Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
-Jk kaasisi flyover mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kamalizia ujenzi wa shule za kata wewe umeshindwa hata kupeleka walimu wa chekechea.
-Jk kaanzisha ujenzi wa barabara na usafiri wa mwendo kasi(Bus Rapid Transport) mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kajenga daraja la Nyerere(Nyerere Bridge) wewe ukazindua na kumtumbua mshikaji kabwe darajani kwa mbwembwe.
-Jk kaanzisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa(JK Nyerere international air port) wewe ukazindua.
-Jk kaunganisha mikoa yote Tanzania kwa kiwango cha lami,wewe una bomolea watu nyumba zao.
-Jk miaka yake yote katoa ajira wewe jamaa miaka 2 umeshndwa kabisa.
-Jk kaanzisha bunge mubashara wewe ukazima bunge.
Endelea kupanga baraza la mawaziri,Endelea kubana matumizi.
Mwanahabari Huru
Swali la Kizushi:"WATU WASIOJULIKANA SIKUHIZI WANATOKEA RWANDA?"
Kiongozi yeyote anayefikiria Chuki,Ubaguzi na Visasi ndivyo vitainua Uchumi atajikuta anatengeneza viwanda vya Chuki na visasi kila kukicha.
AKimaliza miaka 5 atapiga domo itaisha ,atataka kuongeza nayo itaisha na bado hatofanikiwa.Tutaishia kupigiwa makofi tu