ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,554
- 44,725
Uchaguzi uliopita bahati mbaya Sana ulipata Kura chache kwa sababu watanzania walikuwa hawajui ukweli kuhusu nchi yao.ila toka uanze mchaka mchaka huu wa awamu ya tano watu wamegundua Ni Nani anayesema ukweli na wakina Nani miyeyusho.