mimi kiukweli sina chama nachagua kiongozi muadilifu na mwenye kuleta maendeleo John pombe magufuli anafaa kuwa rais wetu kwa uchaguz huuPamoja na misemo mingi kama hii iliyopo, hakika hakuna ubishi kuwa huwakirisha mtu aliyepitia
1. Misuko suko hatimae mafanikio
2. Shida, hujuma, na majaribu lakini hakukata tamaa.
Kibwagizo kikubwa huwa nikwamba, pamoja nayote hayo alipata mafanikio, nahuyo anaitwa mshindi
Ila kama asingeyapata mafanikio lkn alivuka yte hayo, ataitwa Mpambanaji.
JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, eye ni MSHINDI.
Kwanini JPM ni mshindi
Mh Rais john p. Magufuri a.k.a brudoser. Mara tu baada yakuchaguliwa kuwa Rais wa JMT akakumbana na yafuatayo:
1. Account nyeupe, malipo hewa yaliyoandaliwa kukomba fedha, mzee akaziwahi na akapiga chini Gavana wa BOT
2. Darali wa mabeberu akatangaza ugonjwa wa dhika! Mzee akaiona akaipangua akampa za uso mwele malesera.
3. Ikatangazwa njaa kila kona ya nchi! Mzee akaikwepa akawakoswa koswa waliotangaza akawapa nyo. Ikawa shwari
4. wakataka kufungulia maji ya mabwawa ya umeme! Mzee akaisoma akawapiga bit ngoma ikatulia.
5. wakaanza kuhujum ndege, mzee akaisoma akalala nao mbele kwa mbele! Wakahama nchi na wakawa vilema
6. wakasitisha misaada ya Rea mzee akatoa fungu na umeme uko kila kona.
7. Kari ya mwaka sasa, WAKALETA COVID-19 aaaah!! Mze akashtuka akawaeudishia za mdomo, mpaka leo wanatema dam.
Rais magufuli haya yote kayafanya kwakuwa tu , mungu alimleta atuokoe watanzania, hata yesu aliwaambia wanafunzi wa yohana kuwa! Anauliza kama mimi ndie masiha?? Wakasema ndiyo.
Yesu akawaambia nendeni mkamwambie viwete wanatembea na vipofu wanaona!
Kwa asiye mkubari JPM mwambieni.. Barick wamelipa na kukubari kuunda nao kampuni
Mwambieni .. standard guage iko moro to mza , Bwawa la umeme la nyerere hydropower iko 75%
Mwambieni.. hospitali aliyoiacha mwl ile ya msoma na vituo vya afya , zahanati, hosp za rufaa zimejengwa.
.haki mahakamani iliyopotea sasa imerudi,
Habari ya unanijua mimi sasa haipo.
Lakini msisahau nayale mnayoyaona kwa macho yenu.
October 2020 tumpe kura kwa wingi atuingize kanaani.
Enzi na Enzi
Dar es salaam.
lakini si amejenga tanzania kwani amejenga KenyaAmeifanya Chato ifanane na Gbadolite ya mobutu sese seko kwa maana anajenga/ amejenga
Taaa za kuongoza magari( bila magari?
Uwanja wa ndege wa kimataifa (bila ndege za kimataifa kutua) sana Sana popo na bundi wanakaa
Amejenga uwanja wa michezo wa watu nusu lakin bila kuwa na team league kuu au hata iwezekano wa uwanja kujaa kwa miaka50 ijayo
Hospital ya rufaa
Haya Mambo aliefanya Mobutu kule Gbadolite
Kama si propaganda Why anawaogopa wapinzani mikutano tu ya ndani ya wanawake anapata homa,why aprint fomu moja tu ya kugombea?
Wapi tija? Mbona maisha ni magumu?,ajira Hakuna, mmeshindwa ongeza hata mishahara,kulipa wastaafu mafao,acheni propaganda za kuwadanganya futureless people wanyonge maadamu tu mnashiba
Slogan ya hapa kazi tu haina maana Kama tu tatizo la ajira tu limewashinda
Wapi tija? Mbona maisha ni magumu?,ajira Hakuna, mmeshindwa ongeza hata mishahara,kulipa wastaafu mafao,acheni propaganda za kuwadanganya futureless people wanyonge maadamu tu mnashiba
Labda kazi ya kuleta umasikini nchini.
Kama si propaganda Why anawaogopa wapinzani mikutano tu ya ndani ya wanawake anapata homa,why aprint fomu moja tu ya kugombea?
Achaa mahaba labda we ni kipofu.Mkutano upi wa ndani? weka ushahidi? JPM amuogope nani wakati yeye ndiye amiri Jeshi mkuu? Hizo ni ndoto tu, endelea kuota ukiamka utakuta Tanzania iliyopiga maendeleo.
Wenzetu wamewekewa mifumo ya kufanya kazi,ukilima kazi yako sio kutafuta soko Bali soko ndo linakutafuta,mikopo rahisi na wezeshi,Kodi rafiki.Hapa tu Kodi ya kuingiza gari ili uzalishe ni kubwa kuliko hata gharama za kuzalisha gari Hilo kiwandani, mtawala anajisifia kuwasomesha namba watu ili wawe masikini ili aweze kuwatawala then anasema makusanyo yameongezeka.Vikwazo vya kufanikiwa kwa jumla ni vingi.Kama wakoloni wao waliweza boresha maisha ya watu sababu waliotengeneza mifumo mizuri ya kuwafanya watu wafanye kazi.Sera mbovu uzalisha tatizo la ajira ajira.Uchumi unavyopanda maisha lazima yawe magumu. Maisha hayawezi kuwa raisi hata siku moja, unaweza kunitajia ni nchi gani ambayo imeendelea na maisha ya raia wake ni rahisi? Nafahamu huwezi kujibu hilo bali utakaa na kulialia tu na kuwewesekaweweseka. Chapa kazi mkuu malipo ni hapa hapa duniani.
Unadhani kulima ni rahisi Kama kufanya mapenzi.Hilo kundi la machinga na bodaboda sababu ya sera mbovu za ujima lililojaa mjini means hio ardhi hawaioni?Ambaye amekosa ajira ni wewe peke yako kisa kukesha JF. Ardhi yote tuliyonayo bado unalalamika? Chukua jembe kalime hakuna atakayekusidia kama wewe mwenyewe umeshindwa kujisaidia.
Mifumo mibovu ya kuwafanya watu wawe masikini ili uwatawale ili wakuabudu,kwa kuuwa private sector kimakusudi eti ni wapiga dili Sasa sijui wakulima waliozulumiwa hizo dili sijui walizipigia wapi.Ambaye amekosa ajira ni wewe peke yako kisa kukesha JF. Ardhi yote tuliyonayo bado unalalamika? Chukua jembe kalime hakuna atakayekusidia kama wewe mwenyewe umeshindwa kujisaidia.
Je imeleta tija kwa wanyonge ( future less people)
Je imeleta tija kwa wanyonge ( future less people)
Wenzetu wamewekewa mifumo ya kufanya kazi,ukilima kazi yako sio kutafuta soko Bali soko ndo linakutafuta,mikopo rahisi na wezeshi,Kodi rafiki.Hapa tu Kodi ya kuingiza gari ili uzalishe ni kubwa kuliko hata gharama za kuzalisha gari Hilo kiwandani, mtawala anajisifia kuwasomesha namba watu ili wawe masikini ili aweze kuwatawala then anasema makusanyo yameongezeka.Vikwazo vya kufanikiwa kwa jumla ni vingi.Kama wakoloni wao waliweza boresha maisha ya watu sababu waliotengeneza mifumo mizuri ya kuwafanya watu wafanye kazi.Sera mbovu uzalisha tatizo la ajira ajira.
Mifumo mibovu ya kuwafanya watu wawe masikini ili uwatawale ili wakuabudu,kwa kuuwa private sector kimakusudi eti ni wapiga dili Sasa sijui wakulima waliozulumiwa hizo dili sijui walizipigia wapi.
Badala ya kuleta maendeleo ya watu Bali vitu ili ukumbukwe kupitia vitu usipokuwepo,inachochea umasikini na ongezeko la machinga na bodaboda ambao si wazalishaji wa kukuza uchumi Bali ni madalali wa viwanda vya china.
Nazungumzia uchumi wa jumla sio wa wapiga dili wa awamu hii.Ungekuwa unajitegemea ungejuwa Hali halisi lkn kwa sababu unaishi kwa shemeji mnufaika na we ni kula kulala ni lzm uwe ni kipofu mnufaika,lakini majority wapo hoi.Kipofu haambiwi tazama.
Wamewekewa na nani? Jiulize? Unatakiwa wewe mwenyewe uweke mazingara yatakayokusaidia hapo baadaye kujiwezesha, hatuwezi kuendelea kuwa watumwa wa mtu mweupe. Kama unafikiri kuwasomesha watu sio kuwakomboa kiuchumi kalaga baho!
Kwa hiyo JPM ndio amekufanya wewe uwe masikini? Je, unasemaje kwa wale ambao wamekuwa matajiri katika kipindi hiki cha utawala wake? Matatizo yako binafsi ya kushindwa kwako binafsi sio swala la kitaifa. Umasikini wako na ulofa isiwe nongwa ya kutuchelewesha kwenda kwenye uwezeshaji uliotukuka kwa kila Mtanzania anayejitambua na wajibu wake kwa Taifa.
Kipofu haambiwi tazama.
Wamewekewa na nani? Jiulize? Unatakiwa wewe mwenyewe uweke mazingara yatakayokusaidia hapo baadaye kujiwezesha, hatuwezi kuendelea kuwa watumwa wa mtu mweupe. Kama unafikiri kuwasomesha watu sio kuwakomboa kiuchumi kalaga baho!
Kwa hiyo JPM ndio amekufanya wewe uwe masikini? Je, unasemaje kwa wale ambao wamekuwa matajiri katika kipindi hiki cha utawala wake? Matatizo yako binafsi ya kushindwa kwako binafsi sio swala la kitaifa. Umasikini wako na ulofa isiwe nongwa ya kutuchelewesha kwenda kwenye uwezeshaji uliotukuka kwa kila Mtanzania anayejitambua na wajibu wake kwa Taifa.
100% sera mbovu za awamu hii,kutwa kucha kupambana na upinzani badala ya kupambana na umasikini wetu ndio zimeleta umasikini nchini.Click to expand...