Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufur ni chata ingneMalalamiko ya mikopo yaelimu ya juu hadithi, maandamano ya wanachuo kuomba madaraja ya mikopo kimya, maandamano ya kipumbavu kwa wanachi kwisha!, huyo ndiyo Rais tuliyekuwa tunamhitaji Tanzania. Safi sana hapa kazi tyuu.
Mungu azidi kumlinda Rais wetu,naiona Tanzania tuliokua tunaitaka na tunazd kusogea zaidKwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea...Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa
Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa
Flyovers zinajengwa
Miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji. Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto..Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika ....hakika nidhamu imeimarika.
Kwa sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiasara bali si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio...Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
Hakika Namsifu Rais wetu...
Kwani waliopata mkopo ni watoto wa matajiri?Kwel ila unafkr heslb kwa mtt Wa maskn atapata mkopo kwel.. Na sjui vigezo gan hutumia.. Kutoa mkopo je ni kwel mtu alyemalza form six three years back hapat mkopo je ..wanajua kwann hakuendelea na masomo.. Bado heslb syo Msaada kwa watoto Wa maskn
Ndg acha kabsa usiombe mungu
Fadhea ikukute.. Huku una uhakika
Chukulia mtu jina limetoka Awamu ya kwanza.. Kuwa kapata mkopo then Jana Kaenda chuo jina lake halipo.. Kuulza Hana vigezo.. Vya kupata mkopo
OK sawa mtu huyu atajpanga sa ngap alipe Ada ya usjali lakn 8.. Mtu hela ya kuombea mkopo kauza gunia 5 za mahnd kwa bei yetu hii ya 25 pa1 na naul ya kwenda mjini kuombea mkopo.. Kila kitu kakiweka.. Walchokuwa wanahtaj Leo unasema Huna vigezo.. Kama Tatzo ni mda aliomalza form six je kigezo ki1 ukikosa Huna mkopo...huwez Kuwa na vigezo vyote.. Yaan.. Uwe yatima.. Usome.. Public school.. Na chuo Usome science Ndio Upate mkopo.. Na uwe umemalza within range time.. Duuh kwel inawezekana mtu Kuwa navyo vyote
Swal je Kama mtu ni yatima ila mda aliomalza chuo ni three years ago...
Na mtu huyo kila mwaka anaomba mkopo mnamnyima ila chuo anapata nafas sasa Maana yake mlitaka mje kumuhukumu kuptia mda... Mwenye uelewa hapo plz
Sa je usajili atafanya kwel... Maana Bila kulpa No usajili..
Yaan Mkuu mtu kaambatanisha vyeti vyote vi wili vya vifo tena vilivyo Kuwa certified na RITA.. Lakn Bado wamesema No vigezo. Kisa kamalza 2016. Form six
Wale pia ni binadam ndugu wanajua nini maana ya matatizo,unaeza enda kwa afsa elimu wilaya unajieleza ulivyo na vithibit vilivyopo,na yey anaweza lipeleka ngazi ya juu mwsho litapatiwa ufumbuzi,maana kuenda direct hslb pana usumbufu fulani kukutana na wahusika paleSasa uongoz Wa wilaya wao watafanyaje sasa Mkuu .wanipe barua au inakuaje
Mungu azidi kumlinda Rais wetu,naiona Tanzania tuliokua tunaitaka na tunazd kusogea zaid
Kwel ila unafkr heslb kwa mtt Wa maskn atapata mkopo kwel.. Na sjui vigezo gan hutumia.. Kutoa mkopo je ni kwel mtu alyemalza form six three years back hapat mkopo je ..wanajua kwann hakuendelea na masomo.. Bado heslb syo Msaada kwa watoto Wa maskn