Maendeleo ya vitu hata jakaya ameyafanya Magufuli cha maana alichofanya ni kukomesha Rushwa na kuleta nidhamu
Niliweke sawa hilo la rushwa na nidhamu.
Rushwa bado ipo, pamoja na kwamba anajitahidi kupambana nayo usiku na mchana. Ili kungóa kabisa mzizi wa rushwa, angeiondoa TAKUKURU kutoka ofisi ya RAISI. Iwe completely independent. Ukifuatilia suala la paspoti mpya na mchakato wake mzima wa jinsi mkandarasi alivyopatikana utakuta madudu matupu. Nidhamu iliyojengeka miongoni mwa watumishi wa umma ni ya woga, sio kingine.
 
Juhudi zako tuna ziona kwa matendo na si maneno Ahsante Raisi wetu wa watanzania wote.
FB_IMG_1533067077531.jpg
FB_IMG_1533067074936.jpg
FB_IMG_1533067072391.jpg
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
Mmmmh..!Nakumbuka kuna Mheshimiwa wakati anatoka Madarakani Alisema kwa utani Mengine Nayaanza mimi ila atae kuja kumalizia ndie atakae sifiwa..Kwa hiyo Naomba nae umpe Heshima yake tu kwa kuanzisha mbio.
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
Kwa kweli amefanya makubwa kwa DSM MZA naona yeye ni raisi wa huko. Mimi naishi Kibondo sijaona hiyo barabara iliyojengwa kuunganisha KIBONDO KIGOMA KALIUA PENGINE IMEJENGWA KIMOYOMOYO/kisiasa Lakini kiuhalisia haipo
 
Prof ni mara ya tatu sasa unaDipu lakini line iko busy,ipo siku atapokea!

Magufuli ana double standards katika kutoa maamuzi, kwamfano tunasema anapiga vita rushwa lakini pale rushwa inapotendeka kwa manufaa yake na chama chale ccm hachukui hatua!!! kumbukeni rushwa aliyotoa DC wa Arumeru kuwahadaa madiwani wa Chadema kuhamia ccm, ushahidi ulikuwepo lakini akapuuzia na kuwadharau wananchi akampandisha cheo mtuhumiwa!!
 
Unajua inabidi tukae chini kwa pamoja,tuombe kwa pamoja na kusifu kile anachofanya Rais wetu
JPM Kwani nchi ilikuwa imeoza ila kwa hiki kipindi naona tutaenda sawa
 
Tangu mwaka 1992 tulipoanza siasa za vyama vingi, Tanzania hakujawahi kuwapo kwa mshikamano wa vyama vya siasa, kila chama na mambo yake isipokuwa UKAWA tu ndiyo iliyokuwa karibu na mshikamano dhidi ya CCM. Uhasama baina ya Vyama vya upinzani na CCM umekuwapo miaka yote!

Afadhali Magufuli ameteua viongozi wa kutoka Upinzani pia: Kafulia, Mkumbo na Mngwila siyo wana CCM!.
Si kweli. Hana mahusano mazuri na wapinzani. Anachuki mbaya dhidi ya wapinzani. Anavisasi na kutaka maendeleo ya harakaharaka kwa kutegemea nguvu zake mwenyewe
 
Si kweli. Hana mahusano mazuri na wapinzani. Anachuki mbaya dhidi ya wapinzani. Anavisasi na kutaka maendeleo ya harakaharaka kwa kutegemea nguvu zake mwenyewe
In fact Magufuli ana uhusiano mzuri sana na wapinzani hadi anawateua katika serikali yake; hakuna serikali iliyowahi kuwa na wateule wa kutoka Upinzani ila hii tu. Inawezekana anapoteua kutoka wapinzania basi wale wasiopata kuteuliwa wanachukia sana na kudaia anawagawa. hebu angalia: Slaa, Mkumbo, Mrema, Mghwila, na sasa Kafulia wote hao waliteuliwa wakiwa siyo wana CCM! Sijui wewe unataka ushirkiano wa namna gani kama siyo kiutendaji. Anapowaziba midomo ya uwongo hao wapinzani basi wanachukia na kudai hashirikiani nao; mnataka awakubalie kwa kwa huo uwongo na uzushi wa kila siku. Majuzi tu wamesikiaka wakizusha eti trilioni 1.5 zimepotea wakati CAG hajaziona je wao waliziona katika mahesbau yapi; ndio wanaokagua vitabu vya serikali au ni CAG?
 
In fact Magufuli ana uhusiano mzuri sana na wapinzani hadi anawateua katika serikali yake; hakuna serikali iliyowahi kuwa na wateule wa kutoka Upinzani ila hii tu. Inawezekana anapoteua kutoka wapinzania basi wale wasiopata kuteuliwa wanachukia sana na kudaia anawagawa. hebu angalia: Slaa, Mkumbo, Mrema, Mghwila, na sasa Kafulia wote hao waliteuliwa wakiwa siyo wana CCM! Sijui wewe unataka ushirkiano wa namna gani kama siyo kiutendaji. Anapowaziba midomo ya uwongo hao wapinzani basi wanachukia na kudai hashirikiani nao; mnataka awakubalie kwa kwa huo uwongo na uzushi wa kila siku. Majuzi tu wamesikiaka wakizusha eti trilioni 1.5 zimepotea wakati CAG hajaziona je wao waliziona katika mahesbau yapi; ndio wanaokagua vitabu vya serikali au ni CAG?
Si kweli kwamba anamahusiano mazuri na WAPINZANI. Ana mahusiano mabaya sana. Kwanza hataki challenge yoyote ile kutoka sehemu yoyote ile. Halitakii mema taifa kwenye mambo ya umoja na mshikamano wa kitaifa na kimataifa.
 
samahani naomba kuuliza eti ukijenga uwanja wa ndege chato hakuna watu wa dsm watakaofaidika na ukijenga barabara za mwendo kasi dar je wa chato atafaidika na nini
 
Kwenye mahitaji muhimu ni Stegler's Gorge hydroelectric project, Reli ya umeme, gesi kwenye matumizi ya gari na ya nyumbani, elimu na ujuzi hasa kwa kuwezesha skilled manpower kujitegemea sisi wenyewe na haya mafundisho yawe kwenye syllabus zetu za shule na vyuo. Waje wa nje kwenye win-win situation. Siyo hawa mabarrick. Lazima tupongeze Rais wetu kwenye juhudi zake zote hizo.
 
Back
Top Bottom