GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,417
- 108,519
Subiria sasa uone ' Mangumbaru ' yakishatoka Kushiba huko Ugali watakavyokuja kutiririka na kuserereka ' Kipopoma ' tupu juu ya haya ya ukweli yote uliyoyaandika. Wanakuja sasa hivi Mkuu!
Tumeshafika, hata kwa dodoki jiwe halitakatiSubiria sasa uone ' Mangumbaru ' yakishatoka Kushiba huko Ugali watakavyokuja kutiririka na kuserereka ' Kipopoma ' tupu juu ya haya ya ukweli yote uliyoyaandika. Wanakuja sasa hivi Mkuu!
Amani ni nini?mkwemwema nadhani umeshaanza kuwaona sasa.
Almost point zote hizi ni za kipumbavu1. Kaua watu watu wengi
2. Kaua demokrasia
3. Amevunja umoja na mshikamano wetu watanzania
4. Kaua uchumi wa nchi
5. Kaondoa amani
6.Kashusha taswira ya watanzania tuliyokuwa nayo nje ya nchi
7. Kaua elimu ambayo tayari ilikuwa ICU
Amefanikiwa kuharibu mengi tena kwa kipindi kifupi
unatetea ujinga na ww iyo elimu yenyewe ndo ile kama mtu amefeli labda kidato cha pili anapitishwa ivo ivo ili akapate zero form fourSubiria sasa uone ' Mangumbaru ' yakishatoka Kushiba huko Ugali watakavyokuja kutiririka na kuserereka ' Kipopoma ' tupu juu ya haya ya ukweli yote uliyoyaandika. Wanakuja sasa hivi Mkuu!
Hapa niombe ufafanuzi zaidi, samahani lakini4. Ujenzi wa viwanda
Hili hata sina haja ya kulielezea maana kila mtu habari anayo
Yule pole pole aliyesema nanukuu: KAMA UCHAGUZI UKIWA HURU NA WA HAKI BASI CCM IJIANDAE KUONDOKA MADARAKANI, mbona anaendelea kupotosha watu na kufanya siasa au yy sio mwanasiasa.Almost point zote hizi ni za kipumbavu
Kwanza hauna uwakika na unachosema
Pili hajaua democrasia ila kauwa njia ya wanasiasa kudanganya na kucheza na vichwa vya wa2
mkuu refer hii mifano michache.Hapa niombe ufafanuzi zaidi, samahani lakini
hiyo hiyo amani ambayo unaiona wewe, au mwenzangu unaona hamna amani hapa nchiniHiyo amani unayoisemea wewe ni IPI?
Kwa sababu una macho na huoni1. Kaua watu watu wengi
2. Kaua demokrasia
3. Amevunja umoja na mshikamano wetu watanzania
4. Kaua uchumi wa nchi
5. Kaondoa amani
6.Kashusha taswira ya watanzania tuliyokuwa nayo nje ya nchi
7. Kaua elimu ambayo tayari ilikuwa ICU
Amefanikiwa kuharibu mengi tena kwa kipindi kifupi
hiyo hiyo amani ambayo unaiona wewe, au mwenzangu unaona hamna amani hapa nchini
Nishamjibu mwenzio ninauhakika utaliona jibu ukiendelea kusomaNitajie kiwanda kimoja tu ukitoa vile vilivyoachwa vinajengwa awamu ya kikwete