Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,302
- 1,337
- The excessive increase of everything causes a reaction in the opposite direction. – Plato
Inafaa umhamishie kabisa nyumbani kwako umfaidi wewe na mkeo.Mr. President ukimuondoa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere hakuna Rais mwingine aliyeweza kutokea mwenye uwezo mkubwa na akili kubwa kama wewe
Ahsante kwa kuja na Karibu sana mkuu.Inafaa umhamishie kabisa nyumbani kwako umfaidi wewe na mkeo.
Hayo majambazi ya CCM unayosema kayashughulikia hatusikitiki yakiangamizwa hata na shetani mwenyewe toka jehenamu. Lakini hiyo haina maana kwamba kwa kufanya kazi hiyo wananchi tumkubali shetani mwenyewe.
Unalinganisha watu wasiostahili kabisa kulinganishwa.
OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEHapa Kazi tu
Magufuli oyeeeee
Ule wimbo unaosema hakuna mwanaume kama Yesu, kwa kweli hajawahi tokea Mwanaume kama Yesu.
Tangu dunia iumbwe, na sasa Tanzania tumepata mwanaume ambaye ameweza kuwadhibiti wale waliokua wanakwapua fedha za walipa kodi na kuzileta mtaani, na kusababisha tija zero kwenye uchumi wetu.
Hela pekee inayokuja mtaani ni mishahara tu na ya miradi ya maendeleo.
Sasa kwa kweli nisiseme uongo huyu ndiewanaume anaesimamia 1 na iwe 1 na sio moja iwe 2.
Hongera JPM.
Kwahiyo wewe na baba yako ni wanawakeUle wimbo unaosema hakuna mwanaume kama Yesu, kwa kweli hajawahi tokea Mwanaume kama Yesu.
Tangu dunia iumbwe, na sasa Tanzania tumepata mwanaume ambaye ameweza kuwadhibiti wale waliokua wanakwapua fedha za walipa kodi na kuzileta mtaani, na kusababisha tija zero kwenye uchumi wetu.
Hela pekee inayokuja mtaani ni mishahara tu na ya miradi ya maendeleo.
Sasa kwa kweli nisiseme uongo huyu ndiewanaume anaesimamia 1 na iwe 1 na sio moja iwe 2.
Hongera JPM.
Ule wimbo unaosema hakuna mwanaume kama Yesu, kwa kweli hajawahi tokea Mwanaume kama Yesu.
Tangu dunia iumbwe, na sasa Tanzania tumepata mwanaume ambaye ameweza kuwadhibiti wale waliokua wanakwapua fedha za walipa kodi na kuzileta mtaani, na kusababisha tija zero kwenye uchumi wetu.
Hela pekee inayokuja mtaani ni mishahara tu na ya miradi ya maendeleo.
Sasa kwa kweli nisiseme uongo huyu ndiewanaume anaesimamia 1 na iwe 1 na sio moja iwe 2.
Hongera JPM.