa hospitalin yameongezeka , Watanzania tuendelee kumwombea Raisi wetu zidi ya maadui yaliotafuna taifa hili ,
 
Na Shilatu E.J

1. Amesimamia vyema utolewaji wa ELIMU BURE kuanzia shule ya msingi hadi sekondari kwa wanyonge.

2. Amesimamia vyema mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi nchini.

3. Amesimamia vyema kulinda maisha na kuhakikisha rasilimali za nchi ni mali ya Watanzania wote.

4. Amesimamia vyema nidhamu, uwajibika na uadilifu kwa Watumishi wa umma

5. Amefufua shirika la ndege la ATCL kutoka kutokuwa na ndege hadi kuwa na ndege mpya 6 za kisasa zinazopasua anga za kitaifa na kimataifa.

6. Amesimamia Tanzania kufika uchumi wa kati unaokuwa kwa asilimia 7.1% kupitia mafanikio ya sera ya Tanzania ya viwanda zaidi ya 3000 vilivyojengwa.

7. Amesimamia vyema Serikali kuhamia Dodoma ikiwa ni ndoto aliyoiacha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

8. Amejenga reli ya kisasa yenye kasi inayotumia umeme (SGR) na kufufua reli ya Dar - Tanga - Moshi Kilimanjaro.

9. Ameongeza makusanyo ya mapato ya ndani na kusimamia nidhamu ya matumizi ya pesa.

10. Amesimamia ujenzi wa mradi wa umeme Mto Rufiji wa Stiglers gogle utakaozalisha megawatts 2115.

11. Amesimamia ujenzi miundombinu ya kisasa ya mitandao ya barabara, flyover na madaraja.

12. Amekomesha biashara ya ujangiri na madawa ya kulevya nchini.

13. Ameleta maboresho ya afya nchini kwa kujenga hospital zaidi ya 57, vituo vya afya zaidi ya 350, ununuzi wa madawa na vifaa tiba hospitalini.

14. Ameisimamia vyema katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kulinda amani na usalama nchini hali inayofanya Watanzania tuendelee kujivunia uhuru wetu na kuvutia Watalii nchini.

15. Amejenga umoja, mshikamano wa kitaifa nchini.

*Rais Magufuli ameyafanya yote haya, Mimi ni nani haswa nisimchague tena 2020*



Tusipende kuishi kwa ushabiki kwan maendeleo upimwa kwa namna mtu anavyo ishi na sio namna serikali inavyo ona

Oja yako namba moja ina mashiko ila sio elimu bora n elimu ilimrad watoto waende shule

2-ukiwa wasema kitu sema kwa fact 1.5T zipo wap police walio kamatwa na kuachiwa kuhusu dhahabu ule sio ofisad?

3-mauaji ya kibiti ujawai sikia na kuhusu watu kutekwa na kusemekana wanajiteka ni sahihi unabid utambue wewe mwenyewe ulivyo apo n rasili mali unabd kuwaza iliwa kwako je itakuaje?

5- ningependa kutambua umesha fanya safari kwa kutumia izo ndege kwa mara ngap? Ndege inafanya kazi n moja tu ndio iyo itoke dar ipite KIA iende entebe irud chukua watu kia irud dar na hapo watu walikata tiket ya mchana wanakuja chukuliwa saa mbili usiku na sio mara moja n mara kibao wengne ilisha tugarmu mpaka kukata tiket zingne zaid ya mara tatu,ndege mnasafiri watu kum apo unazani faida ipo wap?

6- sawah uchumi wa maneno ila sio uchumi wenye pumzi tunao uona kila siku dollar inapanda yuan inapanda leo ihii tuan ipo 347 kutoka 330 enzi ya mzee wetu kikwete uchumi umepanda kwenye midomo ya vibaraka au kwenye nn?

8-ameweka jiwe la msingi na sio kujenga hamna mradi mkubwa ata mmoja unaoweza kamilika ndan ya muda mchache iyo treni ataendesha kwa kitu gan umeme wetu binafsi majumban unakatika iyo tren itaendeshwa kwa kitu gan? Tusipende kushadadia ila tuwaze kwa mapana sana

9- mapato ya kuumiza watu n sawa na watu awawez kutumia ela kama mwanzo sababu wanajua kuzipata n shida ila ukiangalia watu wake wote wakarbu wanavyo zitumia hapo bado ufisad upo

10 ni plan ila bado aijatekelezwa na kuwa na plan n jambo jema utekelezaji je?

11 nimekuja tambua kuwa ujawai zunguka na kuona unacho kisema izo sio flyover ila ni kama madaraja tu ya kawaida sana zunguka nchi za wenzetu utaona maana ya flyover na sio ivyo vidaraja vya juu

12- madawa ya kulevya yako pale pale semawanafanya watu wa juu sio kila mtu anafanya saiv

13- aina ukwel wowote dawah hospital azipo juzi tu hapo tuna ambiwa tukanunue madumu ya drip nje hosp yameisha ndio kaborasha nn embu tuanze ulimbuken

14 hapa ni uongo mfano mzur n uhuru wa kujieleza n nan anaeweza mkosoa adharan akabaki salama au ulivyokuwa wa andika ihii point ukuwaza

15 mshikamano gan wakat wawekezaj kila leo wanaondoka kila leo kuja jipya kuhusu nchi yetu na mataifa mengne kama ndege tu kuanza safari ya south na kutoshusha watu hapo uhusiano gan mzuri upo labda wa East African ndio useme ivyo ila sio mataifa mengne
 
Back
Top Bottom