Na anapojidanganya huyu hajui kuwa watumishi wa umma sio watumishi wa Chama, hawana chakupoteza hata upinzani ukichukua nchi, polisi, walimu, madaktari, watabaki na kazi zao kama kawaida, kwahiyo ajue kabisa 2020 huyu akipata 30% ya kura zote nahama nchi hata kama upinzani utashindaWatu wana sema kaleta nidhamu.nidhamu hailetwi kwa kufukuza watu hovyo na kutoa kauli za vitisho. Mngefahamu watumishi wanavyomfanya huyu jamaa mngesikitika sana
Mkuu hukusikia mwendo ni bidhaa kwa bidhaa debe la mahindi kwa Mbuzi 6. Wewe peleka nyanya debe utamuona doctor.Hivi jaman tukiachana na masuala ya kujenga jenga pesa si angepeleka na sector nyingine. Ili mzunguko wa pesa uwe mkubwa.
Maana ukifuatilia makampuni mengi ya ujenzi ni ya foreigners so pesa haibaki nchini. Hivyo uchumi kuzidi kudorora zaidi
Maendeleo ya vitu hata jakaya ameyafanya Magufuli cha maana alichofanya ni kukomesha Rushwa na kuleta nidhamu
Tuacheni mihemko tumsifu pale alipopatia maana nchi ilikuwa imeoza.
Fikiri mkuu hajaenda hata dubai kuosha macho kwa Uzalendo wake.
Mbunge wa Tandahimba asimame na alijibu swali linalomhusu moja kwa moja.Yote hayo yamemsaidia vipu mwananchi alieko Tandahimba?
Haya aliyoyafanya na kwa muda aliyoutumia, yule mzee mwenye mvi hata robo asingeweza kuyafanya.Ha ha imebidi nicheke. na kelele zote hizi haya ndio kayafanya. Kukomesha rushwa how , nidhamu makazini unaweza kuniambia how, airport mwanza na Dar pamoja na flyovers ni on going projects alizikuta. Alichofanya yeye ni kununua bombardier used 2 ,kujenga hostels ya wanafunzi na kupanua hicho kipande cha barabara ya moroko.
Nyingine tunasikia kila siku ni mikwara , vitisho na ubabe ,kabaki kusema fanyeni kazi. Tutaona hiyo 2020. Hajaanza hata km 50 ya lami toka aingie ikulu
Kuipa nguvu vita ya madawa ya kulevyaMnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Kurudisha pesa za TAASISI zetu Benki kuu zile fixed account za TAASISI walikuwa wanakula vigogoMagufuli oyeeeeeee