swamy
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 252
- 143
Mishahara waliongezwa kipindi kilee ndio wanaufanyia kazi sasa, kipindi kile walikula mishahara ya bure., maisha magumu kwa asiejituma kupiga kazi, mimi mbeba mizigo hapa sokoni mbona maisha kawaida tuu. Hapo kwa WASTAAFU vyeti feki na wafanyakazi hewa waliAthiri ila imani tunayo patakaa sawa.Wapi tija? Mbona maisha ni magumu?,ajira Hakuna, mmeshindwa ongeza hata mishahara,kulipa wastaafu mafao,acheni propaganda za kuwadanganya futureless people wanyonge maadamu tu mnashiba
Labda kazi ya kuleta umasikini nchini.