Mafanikio ya CCM kwenye Chaguzi za Marudio ni somo tosha: Africa inahitaji maendeleo ili yalete demokrasia na si demokrasia ya kuleta maendeleo

Daimler

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
556
973
IMG_7699.JPG


Matokeo ya Uchaguzi wa Marudio yakiendelea yanaonyesha CCM ikipata ushindi mwingine wa kishindo kama Chaguzi nyingine zilizopita na hivyo kuongeza shinikizo legitimacy crisis kwa Upinzani nchini. Tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani hadi sasa, kumeshafanyika Chaguzi za Marudio zifuatazo na matokeo yake:
  • Mwezi Januari 2017: CCM - majimbo 01 na kata 19; CHADEMA - 01
  • Mwezi Novemb 2017: CCM - kata 42 na CHADEMA - kata 01.
  • Mwezi Januari 2018: CCM - majimbo 03 na CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Februari 2018: CCM - majimbo 02 na kata 08; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Agosti 2018: CCM - majimbo 01 na kata 79; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Septemba 2018: CCM - majimbo 02, kata 23; CHADEMA - kata 00.
Katika jumla ya Majimbo tisa, yote yamechukuliwa na CCM.
Katika jumla ya Kata 174, CCM imezoa kata zote isipokuwa mbili pekee.

Upinzani wamekuwa wakilalamika kuwa, Serikali inatumia vyombo vya dola, pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuvikandamiza Vyama vya Upinzani. Yes, katika akili za kiubinadamu, unaweza ukajikuta ukasahau kiini (core) cha tatizo na kushughulika na sporadic effects za hilo tatizo.
Swali la kujiuliza: Hivi barani Afrika, Tanzania ndiko kwenye Tume ya Uchaguzi pekee? Tanzania ndiko kwenye Vyombo vya Dola pekee? Kama viko kila Nchi kwa nini kuna malalamiko yasiyoisha juu ya uonevu? Kwani Wapinzani katika Nchi nyingine za kiafrika walifanyaje? Mbona hapa Afrika Mashariki, Tanzania imeongoza kidemokrasia mwaka 2017 tena kipindi hivi cha Magufuli wanayemuita dikteta?

Tanzania Tops Region in Democracy Index

IMG_7789.JPG


Uzoefu barani Afrika unaonyesha wazi kuwa, hakuna serikali iliyokuwa ikilaumiwa kwa udikteta, ilipoondolewa madarakani, basi mambo yalibadilika kuwa ya kidemokrasia.
Mambo haya yalianzia kwa:
  • Ghana: Kwame Nkrumah - 1966. Walifurahi kupinduliwa kwake lakini waliompindua nao walipinduliwa mwaka 1972.
  • Uganda: Milton Obote - 1972. Waganda awali walimfurahia Idd Amin, baadaye je?
  • Uganda: Obote & Tito Okello - 1986. Walimfurahia Yoweri Museveni, leo je?
  • Zambia: Kenneth Kaunda - 1993. Walimfurahia sana Frederick Chiluba, baadaye je?
  • Zaire: Mobutu Sesse Sekou - 1996. Walimfurahia Laurent Kabila, baadaye, je?
  • Congo: Denis Sassou Nguesso - 1993. Walifurahia Pascal Lisouba na baadaye tena huyo huyo Nguesso.
  • Ivory Coast: Robert Guei & Laurent Gbagbo 2002 - 2010. Alikuja Alassane Ouattara but what next?
  • Rwanda: Juvenile Habyarimana. Walimfurahia Paul Kagame, what next?
  • Burundi: Pierre Buyoya - 1998. Walimfurahia Pierre Nkurunzinza, leo je?
  • Tunisia: Zine Ben Ali - 2011. Walifurahia mno but mpaka leo hali haija-settle tena.
  • Misri: Hosni Mubarak - 2011. Walifurahia sana kupinduliwa kwake, wakoje sasa?
  • Libya: Muamar Gaddafi - 2011. What next? Leo hii kupinduliwa kwa huyu jamaa has become among the grave mistakes politics have ever made in our modern times. Angalia jinsi wahamiaji wanavyowa-haunt wazungu huko Ulaya.
  • Misri: Mohammed Morsi - 2013. Walimfurahia sana Abdul Fattal el Sisi, leo je?
  • Sudan/South Sudan: Al Bashir - 2010. Walimfurahia sana John Garang, leo wakoje?

Tunaweza kuchambua vyema na mifano mingi zaidi iliyopo hapa barani Afrika.
Kamwe hakuna guarantee kuwa, kwa aina ya maendeleo ya sasa ya Tanzania, Chama kingine kikiingia madarakani kutakuwepo na demokrasia tunayoifikiria na tuliyosoma vyuoni - never.

Demokrasia namba moja ya Tanzania ni maendeleo ya kiuchumi. Bahati mbaya maendeleo ya kiuchumi ni suala la usimamizi zaidi kuliko suala la makubaliano. Demokrasia haiwezi kuleta maendeleo ya kiuchumi bali maendeleo ya kiuchumi ndiyo yanaleta demokrasia.
Refer to Maslow's Hierarchy of Needs.

Muwajue wananchi wenu wanachotaka. Hawaoni issue nyie hata mkiibiwa kura coz halijawahi kuwa tatizo lao kuu. Tatizo lao kuu ni ajira, afya, maji, barabara nzuri, elimu na the sort. Tujifungue macho, hamuwezi kufikiria - mmeshiriki chaguzi ndogo sita tangu Rais Magufuli aingie madarakani, huku mkilalamika kuonewa kila leo, kwa nini wananchi hawawasiklizi?

Ushauri wangu, shirikianeni bega kwa bega Serikali, one day wananchi watachambua mchele na pumba. "An Organisation normally reflects the Society's behavior."
 
mtu ambaye ana akili timamu hawezi kuiunga mkono chadema
Chadema wamechoka,wamefulia,hata uchaguzi wameshiriki bora liende,hakuna chopa wala baiskeli,pesa yote sultani kajilipa madeni
Kuanzia kesho tutaanza kusikia lawama kwamba fedha ya kampeni haikupelekwa sehemu husika
 
View attachment 868479

Matokeo ya Uchaguzi wa Marudio yakiendelea yanaonyesha CCM ikipata ushindi mwingine wa kishindo kama Chaguzi nyingine zilizopita na hivyo kuongeza shinikizo legitimacy crisis kwa Upinzani nchini. Tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani hadi sasa, kumeshafanyika Chaguzi za Marudio zifuatazo na matokeo yake:
  • Mwezi Januari 2017: CCM - majimbo 01 na kata 19; CHADEMA - 01
  • Mwezi Novemb 2017: CCM - kata 42 na CHADEMA - kata 01.
  • Mwezi Januari 2018: CCM - majimbo 03 na CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Februari 2018: CCM - majimbo 02 na kata 08; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Agosti 2018: CCM - majimbo 01 na kata 79; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Septemba 2018: CCM - majimbo 02, kata 37; CHADEMA - kata 00.
Katika jumla ya Majimbo tisa, yote yamechukuliwa na CCM.
Katika jumla ya Kata 187, CCM imezoa kata zote isipokuwa mbili pekee.

| Politiksi Kurunzini
BAADA YA CCM KUZOA KATA 42 KATI YA 43 UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI, YAIPONGEZA CHADEMA KUAMBULIA KATA MOJA ~ CCM Blog
CCM WAIBUKA WASHINDI UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA SONGEA MJINI,SINGIDA KASKAZINI NA LONGIDO | Moto Moto News

Upinzani wamekuwa wakilalamika kuwa, Serikali inatumia vyombo vya dola, pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuvikandamiza Vyama vya Upinzani. Yes, katika akili za kiubinadamu, unaweza ukajikuta ukasahau kiini (core) cha tatizo na kushughulika na sporadic effects za hilo tatizo.
Swali la kujiuliza: Hivi barani Afrika, Tanzania ndiko kwenye Tume ya Uchaguzi pekee? Tanzania ndiko kwenye Vyombo vya Dola pekee? Kama viko kila Nchi kwa nini kuna malalamiko yasiyoisha juu ya uonevu? Kwani Wapinzani katika Nchi nyingine za kiafrika walifanyaje? Mbona hapa Afrika Mashariki, Tanzania imeongoza kidemokrasia mwaka 2017 tena kipindi hivi cha Magufuli wanayemuita dikteta?
Tanzania Tops Region in Democracy Index

View attachment 868480

Uzoefu barani Afrika unaonyesha wazi kuwa, hakuna serikali iliyokuwa ikilaumiwa kwa udikteta, ilipoondolewa madarakani, basi mambo yalibadilika kuwa ya kidemokrasia.
Mambo haya yalianzia kwa:
  • Ghana: Kwame Nkrumah - 1966. Walifurahi kupinduliwa kwake lakini waliomo India nao walipinduliwa 1972.
  • Uganda: Milton Obote - 1972. Waganda awali walimfurahia Idd Amin, baadaye je?
  • Uganda: Obote & Tito Okello - 1986. Walimfurahia Yoweri Museveni, leo je?
  • Zambia: Kenneth Kaunda - 1993. Walimfurahia sana Frederick Chiluba, baadaye je?
  • Zaire: Mobutu Sesse Sekou - 1996. Walimfurahia Laurent Kabila, baadaye, je?
  • Congo: Denis Sassou Nguesso - 1993. Walifurahia Pascal Lisouba na baadaye tena huyo huyo Nguesso.
  • Ivory Coast: Robert Guei & Laurent Gbagbo 2002 - 2010. Alikuja Alassane Ouattara but what next?
  • Rwanda: Juvenile Habyarimana. Walimfurahia Kagame, what next?
  • Burundi: Pierre Buyoya - 1998. Walimfurahia Pierre Nkurunzinza, leo je?
  • Tunisia: Zine Ben Ali - 2011. Walifurahia mno but mpaka leo hali haija-settle tena.
  • Misri: Hosni Mubarak - 2011. Walifurahia sana kupinduliwa kwake, wakoje sasa?
  • Libya: Muamar Gaddafi - 2011. What next? Leo hii kupinduliwa kwa huyu jamaa has become among the grave mistakes politics have ever made in our modern times. Angalia jinsi uhamiaji unavyowa-haunt wazungu huko Ulaya.
  • Misri: Mohammed Morsi - 2013. Walimfurahia sana Abdul Fattal el Sisi, leo je?

Tunaweza kuchambua vyema na mifano mingi zaidi iliyopo hapa barani Afrika.
Kamwe hakuna guarantee kuwa, kwa aina ya maendeleo ya sasa ya Tanzania, Chama kingine kikiingia madarakani kutakuwepo na demokrasia tunayoifikiria na tuliyodomaa vyuoni - never.

Demokrasia namba moja ya Tanzania ni maendeleo ya kiuchumi. Bahati mbaya maendeleo ya kiuchumi ni suala la usimamizi zaidi kuliko suala la kukubaliana. Demokrasia haiwezi kuleta maendeleo ya kiuchumi bali maendeleo ya kiuchumi ndiyo yanaleta demokrasia.
Refer to Maslow's Hierarchy of Needs.

Muwajue wananchi wenu wanachotaka. Hawaoni issue nyie hata mkiibiwa kura coz halijawahi kuwa tatizo lao kuu. Tatizo lao kuu ni ajira, afya, maji, barabara nzuri, elimu na the sort. Tujifungue macho, hamuwezi kufikiria - mmeshiriki chaguzi ndogo tano tangu Rais Magufuli aingie madarakani, huku mkilalamika kuonewa kila leo, kwa nini wananchi hawawasiklizi?

Ushauri wangu, shirikianeni bega kwa bega Serikali, one day wananchi watachambua mcheele na pumba. "An Organisation normally reflects the Society's behavior."
mkuu naona unamawazo ya kuku, ale alale aamke tena. demokrasia ndio inayo hitajika kuleta maendeleo.
 
Upo kichamaa zaid....but umejitahid kuelezea mifano mizuri......viongoz WA Africa wanaingia kama n kondooo mwanzon Ila time will tell the truth ...( uchaguz gan askari wanakuwa wengi kuliko wapiga kura.....uchaguz gan watu wanakimbia na mabox ....zen yanarudishwa....uchaguz Gan mawakala wanatolewa nje upinzani..tu.......wat we need free and
Fair election.......
 
Ingawa umeongea kisiasa kwa upande Mmoja, ili pia umeongea mambo mengi ya msingi upande mwingine mfano ni uliposema Afrika inahitaji Maendeleo ili yalete democrasia na sio democrasia ilete Maendeleo nakupongeza sana katika hilo jambo, umeonesha ukomavu wa hali ya juu
 
View attachment 868479

Matokeo ya Uchaguzi wa Marudio yakiendelea yanaonyesha CCM ikipata ushindi mwingine wa kishindo kama Chaguzi nyingine zilizopita na hivyo kuongeza shinikizo legitimacy crisis kwa Upinzani nchini. Tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani hadi sasa, kumeshafanyika Chaguzi za Marudio zifuatazo na matokeo yake:
  • Mwezi Januari 2017: CCM - majimbo 01 na kata 19; CHADEMA - 01
  • Mwezi Novemb 2017: CCM - kata 42 na CHADEMA - kata 01.
  • Mwezi Januari 2018: CCM - majimbo 03 na CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Februari 2018: CCM - majimbo 02 na kata 08; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Agosti 2018: CCM - majimbo 01 na kata 79; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Septemba 2018: CCM - majimbo 02, kata 37; CHADEMA - kata 00.
Katika jumla ya Majimbo tisa, yote yamechukuliwa na CCM.
Katika jumla ya Kata 187, CCM imezoa kata zote isipokuwa mbili pekee.

| Politiksi Kurunzini
BAADA YA CCM KUZOA KATA 42 KATI YA 43 UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI, YAIPONGEZA CHADEMA KUAMBULIA KATA MOJA ~ CCM Blog
CCM WAIBUKA WASHINDI UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA SONGEA MJINI,SINGIDA KASKAZINI NA LONGIDO | Moto Moto News

Upinzani wamekuwa wakilalamika kuwa, Serikali inatumia vyombo vya dola, pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuvikandamiza Vyama vya Upinzani. Yes, katika akili za kiubinadamu, unaweza ukajikuta ukasahau kiini (core) cha tatizo na kushughulika na sporadic effects za hilo tatizo.
Swali la kujiuliza: Hivi barani Afrika, Tanzania ndiko kwenye Tume ya Uchaguzi pekee? Tanzania ndiko kwenye Vyombo vya Dola pekee? Kama viko kila Nchi kwa nini kuna malalamiko yasiyoisha juu ya uonevu? Kwani Wapinzani katika Nchi nyingine za kiafrika walifanyaje? Mbona hapa Afrika Mashariki, Tanzania imeongoza kidemokrasia mwaka 2017 tena kipindi hivi cha Magufuli wanayemuita dikteta?
Tanzania Tops Region in Democracy Index

View attachment 868480

Uzoefu barani Afrika unaonyesha wazi kuwa, hakuna serikali iliyokuwa ikilaumiwa kwa udikteta, ilipoondolewa madarakani, basi mambo yalibadilika kuwa ya kidemokrasia.
Mambo haya yalianzia kwa:
  • Ghana: Kwame Nkrumah - 1966. Walifurahi kupinduliwa kwake lakini waliomo India nao walipinduliwa 1972.
  • Uganda: Milton Obote - 1972. Waganda awali walimfurahia Idd Amin, baadaye je?
  • Uganda: Obote & Tito Okello - 1986. Walimfurahia Yoweri Museveni, leo je?
  • Zambia: Kenneth Kaunda - 1993. Walimfurahia sana Frederick Chiluba, baadaye je?
  • Zaire: Mobutu Sesse Sekou - 1996. Walimfurahia Laurent Kabila, baadaye, je?
  • Congo: Denis Sassou Nguesso - 1993. Walifurahia Pascal Lisouba na baadaye tena huyo huyo Nguesso.
  • Ivory Coast: Robert Guei & Laurent Gbagbo 2002 - 2010. Alikuja Alassane Ouattara but what next?
  • Rwanda: Juvenile Habyarimana. Walimfurahia Kagame, what next?
  • Burundi: Pierre Buyoya - 1998. Walimfurahia Pierre Nkurunzinza, leo je?
  • Tunisia: Zine Ben Ali - 2011. Walifurahia mno but mpaka leo hali haija-settle tena.
  • Misri: Hosni Mubarak - 2011. Walifurahia sana kupinduliwa kwake, wakoje sasa?
  • Libya: Muamar Gaddafi - 2011. What next? Leo hii kupinduliwa kwa huyu jamaa has become among the grave mistakes politics have ever made in our modern times. Angalia jinsi uhamiaji unavyowa-haunt wazungu huko Ulaya.
  • Misri: Mohammed Morsi - 2013. Walimfurahia sana Abdul Fattal el Sisi, leo je?

Tunaweza kuchambua vyema na mifano mingi zaidi iliyopo hapa barani Afrika.
Kamwe hakuna guarantee kuwa, kwa aina ya maendeleo ya sasa ya Tanzania, Chama kingine kikiingia madarakani kutakuwepo na demokrasia tunayoifikiria na tuliyodomaa vyuoni - never.

Demokrasia namba moja ya Tanzania ni maendeleo ya kiuchumi. Bahati mbaya maendeleo ya kiuchumi ni suala la usimamizi zaidi kuliko suala la kukubaliana. Demokrasia haiwezi kuleta maendeleo ya kiuchumi bali maendeleo ya kiuchumi ndiyo yanaleta demokrasia.
Refer to Maslow's Hierarchy of Needs.

Muwajue wananchi wenu wanachotaka. Hawaoni issue nyie hata mkiibiwa kura coz halijawahi kuwa tatizo lao kuu. Tatizo lao kuu ni ajira, afya, maji, barabara nzuri, elimu na the sort. Tujifungue macho, hamuwezi kufikiria - mmeshiriki chaguzi ndogo tano tangu Rais Magufuli aingie madarakani, huku mkilalamika kuonewa kila leo, kwa nini wananchi hawawasiklizi?

Ushauri wangu, shirikianeni bega kwa bega Serikali, one day wananchi watachambua mcheele na pumba. "An Organisation normally reflects the Society's behavior."
Usanii unaita mafanikio?Ona aibu japo kidogo
 
View attachment 868479

Matokeo ya Uchaguzi wa Marudio yakiendelea yanaonyesha CCM ikipata ushindi mwingine wa kishindo kama Chaguzi nyingine zilizopita na hivyo kuongeza shinikizo legitimacy crisis kwa Upinzani nchini. Tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani hadi sasa, kumeshafanyika Chaguzi za Marudio zifuatazo na matokeo yake:
  • Mwezi Januari 2017: CCM - majimbo 01 na kata 19; CHADEMA - 01
  • Mwezi Novemb 2017: CCM - kata 42 na CHADEMA - kata 01.
  • Mwezi Januari 2018: CCM - majimbo 03 na CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Februari 2018: CCM - majimbo 02 na kata 08; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Agosti 2018: CCM - majimbo 01 na kata 79; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Septemba 2018: CCM - majimbo 02, kata 37; CHADEMA - kata 00.
Katika jumla ya Majimbo tisa, yote yamechukuliwa na CCM.
Katika jumla ya Kata 187, CCM imezoa kata zote isipokuwa mbili pekee.

| Politiksi Kurunzini
BAADA YA CCM KUZOA KATA 42 KATI YA 43 UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI, YAIPONGEZA CHADEMA KUAMBULIA KATA MOJA ~ CCM Blog
CCM WAIBUKA WASHINDI UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA SONGEA MJINI,SINGIDA KASKAZINI NA LONGIDO | Moto Moto News

Upinzani wamekuwa wakilalamika kuwa, Serikali inatumia vyombo vya dola, pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuvikandamiza Vyama vya Upinzani. Yes, katika akili za kiubinadamu, unaweza ukajikuta ukasahau kiini (core) cha tatizo na kushughulika na sporadic effects za hilo tatizo.
Swali la kujiuliza: Hivi barani Afrika, Tanzania ndiko kwenye Tume ya Uchaguzi pekee? Tanzania ndiko kwenye Vyombo vya Dola pekee? Kama viko kila Nchi kwa nini kuna malalamiko yasiyoisha juu ya uonevu? Kwani Wapinzani katika Nchi nyingine za kiafrika walifanyaje? Mbona hapa Afrika Mashariki, Tanzania imeongoza kidemokrasia mwaka 2017 tena kipindi hivi cha Magufuli wanayemuita dikteta?
Tanzania Tops Region in Democracy Index

View attachment 868480

Uzoefu barani Afrika unaonyesha wazi kuwa, hakuna serikali iliyokuwa ikilaumiwa kwa udikteta, ilipoondolewa madarakani, basi mambo yalibadilika kuwa ya kidemokrasia.
Mambo haya yalianzia kwa:
  • Ghana: Kwame Nkrumah - 1966. Walifurahi kupinduliwa kwake lakini waliomo India nao walipinduliwa 1972.
  • Uganda: Milton Obote - 1972. Waganda awali walimfurahia Idd Amin, baadaye je?
  • Uganda: Obote & Tito Okello - 1986. Walimfurahia Yoweri Museveni, leo je?
  • Zambia: Kenneth Kaunda - 1993. Walimfurahia sana Frederick Chiluba, baadaye je?
  • Zaire: Mobutu Sesse Sekou - 1996. Walimfurahia Laurent Kabila, baadaye, je?
  • Congo: Denis Sassou Nguesso - 1993. Walifurahia Pascal Lisouba na baadaye tena huyo huyo Nguesso.
  • Ivory Coast: Robert Guei & Laurent Gbagbo 2002 - 2010. Alikuja Alassane Ouattara but what next?
  • Rwanda: Juvenile Habyarimana. Walimfurahia Kagame, what next?
  • Burundi: Pierre Buyoya - 1998. Walimfurahia Pierre Nkurunzinza, leo je?
  • Tunisia: Zine Ben Ali - 2011. Walifurahia mno but mpaka leo hali haija-settle tena.
  • Misri: Hosni Mubarak - 2011. Walifurahia sana kupinduliwa kwake, wakoje sasa?
  • Libya: Muamar Gaddafi - 2011. What next? Leo hii kupinduliwa kwa huyu jamaa has become among the grave mistakes politics have ever made in our modern times. Angalia jinsi uhamiaji unavyowa-haunt wazungu huko Ulaya.
  • Misri: Mohammed Morsi - 2013. Walimfurahia sana Abdul Fattal el Sisi, leo je?

Tunaweza kuchambua vyema na mifano mingi zaidi iliyopo hapa barani Afrika.
Kamwe hakuna guarantee kuwa, kwa aina ya maendeleo ya sasa ya Tanzania, Chama kingine kikiingia madarakani kutakuwepo na demokrasia tunayoifikiria na tuliyodomaa vyuoni - never.

Demokrasia namba moja ya Tanzania ni maendeleo ya kiuchumi. Bahati mbaya maendeleo ya kiuchumi ni suala la usimamizi zaidi kuliko suala la kukubaliana. Demokrasia haiwezi kuleta maendeleo ya kiuchumi bali maendeleo ya kiuchumi ndiyo yanaleta demokrasia.
Refer to Maslow's Hierarchy of Needs.

Muwajue wananchi wenu wanachotaka. Hawaoni issue nyie hata mkiibiwa kura coz halijawahi kuwa tatizo lao kuu. Tatizo lao kuu ni ajira, afya, maji, barabara nzuri, elimu na the sort. Tujifungue macho, hamuwezi kufikiria - mmeshiriki chaguzi ndogo tano tangu Rais Magufuli aingie madarakani, huku mkilalamika kuonewa kila leo, kwa nini wananchi hawawasiklizi?

Ushauri wangu, shirikianeni bega kwa bega Serikali, one day wananchi watachambua mcheele na pumba. "An Organisation normally reflects the Society's behavior."

Ungejua hasira hasira za raia uku uraian usingeandika.
 
View attachment 868479

Matokeo ya Uchaguzi wa Marudio yakiendelea yanaonyesha CCM ikipata ushindi mwingine wa kishindo kama Chaguzi nyingine zilizopita na hivyo kuongeza shinikizo legitimacy crisis kwa Upinzani nchini. Tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani hadi sasa, kumeshafanyika Chaguzi za Marudio zifuatazo na matokeo yake:
  • Mwezi Januari 2017: CCM - majimbo 01 na kata 19; CHADEMA - 01
  • Mwezi Novemb 2017: CCM - kata 42 na CHADEMA - kata 01.
  • Mwezi Januari 2018: CCM - majimbo 03 na CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Februari 2018: CCM - majimbo 02 na kata 08; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Agosti 2018: CCM - majimbo 01 na kata 79; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Septemba 2018: CCM - majimbo 02, kata 37; CHADEMA - kata 00.
Katika jumla ya Majimbo tisa, yote yamechukuliwa na CCM.
Katika jumla ya Kata 187, CCM imezoa kata zote isipokuwa mbili pekee.

| Politiksi Kurunzini
BAADA YA CCM KUZOA KATA 42 KATI YA 43 UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI, YAIPONGEZA CHADEMA KUAMBULIA KATA MOJA ~ CCM Blog
CCM WAIBUKA WASHINDI UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA SONGEA MJINI,SINGIDA KASKAZINI NA LONGIDO | Moto Moto News

Upinzani wamekuwa wakilalamika kuwa, Serikali inatumia vyombo vya dola, pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuvikandamiza Vyama vya Upinzani. Yes, katika akili za kiubinadamu, unaweza ukajikuta ukasahau kiini (core) cha tatizo na kushughulika na sporadic effects za hilo tatizo.
Swali la kujiuliza: Hivi barani Afrika, Tanzania ndiko kwenye Tume ya Uchaguzi pekee? Tanzania ndiko kwenye Vyombo vya Dola pekee? Kama viko kila Nchi kwa nini kuna malalamiko yasiyoisha juu ya uonevu? Kwani Wapinzani katika Nchi nyingine za kiafrika walifanyaje? Mbona hapa Afrika Mashariki, Tanzania imeongoza kidemokrasia mwaka 2017 tena kipindi hivi cha Magufuli wanayemuita dikteta?
Tanzania Tops Region in Democracy Index

View attachment 868480

Uzoefu barani Afrika unaonyesha wazi kuwa, hakuna serikali iliyokuwa ikilaumiwa kwa udikteta, ilipoondolewa madarakani, basi mambo yalibadilika kuwa ya kidemokrasia.
Mambo haya yalianzia kwa:
  • Ghana: Kwame Nkrumah - 1966. Walifurahi kupinduliwa kwake lakini waliomo India nao walipinduliwa 1972.
  • Uganda: Milton Obote - 1972. Waganda awali walimfurahia Idd Amin, baadaye je?
  • Uganda: Obote & Tito Okello - 1986. Walimfurahia Yoweri Museveni, leo je?
  • Zambia: Kenneth Kaunda - 1993. Walimfurahia sana Frederick Chiluba, baadaye je?
  • Zaire: Mobutu Sesse Sekou - 1996. Walimfurahia Laurent Kabila, baadaye, je?
  • Congo: Denis Sassou Nguesso - 1993. Walifurahia Pascal Lisouba na baadaye tena huyo huyo Nguesso.
  • Ivory Coast: Robert Guei & Laurent Gbagbo 2002 - 2010. Alikuja Alassane Ouattara but what next?
  • Rwanda: Juvenile Habyarimana. Walimfurahia Kagame, what next?
  • Burundi: Pierre Buyoya - 1998. Walimfurahia Pierre Nkurunzinza, leo je?
  • Tunisia: Zine Ben Ali - 2011. Walifurahia mno but mpaka leo hali haija-settle tena.
  • Misri: Hosni Mubarak - 2011. Walifurahia sana kupinduliwa kwake, wakoje sasa?
  • Libya: Muamar Gaddafi - 2011. What next? Leo hii kupinduliwa kwa huyu jamaa has become among the grave mistakes politics have ever made in our modern times. Angalia jinsi uhamiaji unavyowa-haunt wazungu huko Ulaya.
  • Misri: Mohammed Morsi - 2013. Walimfurahia sana Abdul Fattal el Sisi, leo je?

Tunaweza kuchambua vyema na mifano mingi zaidi iliyopo hapa barani Afrika.
Kamwe hakuna guarantee kuwa, kwa aina ya maendeleo ya sasa ya Tanzania, Chama kingine kikiingia madarakani kutakuwepo na demokrasia tunayoifikiria na tuliyodomaa vyuoni - never.

Demokrasia namba moja ya Tanzania ni maendeleo ya kiuchumi. Bahati mbaya maendeleo ya kiuchumi ni suala la usimamizi zaidi kuliko suala la kukubaliana. Demokrasia haiwezi kuleta maendeleo ya kiuchumi bali maendeleo ya kiuchumi ndiyo yanaleta demokrasia.
Refer to Maslow's Hierarchy of Needs.

Muwajue wananchi wenu wanachotaka. Hawaoni issue nyie hata mkiibiwa kura coz halijawahi kuwa tatizo lao kuu. Tatizo lao kuu ni ajira, afya, maji, barabara nzuri, elimu na the sort. Tujifungue macho, hamuwezi kufikiria - mmeshiriki chaguzi ndogo tano tangu Rais Magufuli aingie madarakani, huku mkilalamika kuonewa kila leo, kwa nini wananchi hawawasiklizi?

Ushauri wangu, shirikianeni bega kwa bega Serikali, one day wananchi watachambua mcheele na pumba. "An Organisation normally reflects the Society's behavior."
Uchambuzi na ushauri murua! Ila kwavile upinzani wa Tanzania umekuzwa kwenye nguzo kuu ya matusi watakushushia mvua.
 
Nilidhani thread ya maana kumbe mavi mavi. Haya basi hao viongozi wote wanaong'ang'ania madaraka wasioruhusu demokrasia, wameleta maendeleo yapi?

OK! South Africa imeendelea, usa na nchi nyingine barani ulaya zimeendelea vizur tu kwa demokrasia.

Demokrasia hairudishi nyuma maendeleo bali ni kichocheo chake
Ujinga wenu ni kujiona mnajua kila kitu! Hivi South Africa imeendelea wakati kukiwa na demokrasia? Unajua jinsi makaburu walivyokuwa?? Wameendesha nchi kwa mkono wa chuma!
 
Chadema wanatakiwa wabadilke wasiwe kama Mange Kimambi aliyeamini kuwa na wafuasi wengi kwenye mitandao akiitisha maandamano watamuunga mkono matokeo yake alibaki peke yake akiandamana ingekuwa ni uchaguzi naye angesingizia kuibiwa kura kama Chadema wanavyoamini.
 
View attachment 868479

Matokeo ya Uchaguzi wa Marudio yakiendelea yanaonyesha CCM ikipata ushindi mwingine wa kishindo kama Chaguzi nyingine zilizopita na hivyo kuongeza shinikizo legitimacy crisis kwa Upinzani nchini. Tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani hadi sasa, kumeshafanyika Chaguzi za Marudio zifuatazo na matokeo yake:
  • Mwezi Januari 2017: CCM - majimbo 01 na kata 19; CHADEMA - 01
  • Mwezi Novemb 2017: CCM - kata 42 na CHADEMA - kata 01.
  • Mwezi Januari 2018: CCM - majimbo 03 na CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Februari 2018: CCM - majimbo 02 na kata 08; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Agosti 2018: CCM - majimbo 01 na kata 79; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Septemba 2018: CCM - majimbo 02, kata 37; CHADEMA - kata 00.
Katika jumla ya Majimbo tisa, yote yamechukuliwa na CCM.
Katika jumla ya Kata 187, CCM imezoa kata zote isipokuwa mbili pekee.

| Politiksi Kurunzini
BAADA YA CCM KUZOA KATA 42 KATI YA 43 UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI, YAIPONGEZA CHADEMA KUAMBULIA KATA MOJA ~ CCM Blog
CCM WAIBUKA WASHINDI UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA SONGEA MJINI,SINGIDA KASKAZINI NA LONGIDO | Moto Moto News

Upinzani wamekuwa wakilalamika kuwa, Serikali inatumia vyombo vya dola, pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuvikandamiza Vyama vya Upinzani. Yes, katika akili za kiubinadamu, unaweza ukajikuta ukasahau kiini (core) cha tatizo na kushughulika na sporadic effects za hilo tatizo.
Swali la kujiuliza: Hivi barani Afrika, Tanzania ndiko kwenye Tume ya Uchaguzi pekee? Tanzania ndiko kwenye Vyombo vya Dola pekee? Kama viko kila Nchi kwa nini kuna malalamiko yasiyoisha juu ya uonevu? Kwani Wapinzani katika Nchi nyingine za kiafrika walifanyaje? Mbona hapa Afrika Mashariki, Tanzania imeongoza kidemokrasia mwaka 2017 tena kipindi hivi cha Magufuli wanayemuita dikteta?
Tanzania Tops Region in Democracy Index

View attachment 868480

Uzoefu barani Afrika unaonyesha wazi kuwa, hakuna serikali iliyokuwa ikilaumiwa kwa udikteta, ilipoondolewa madarakani, basi mambo yalibadilika kuwa ya kidemokrasia.
Mambo haya yalianzia kwa:
  • Ghana: Kwame Nkrumah - 1966. Walifurahi kupinduliwa kwake lakini waliomo India nao walipinduliwa 1972.
  • Uganda: Milton Obote - 1972. Waganda awali walimfurahia Idd Amin, baadaye je?
  • Uganda: Obote & Tito Okello - 1986. Walimfurahia Yoweri Museveni, leo je?
  • Zambia: Kenneth Kaunda - 1993. Walimfurahia sana Frederick Chiluba, baadaye je?
  • Zaire: Mobutu Sesse Sekou - 1996. Walimfurahia Laurent Kabila, baadaye, je?
  • Congo: Denis Sassou Nguesso - 1993. Walifurahia Pascal Lisouba na baadaye tena huyo huyo Nguesso.
  • Ivory Coast: Robert Guei & Laurent Gbagbo 2002 - 2010. Alikuja Alassane Ouattara but what next?
  • Rwanda: Juvenile Habyarimana. Walimfurahia Kagame, what next?
  • Burundi: Pierre Buyoya - 1998. Walimfurahia Pierre Nkurunzinza, leo je?
  • Tunisia: Zine Ben Ali - 2011. Walifurahia mno but mpaka leo hali haija-settle tena.
  • Misri: Hosni Mubarak - 2011. Walifurahia sana kupinduliwa kwake, wakoje sasa?
  • Libya: Muamar Gaddafi - 2011. What next? Leo hii kupinduliwa kwa huyu jamaa has become among the grave mistakes politics have ever made in our modern times. Angalia jinsi uhamiaji unavyowa-haunt wazungu huko Ulaya.
  • Misri: Mohammed Morsi - 2013. Walimfurahia sana Abdul Fattal el Sisi, leo je?

Tunaweza kuchambua vyema na mifano mingi zaidi iliyopo hapa barani Afrika.
Kamwe hakuna guarantee kuwa, kwa aina ya maendeleo ya sasa ya Tanzania, Chama kingine kikiingia madarakani kutakuwepo na demokrasia tunayoifikiria na tuliyodomaa vyuoni - never.

Demokrasia namba moja ya Tanzania ni maendeleo ya kiuchumi. Bahati mbaya maendeleo ya kiuchumi ni suala la usimamizi zaidi kuliko suala la kukubaliana. Demokrasia haiwezi kuleta maendeleo ya kiuchumi bali maendeleo ya kiuchumi ndiyo yanaleta demokrasia.
Refer to Maslow's Hierarchy of Needs.

Muwajue wananchi wenu wanachotaka. Hawaoni issue nyie hata mkiibiwa kura coz halijawahi kuwa tatizo lao kuu. Tatizo lao kuu ni ajira, afya, maji, barabara nzuri, elimu na the sort. Tujifungue macho, hamuwezi kufikiria - mmeshiriki chaguzi ndogo tano tangu Rais Magufuli aingie madarakani, huku mkilalamika kuonewa kila leo, kwa nini wananchi hawawasiklizi?

Ushauri wangu, shirikianeni bega kwa bega Serikali, one day wananchi watachambua mcheele na pumba. "An Organisation normally reflects the Society's behavior."
Watanzania tunahitaji uchumi mzuri na maisha bora sio Blah blah blah nyingi
 
Daimler,

..nakubaliana na wewe unaposhauri wapinzani wajikite zaidi kwenye matatizo ya msingi ya wananchi kama ajira, elimu, maji, afya, etc etc.

..zaidi nadhani wanahitaji kuwanoa zaidi wagombea wao waweze kujieleza vizuri mbele ya wapiga kura. Hata wapiga kampeni/debe wanatakiwa wabadilike na wawe na hoja zinazowagusa wananchi.

..sikubaliani na hitimisho la hoja yako kwamba maendeleo ndiyo yataleta demokrasia. Hata kwenye mifano uliyotoa naona umeteleza kidogo.

..Umetoa mfano wa Libya. Lakini maendeleo hayakuzaa demokrasia nchini humo.

..Kilichotokea Libya nadhani ni fundisho kwamba maendeleo na ukandamizaji wa haki za wananchi ni jambo la hatari kwa usalama wa nchi yoyote.

..Ni salama zaidi kuwakandamiza masikini na wasiokuwa na maendeleo kama ilivyo kwa Tanzania.
 
View attachment 868479

Matokeo ya Uchaguzi wa Marudio yakiendelea yanaonyesha CCM ikipata ushindi mwingine wa kishindo kama Chaguzi nyingine zilizopita na hivyo kuongeza shinikizo legitimacy crisis kwa Upinzani nchini. Tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani hadi sasa, kumeshafanyika Chaguzi za Marudio zifuatazo na matokeo yake:
  • Mwezi Januari 2017: CCM - majimbo 01 na kata 19; CHADEMA - 01
  • Mwezi Novemb 2017: CCM - kata 42 na CHADEMA - kata 01.
  • Mwezi Januari 2018: CCM - majimbo 03 na CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Februari 2018: CCM - majimbo 02 na kata 08; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Agosti 2018: CCM - majimbo 01 na kata 79; CHADEMA - kata 00.
  • Mwezi Septemba 2018: CCM - majimbo 02, kata 37; CHADEMA - kata 00.
Katika jumla ya Majimbo tisa, yote yamechukuliwa na CCM.
Katika jumla ya Kata 187, CCM imezoa kata zote isipokuwa mbili pekee.

| Politiksi Kurunzini
BAADA YA CCM KUZOA KATA 42 KATI YA 43 UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI, YAIPONGEZA CHADEMA KUAMBULIA KATA MOJA ~ CCM Blog
CCM WAIBUKA WASHINDI UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA SONGEA MJINI,SINGIDA KASKAZINI NA LONGIDO | Moto Moto News

Upinzani wamekuwa wakilalamika kuwa, Serikali inatumia vyombo vya dola, pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuvikandamiza Vyama vya Upinzani. Yes, katika akili za kiubinadamu, unaweza ukajikuta ukasahau kiini (core) cha tatizo na kushughulika na sporadic effects za hilo tatizo.
Swali la kujiuliza: Hivi barani Afrika, Tanzania ndiko kwenye Tume ya Uchaguzi pekee? Tanzania ndiko kwenye Vyombo vya Dola pekee? Kama viko kila Nchi kwa nini kuna malalamiko yasiyoisha juu ya uonevu? Kwani Wapinzani katika Nchi nyingine za kiafrika walifanyaje? Mbona hapa Afrika Mashariki, Tanzania imeongoza kidemokrasia mwaka 2017 tena kipindi hivi cha Magufuli wanayemuita dikteta?
Tanzania Tops Region in Democracy Index

View attachment 868480

Uzoefu barani Afrika unaonyesha wazi kuwa, hakuna serikali iliyokuwa ikilaumiwa kwa udikteta, ilipoondolewa madarakani, basi mambo yalibadilika kuwa ya kidemokrasia.
Mambo haya yalianzia kwa:
  • Ghana: Kwame Nkrumah - 1966. Walifurahi kupinduliwa kwake lakini waliomo India nao walipinduliwa 1972.
  • Uganda: Milton Obote - 1972. Waganda awali walimfurahia Idd Amin, baadaye je?
  • Uganda: Obote & Tito Okello - 1986. Walimfurahia Yoweri Museveni, leo je?
  • Zambia: Kenneth Kaunda - 1993. Walimfurahia sana Frederick Chiluba, baadaye je?
  • Zaire: Mobutu Sesse Sekou - 1996. Walimfurahia Laurent Kabila, baadaye, je?
  • Congo: Denis Sassou Nguesso - 1993. Walifurahia Pascal Lisouba na baadaye tena huyo huyo Nguesso.
  • Ivory Coast: Robert Guei & Laurent Gbagbo 2002 - 2010. Alikuja Alassane Ouattara but what next?
  • Rwanda: Juvenile Habyarimana. Walimfurahia Kagame, what next?
  • Burundi: Pierre Buyoya - 1998. Walimfurahia Pierre Nkurunzinza, leo je?
  • Tunisia: Zine Ben Ali - 2011. Walifurahia mno but mpaka leo hali haija-settle tena.
  • Misri: Hosni Mubarak - 2011. Walifurahia sana kupinduliwa kwake, wakoje sasa?
  • Libya: Muamar Gaddafi - 2011. What next? Leo hii kupinduliwa kwa huyu jamaa has become among the grave mistakes politics have ever made in our modern times. Angalia jinsi uhamiaji unavyowa-haunt wazungu huko Ulaya.
  • Misri: Mohammed Morsi - 2013. Walimfurahia sana Abdul Fattal el Sisi, leo je?

Tunaweza kuchambua vyema na mifano mingi zaidi iliyopo hapa barani Afrika.
Kamwe hakuna guarantee kuwa, kwa aina ya maendeleo ya sasa ya Tanzania, Chama kingine kikiingia madarakani kutakuwepo na demokrasia tunayoifikiria na tuliyodomaa vyuoni - never.

Demokrasia namba moja ya Tanzania ni maendeleo ya kiuchumi. Bahati mbaya maendeleo ya kiuchumi ni suala la usimamizi zaidi kuliko suala la kukubaliana. Demokrasia haiwezi kuleta maendeleo ya kiuchumi bali maendeleo ya kiuchumi ndiyo yanaleta demokrasia.
Refer to Maslow's Hierarchy of Needs.

Muwajue wananchi wenu wanachotaka. Hawaoni issue nyie hata mkiibiwa kura coz halijawahi kuwa tatizo lao kuu. Tatizo lao kuu ni ajira, afya, maji, barabara nzuri, elimu na the sort. Tujifungue macho, hamuwezi kufikiria - mmeshiriki chaguzi ndogo tano tangu Rais Magufuli aingie madarakani, huku mkilalamika kuonewa kila leo, kwa nini wananchi hawawasiklizi?

Ushauri wangu, shirikianeni bega kwa bega Serikali, one day wananchi watachambua mcheele na pumba. "An Organisation normally reflects the Society's behavior."

Unaweza kuandika upendvyo na kutoa mifani mingi kushibisha hoja yako, hiyi ndio demokrasia. Lakini fahamu kuna mifano mingi ya nchi zenyd mafanikio kwa democrasia hii hii. Nchi hizo utaona zinafanya chaguzi zake kwa amani na wanapatikana viongozi wenye uhalali toka kwa watu. Hapa ulichoandika ni mada ya kujishuku baada ya kuona idadi ya wapiga haiendani na matamanio ya watawala kuonyesha kukubakika na umetaja baadhi ya nchi zenye matatizo ya kiuongozi huko nyuma na sasa ili kutoa uhalali wa huu uhayawani unaoendeklea sasa hapa nchini kwenye chaguzi zetu.

Kitu ambacho kitakuchukua miaka mingi kutuaminisha sisi tunaoamini misingi ya haki na kupata viongozi kwa ridhaa ya umma, ni vipi maendeleo yanapatikana kwa kulazimisha kuongoza watu bila ridhaa yao. Hiyo mifano na nchi ulizotaja karibia zote ni nchi za viongozi wa kiafrika wengi huuendeshwa na uchu wa madaraka kama ilivyo hapa kwetu. Hii propaganda yako haiwezi kuvuta watu kupiga kura kwani wameshadharau zoezi lenyewe baada ya kuona ushenzu mwingi wa wazi. Maendeleo yanayohubiriwa yanaweza kupatikana bila hata kupora kura na kuchezea chaguzi zetu.
 
Back
Top Bottom