Vitu vizuri huwa vinaletwa na Mungu....ila vibaya...... Vinajileta vyenyewe.... Na Mungu hazuiii maana shetani huwa anashindana na Mungu ila wakati wote hajawahi kushida...... Mara nyingine hujifananisha na Mungu....take care!Rev. Kishoka Mungu anashukuriwa Kwa kila Jambo,hata wapendwa wetu wakirudi kwake (Kufariki) yafaa kumshukuru.
Nakukumbusha tu kuwa Mungu ndiye aliyemleta Shetani na bado tunamshukuru
Kwa ufupi kwenye mapungufu uliyooanisha hapo juu ni kwamba ana CHEMBECHEMBE ZA UDIKTETA....Ni kweli Magufuli Ana mazuri yake pia Ana mapungufu yake kama binadamu,
Mazuri ya Magufuli
1. Ni mkweli kabisa na haogopi kusema nyeupe ni nikupe nyeusi ni nyeusi
2. Anapiga kazi kwa ufasaha alizotumwa n.a. wananchi
3. hajui siasa ye anafanya kazi tu
Mapungufu yake
1. Hapendi kukosolewa
2. Ana amini katika umasikini
3. Hapendi demokrasia
Aaah,kumbe hata ningeingia mimi ungesema hivyoNatambua sitaeleweka kama jinsi sikueleweka miaka 10 iliyopita nilipoandika "Thank God for giving us Kikwete" lakini naamini safari hii wenye juhudi na upeo wa ufahamu na uelewa watanielewa.
Wakati si milele japo pia wakati ni hakimu wa haki.Ni miaka miwili na miezi kumi tangu ndugu John Joseph Pombe Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais, na kila siku wengi wetu tunajifunza mapya na kukumbuka mengi.
Nasema ni shukrani maana katufungulia na kutufunulia mengi kuhusu Tanzania na zaidi kuhusu sisi kama Taifa na wananchi wake.
Natambua sitaeleweka kama jinsi sikueleweka miaka 10 iliyopita nilipoandika "Thank God for giving us Kikwete" lakini naamini safari hii wenye juhudi na upeo wa ufahamu na uelewa watanielewa.
Tuendelee kutafakari!
Kwa hatua tuliofikia kama taifa tuliitaji mkono wa chuma baada ya kutoka zama za mdebwedo then afater 10 years mdebwedo ndo historia ya Tz iyo ukifuatilia.Kwa ufupi kwenye mapungufu uliyooanisha hapo juu ni kwamba ana CHEMBECHEMBE ZA UDIKTETA....
Uliyoyakubali juu, umeyapinga chini, Yani umejumlisha 3 ukatoa 3, Umebaki na ZeroNi kweli Magufuli Ana mazuri yake pia Ana mapungufu yake kama binadamu,
Mazuri ya Magufuli
1. Ni mkweli kabisa na haogopi kusema nyeupe ni nikupe nyeusi ni nyeusi
2. Anapiga kazi kwa ufasaha alizotumwa n.a. wananchi
3. hajui siasa ye anafanya kazi tu
Mapungufu yake
1. Hapendi kukosolewa
2. Ana amini katika umasikini
3. Hapendi demokrasia
Kwanza ni Mungu yupi unamtaja? Kama ni Wa mbinguni hafungamani na dhuluma, mauaji, uongo nk. Bora ushukuru kwa ccm kuendelea kubak madarakani kwa msaada Wa vyombo vya dola na NEC na sio kumsingizia baba Wa watu maguNi miaka miwili na miezi kumi tangu ndugu John Joseph Pombe Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais, na kila siku wengi wetu tunajifunza mapya na kukumbuka mengi.
Nasema ni shukrani maana katufungulia na kutufunulia mengi kuhusu Tanzania na zaidi kuhusu sisi kama Taifa na wananchi wake.
Natambua sitaeleweka kama jinsi sikueleweka miaka 10 iliyopita nilipoandika "Thank God for giving us Kikwete" lakini naamini safari hii wenye juhudi na upeo wa ufahamu na uelewa watanielewa.
Tuendelee kutafakari!
Ndio maana hawezi kuigusa Wizara ya ujenzi. Ana madhambi yake huko si haba akiwa Waziri...ni FISADI ameuza nyumba za serekali kwa bei ya kutupa.
..ni MBAGUZI anayebomoa umoja wa waTz.
..ni kiongozi asiyeheshimu sheria na katiba.
..ni mtu asiyetenda haki kwa waTz haswa wale wenye mtizamo tofauti na wake.
..ni kiongozi asiyependa mfumo wa vyama vingi na anatumia kila mbinu kuhakikisha vyama mbadala na ccm vinafutika.
..anatumia madaraka yake vibaya na kinyume na katiba.
..ndani ya utawala wake UMASIKINI wa mtu mmoja mmoja umeongezeka.
Mkuu Rev. Kishoka, naunga mkono hojaNi miaka miwili na miezi kumi tangu ndugu John Joseph Pombe Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais, na kila siku wengi wetu tunajifunza mapya na kukumbuka mengi.
Nasema ni shukrani maana katufungulia na kutufunulia mengi kuhusu Tanzania na zaidi kuhusu sisi kama Taifa na wananchi wake.
Natambua sitaeleweka kama jinsi sikueleweka miaka 10 iliyopita nilipoandika "Thank God for giving us Kikwete" lakini naamini safari hii wenye juhudi na upeo wa ufahamu na uelewa watanielewa.
Tuendelee kutafakari!
Shetani aliletwa na Nani ?Vitu vizuri huwa vinaletwa na Mungu....ila vibaya...... Vinajileta vyenyewe.... Na Mungu hazuiii maana shetani huwa anashindana na Mungu ila wakati wote hajawahi kushida...... Mara nyingine hujifananisha na Mungu....take care!
Mimi nafikiri ishukuliwe ile sauti ya yule mzee aliyekua anatangaza matokeo.Ni miaka miwili na miezi kumi tangu ndugu John Joseph Pombe Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais, na kila siku wengi wetu tunajifunza mapya na kukumbuka mengi.
Nasema ni shukrani maana katufungulia na kutufunulia mengi kuhusu Tanzania na zaidi kuhusu sisi kama Taifa na wananchi wake.
Natambua sitaeleweka kama jinsi sikueleweka miaka 10 iliyopita nilipoandika "Thank God for giving us Kikwete" lakini naamini safari hii wenye juhudi na upeo wa ufahamu na uelewa watanielewa.
Tuendelee kutafakari!
Kuna mashaka na hili. Sikuz zote anasema 'yeye ni Rais wa wote na mandeleo hayana vyama'"britanicca, post: 28289702, member: 290488"]Ni kweli Maguful
self refelction inapatikanaje katika hali hiyo?Mapungufu yake. Hapendi kukosolewa. Hapendi demokrasia