Hahaha kwenye mafanikio mmesahau yeye ni mgunduzi wa matumizi ya maganda ya korosho, kutengeneza potash eti row producukit ya potassium alisema.
 
Mh rais ahsante,Ila
Ila tunaomba upande wa pinzani
Awaache wapumue kidogo,
Maana kuna wabunge tayari
Wamezoe mahakama kaa vile
Nyumbani kwao tu! Mh ipe demokrasi nafasi yake! Wakivunja sheria kwa mujibu wakatiba sawa! Sheria ichukue mkondo wake! Japo mh hata hyo katiba ibadilishwe! Tumeichoka,
16387374_1914118995535479_1162443184086066304_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiunzikisha post: 30761082 said:
"Katika uhalifu huwa hakuna umoja mkitikiswa kidogo tu umoja wenu unasambaratika,huwa ni unafiki tu siyo umoja harisi ,Mara nyingi umoja harisi hudumu na utokana na haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi darasani kisha rejelea historia nzima ya watu waliosambaratishwa pamoja na kuwa na umoja wao halisi. Mfao kawasome mandika people
 
Mazuri yanaonekana ila aongeze ajira, taifa lisilo hajiri nguvu kazi, mawazo mapya hao wazee punguza wabaki wachache watakao toa seminar kwa freshers young graduates kuleta morali na ufanisi katika kazi ili kuinua uchumi kitaifa

Happiness is a lifestyle
 
Pia kuweka vipaumbele ni muhimu sana, hakika kila mradi na mikakati ni muhimu ila kuwe na vipaumbele, vile viliowekewa kipaumbele pambana navyo mheshimiwa rais, chagua sekta yenye changamoto ziadi mfano sekta zenye changamoto ni Madini & Nishati, Afya, Elimu, Kilimo, Uchukuzi, Kazi hizi ni baadhi ya sekta zenye changamoto nyingi ukichagua kwa kuweka kipaumbele mheshimiwa rais tutafikia kule kwenye malengo ya taifa

Happiness is a lifestyle
 
Leo niliwaza miradi hii mipya mikubwa ya maendeleo kama Airbus , Stieglers na SGR ni miujiza ya karne ya Mh Rais, niliwaza ili bongo tuendelee kwa kasi tunahitaji Rais wetu awe na taaluma ya ualimu (discipline mbele "we mhuni kuja hapa, kwanini hujachomekea shati unatuletea bangi hapa si mahali pake kima we, shika chini , pa pa pa! , kimbia mjinga wewe, mara! "sijaona kijana mjinga na legelege kama wewe baba yako si ni professa wewe , mbona we unafeli hivi , kazi kudai pocket money tu na kukazania Instagram na videmu mjinga mkubwa wewe baba yako ni rafiki yangu nitamtafuta nimwambie ujinga wako huku shuleni", mara "we msichana tembea kwa ukakamavu huoni uko smart area , kuja hapa haraka kazi kufuga makucha tu kama shetani ndo mwanzo wa uhuni huu na kutoa mimba za utotoni mjinga kabisa wewe! piga magoti ita jua!!) hizi tabia za walimu kuhakikisha usafi na discipline mashuleni sasa tunashuhudia ndo kiboko ya majizi na mazembe yaliyoko serikalini manake Bwana Mkubwa hakwepeshi anawatumbua tu na huu ni utamaduni mpya uliotukuka , unaohitajika na uliokosekana na unaopaswa kusifiwa na kuenziwa daima milele, nawasihi viongozi wangu waandae hidden policy ya chama chetu Rais lazima awe mwalimu kitaaluma na asitokane na zile koo za mafisadi na zile koo zenye majina ambazo mtu mzito tu akitekwa ndo wako mbele mbele na kiherehere na pia Rais asitokane na zile koo za wale wazee waliochanga pesa mwana TANU namba moja akaenda kuhutubia UN! Wenye akili watanisoma!
Asante mkuu umenikumbusha mbali sana. Rais wa Tanzania ni sawa kama ulivyosema, asiwe mwlimu wala mwana sheria na mtu ambaye amesomea kitu chochote kile chenye neno "management" mwishoni. Kundi hili la wasomi ni destructive sana katika maisha ya binadam ulimwenguni, kwani hawako pragmatic.

Tanzania tuna hitaji Rais kama Magufuli mwenye utaalam wa kisayansi. Mbali na hayo awe na Vision na ujasiri wa kutekeleza malengo yake kama Magufuli alivyo. Asiwe mtu wa kutinga tinga tu nje na kupose na watu kama akina Teresa May na Trump au Macron na Angela Merkel au Putin, awe mzalendo na mpenda watu kama Magufuli na mkweli. Asiwe kama hawa watu, hawa ni mapuppet tu wa wazungu. Hawana lolote.
Screenshot_20190317-080730_WhatsApp.jpeg

Tsikeli kabla ya kukutana na Emmanuel Macron alitakiwa kwanza akutane na viongozi wa OAU na SADC
Southern African Development Community :: Member States
badala yake ana kutana na Kibaraka mwenzake Kenyatta na Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa, kwa sababu hao ndiyo walio msaidia kuwa madarakani.

Jamaa namwona yuko yuko tu hata Vision hana ya maendeleo ya nchi yake. Yeye badala ya kukaa na wananchi wake kwanza na kuwashukuru kwa kazi waliyo ifanya na kusikiliza shida zao ili ajui wapi kuna Tatizo na alitatue vipi? Yeye ndiyo kwanza anaona umuhimu kukutana na watu wakubwa wakubwa wenzake. Amesha shindwa huyo na hana affinity au afiliation na watu wake. Anawatumikia tu mabosi wake.

Angetoa hotuba kubwa kwa wananchi wake na kuwaeleza malengo ambayo anakusudia kuyafanya ili kuendeleza uchumi na maisha ya wananchi wake, hakuna anacho kufanya ni kutinga tinga na kupose na watu kama hao nililo wataja. Sidhani kama kuna mtu anajua political Agenda yake.

Huo ndiyo ufahari wa Afrika. Nawasikitikia wakongo!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sa ingine najiuliza ile kauli mbiu ya viongozi kua VIJANA WAJIAJIRI Ali hali wao wana ajira.Basi wafundishwe ujasiriamali huko mashuleni na vyuoni(Education For Self Reliance)
Mzee kajitahidi lakini vijana wanateseka bila ajira. Vijana kutoka mwaka 2015 mpaka Leo hawana vision wala matumaini juu ya maisha yao. Nadhani kuna kizazi kinakwenda kupotezwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
66 Reactions
Reply
Back
Top Bottom