msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
Kama mtu huna sifa za kufanya hiyo kazi hupaswi kufanya kuna watu wamesugua got kwa miaka mingi wakisomea fani mbalimbali halafu mtu akae kazini hajasoma ilihali na wasomi wapo ungekuwa wewe ungekubali?Watu wana sema kaleta nidhamu.nidhamu hailetwi kwa kufukuza watu hovyo na kutoa kauli za vitisho. Mngefahamu watumishi wanavyomfanya huyu jamaa mngesikitika sana
Kuna sehemu jamaa kafanya vizuri lazima tuseme kama unavyo sema kuwa miradi mingi ilikuwa on going lakini unasahau kuwa kama Rais angekuwa na nia ivu hii mirada angeivuruga lakini aljchokifanya ni kuiendeleza tena Kwa kasi ya ajabu.
Kuna kitu mimi nilisha jifunza juu ya watanzania ni kuwa kamwe hawawezi kumsema vizuri Rais mpaka pale atakapo ondoka na hili litakuja kutokea trust me.