Mbona hizo ni kazi ambazo hata Meya wa Dar angefanya tu bila kuwa na figisu. Rais wa Tanzania anapimwa ufanisi na kazi zilizofanyika Dar?
Majimbo ndio suluhu ya maendeleo yetu.

Kuna undergoing projects ambazo zipo tangu yeye hana tamaa ya kubahatika kupata huo urais kama hizo upanuzi wa airports na flyover.
Hizo hostel mimi siweki hesabu hesabu kama kina faida na tanzania kwa ujumla hata kama ina faida na tanzania kwa ujumla basi its a small issue sio ya kujisifia.
Rushwa na ufusadi tusidanganyane ipo kama kawaida sema ufisadi upo kwa wachache tena kwa wale ambao yeye mwenyewe anawalinda kama kina bashite.
na hiyo upanuzi wa barabara ya moroco is a small issue wala usiseme ni mafanikio ni aibu kusema hivyo.
Na nidhamu makazini labda ya uoga na maigizo nadhani tumeona kule bandarini yale maigizo. ethically hatuoni still zero.
Labda hizo ndege alizonunua japokuwa kuna possibility ya kufeli kwasababu ya ukurupukaji
The only thing ambao nimependezewa na kusema la ukweli hii yote imetokana na sababau hajui English ila nimefurahi kwasababu atapata kukipanua hii lugha yetu ya kiswahili huko nje. Japokuwa hasafiri kwa uoga wake wa kuadhirika.
Nawasilisha
[HASHTAG]#MakondaOut[/HASHTAG]
Nyie watu wengi mnapondaponda2 ilimradi muonekane mmeponda
Kwan mlitaka raisi aweje
Hivyovyote ni ndani ya mwaka moja2
Kiukweli huyu raisi kafanikiwa sana
Na mnaosema hizo projects kazikuta nawauliza hivi kwan hizo hella nan kazitafta na nan kaweka jiwe ilihali kakuta hazina haina pessa

Nahitimisha kwa kusema watu wengine wakekaa katika kuponda minor things kuliko ukweli

Magufuli hamna mfano nchi hii
 
Karudisha nidhamu kazini
Majambazi wamepungua sana
Ajali za Barabarani zimepungua kwa Kiasi kikubwa
Kapunguza mateja kwa kiwango cha Lami
Amerudisha heshima kwa serikali,watu waliifanya shamba la bibi.
Sasa hivi yupo kwenye vita kubwa na wauza Unga waliozoea kula kwa jasho la watu hii vita Ngumu ila Atashinda tu...hawa jamaa wamekariri hawataki kubadilika.
Safi kabisa na ni kweli kabisa. Mi maji Upande wa Mbezi/ Kimara iliuwa ndoto sasa hivi maji kila siku tunapata na bili zinazolingana na maji tunayotumia! Hongerah Mh. Rais!
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kaweza kujenga

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.

Kuhusu kufanya kazi, mkubwa wetu anafanya kazi sana tu. Unaweza kuongezea 1. TANESCO(utendaji, ukusanyaji madeni na bei za umeme- rais amefanya kazi kubwa sana) 2. EWURA( Bei za nishati mfano 'petroleum products' kuna wakati ilikuwa hata bei ikishuka kwa waarabu bado unakuta huku kwetu haishuki kamwe hata mzigo uje mpya ulioagizwa kwa bei ndogo -rais amesimamia hili sana. 3. CCM(wenye fedha sio miungu tena)- Magufuli's credit offcourse. 4.Hospitali za umma(angalau kuna heshima kwa wagonjwa hasa wajawazito walikua wakipata shida sana, kuna ahueni fulani- rais kafanya kazi hii pia imeonekana kwenye taasisi nyingine za umma. Na mengine mengi nitayataja wakati mwingine.

TABIA ZA KUVUTIA - 1. Ndio kiongozi pekee Tanzania ambaye anasema tumefanya hivi na sio tutafanya hivi 2. Anakuwa na nia ya kufanya lakini pia anathubutu kufanya.

UDHAIFU WAKE

1. Kiwango cha usikivu kiko chini sana 2. Kudhibiti hisia kuko chini sana 3.Kukubali kupoteza 'pride' kwa manufaa ya taifa ameshindwa kabisa 4. Kuheshimu utaalamu wa wengine ni tatizo kwake 5. 'trust issues' huwezi kuongoza vema kama hukubali kuwaamini unaofanya nao kazi. 6. Kufanya maamuzi ya kipilato - yaani kufanya maamuzi bila kufuata utaratibu au pia yasiyo sahihi kwa sababu ya kelele za watu. 7. 'Double Standards'

Jambo la 8 ni zito kidogo. Magufuli anatakiwa ajue kuwa yeye ni Rais, na hatuhitaji atukumbushe hilo au kutudhihirishia nguvu alizo nazo kama rais. Anachofanya ni sawa na komando kumtishia mtoto mchanga bunduki au ninja kumtishia ngumi mtoto mchanga.

sasa haya mambo ya 'be careful, watch it...' JPM unatuangusha sana mkuu, yaani unakera sana yaani.

Bila kushughulikia madhaifu haya 8, kazi yote ni bure tu. Mwishowe itakuwa 'HAPA KAZI BURE TU!'
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kaweza kujenga

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
Mbona happ namuona kama WAZIRI WA UJENZI? Maana hapo naona mafanikio ya ujenzi tu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nyie watu wengi mnapondaponda2 ilimradi muonekane mmeponda
Kwan mlitaka raisi aweje
Hivyovyote ni ndani ya mwaka moja2
Kiukweli huyu raisi kafanikiwa sana
Na mnaosema hizo projects kazikuta nawauliza hivi kwan hizo hella nan kazitafta na nan kaweka jiwe ilihali kakuta hazina haina pessa

Nahitimisha kwa kusema watu wengine wakekaa katika kuponda minor things kuliko ukweli

Magufuli hamna mfano nchi hii
Hivi una zile flyover za tazara na ubungo, ph. 3 ya dart na upanuzi wa airport DSM, pesa zinatoka hazina eehh?!
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kaweza kujenga

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
Umesahau Chattle International Airport
 
Yote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Mkuu ukijenga flyovers dar,sio lazima na tandahimba ukajenge maana hakuna mahitaji ila wa tandahimba atakapokuja dar hatokumbana na adha ya foleni,vilevile kwa hostels kwani mtoto wa tandahimba akifaulu Udsm atazitumia pia.miundombinu inajengwa kulingana na mahitaji ya sehemu husika.
 
Kuhusu kufanya kazi, mkubwa wetu anafanya kazi sana tu. Unaweza kuongezea 1. TANESCO(utendaji, ukusanyaji madeni na bei za umeme- rais amefanya kazi kubwa sana) 2. EWURA( Bei za nishati mfano 'petroleum products' kuna wakati ilikuwa hata bei ikishuka kwa waarabu bado unakuta huku kwetu haishuki kamwe hata mzigo uje mpya ulioagizwa kwa bei ndogo -rais amesimamia hili sana. 3. CCM(wenye fedha sio miungu tena)- Magufuli's credit offcourse. 4.Hospitali za umma(angalau kuna heshima kwa wagonjwa hasa wajawazito walikua wakipata shida sana, kuna ahueni fulani- rais kafanya kazi hii pia imeonekana kwenye taasisi nyingine za umma. Na mengine mengi nitayataja wakati mwingine.

TABIA ZA KUVUTIA - 1. Ndio kiongozi pekee Tanzania ambaye anasema tumefanya hivi na sio tutafanya hivi 2. Anakuwa na nia ya kufanya lakini pia anathubutu kufanya.

UDHAIFU WAKE

1. Kiwango cha usikivu kiko chini sana 2. Kudhibiti hisia kuko chini sana 3.Kukubali kupoteza 'pride' kwa manufaa ya taifa ameshindwa kabisa 4. Kuheshimu utaalamu wa wengine ni tatizo kwake 5. 'trust issues' huwezi kuongoza vema kama hukubali kuwaamini unaofanya nao kazi. 6. Kufanya maamuzi ya kipilato - yaani kufanya maamuzi bila kufuata utaratibu au pia yasiyo sahihi kwa sababu ya kelele za watu. 7. 'Double Standards'

Jambo la 8 ni zito kidogo. Magufuli anatakiwa ajue kuwa yeye ni Rais, na hatuhitaji atukumbushe hilo au kutudhihirishia nguvu alizo nazo kama rais. Anachofanya ni sawa na komando kumtishia mtoto mchanga bunduki au ninja kumtishia ngumi mtoto mchanga.

sasa haya mambo ya 'be careful, watch it...' JPM unatuangusha sana mkuu, yaani unakera sana yaani.

Bila kushughulikia madhaifu haya 8, kazi yote ni bure tu. Mwishowe itakuwa 'HAPA KAZI BURE TU!'

Siku moja nimekwenda nchi fulani ambako tembo mnyama huwa wanapita mitaani bila kudhuru watu..jion hiyo wakat tunapita maeneo walipo tembo hao tulipowakaribia tembo alilipiga kwa mkonga wake debe la takataka likatoa mlio..mwenyeji wetu akatudokeza maana ya kitendo hicho kuwa tembo wana akili sana hawapendi confrotation na binadamu hivyo wakijua kuna watu wanakuja mwelekeo wao mara nyingi hutafuta kitu kitakachotoa mlio ili wanaokuja wasikie wajue kuna tembo mbele yao na hivyo wapite mbali..Mh. Rais anavyofanya ni kama wale tembo, ukisoma na kusikiliza media zetu maneno mengi wanayosema hayaonyeshi adabu, heshima, shukurani nk kwa watu na viongozi hivyo analazimika kutoa angalizo ili hata wale wajinga wachukue tahadhari mapema wasije laumu mambo yakiwaharibikia..nadhani wat generation hii ya sasa in matatizo ya attitude na character waulize walimu wa shule kuanzia msingi sekondari na vyuoni watakuambia..wazazi wengi wamejivua kabisa jukumu la malezi na mafundisho kwa watoto wao..kiashiria angalia comments zao humu utathibitisha ninalosema, hivyo unapokuwa na jamii ya hivi wkt mwngn ni vema kuwakumbusha mamlaka uliyo nayo wacje tafuta excuse mara unapochukua hatua dhidi yao. Lkn kwny upungufu wa 4 nadhani tuwe tunakumbuka hali ya nchi yetu ilivyokuwa imefikia kabla ya yeye kuingia madarakani, hao wataalamu unaosema walikuwepo, lkn uzembe kazin kila mahali ghosts..ndio nini hii?????? utamwamini mtu kweli kwa trend ya hivi..hao wafanyakazi hewa na miradi hewa wataalam walikwenda likizo??? hawakuwa wanajua..let be serious..tumpime Rais kwa kuwa fair haiwezekani kuona anayofanya kama ni sahihi au la bila kutizama hali aliyoikuta!
 
rushwa hajakomesha na hatoweza!kuhusu nidhamu makazini ni kweli tuna nidhamu ya UOGA!

Hata kama hajaikomesha lkn unafikili ipo kwa kiwango kile tulichokuwa nayo hapo awali mkuu?na kuhusu nidhamu,ni ukweli usiopingika kuwa watumishi wengi kwenye institution za selikali walikuwa hawafanyi kazi.
 
Hivi kwanini Rais anasifiwa kama mtendaji badala asifiwe kwa Sera. Yaani ni kama nyumbani housegirl akipika basi unampa sifa mama ili asijisikie vibaya. Hizo zote amefanya kazi za Mawaziri
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kaweza kujenga

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
Sijasikia ya chato
 
Leo tena mh. Magufuli kaongeza ujenzi wa reli kwa Ajili ya treni ya mwendokasi.
 
Back
Top Bottom