Katika utwala wake mengi nimejifinza kama yafuatayo
1. Wajibika ipasavyo bila kujali fitina na majungu kutoka kwa watu Mfano. Yule waziri wakulilia
2. Fanya unachokiamini siku zote sio kila mtu atakuelewa
3.Usiamini sana watu maana hubadilika kwa nyakati Mfano. Kigwangala, Mama Traveller,
4.Ukimnyanganya mtu tonge lake ambalo alikua apati kihalali lazima atakuchukia Mfano.Mzoga gang
5.Tengeneza njia yako tofauti na wengine
6.Sio kila kitu kinacholetwa na wazungu ni bora,
7.Kutoa sadaka maisha yako kwa ajili ya wengine hata kama hawaoni dhamani yako kwa sasa iko siku wataiona.
Mwisho niseme Magufuli atabaki kuwa mfano mzuri katika maisha yangu yote.Mungu akupe pumziko la amani uko uliko.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
1. Wajibika ipasavyo bila kujali fitina na majungu kutoka kwa watu Mfano. Yule waziri wakulilia
2. Fanya unachokiamini siku zote sio kila mtu atakuelewa
3.Usiamini sana watu maana hubadilika kwa nyakati Mfano. Kigwangala, Mama Traveller,
4.Ukimnyanganya mtu tonge lake ambalo alikua apati kihalali lazima atakuchukia Mfano.Mzoga gang
5.Tengeneza njia yako tofauti na wengine
6.Sio kila kitu kinacholetwa na wazungu ni bora,
7.Kutoa sadaka maisha yako kwa ajili ya wengine hata kama hawaoni dhamani yako kwa sasa iko siku wataiona.
Mwisho niseme Magufuli atabaki kuwa mfano mzuri katika maisha yangu yote.Mungu akupe pumziko la amani uko uliko.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app