yeah nadhani ni kweli,kabisa kwa maana kam jambo unalotaka kulifikia ni jema bhas njia yake huwa haisumbui kutokana na kwamba hata watu hawatokubugudhi katika kufanya mambo yako pia akili na moyo wako utakuwa na ujasiri wa kufanya yote yalo mema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.