Mafanikio ya ATCL: Safari za moja kwa moja kutoka Tanzania kwenda Guangzhou China zaanza

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,209
12,912
Shirika la ndege la Tanzania (Air Tanzania) imefanya safari yake kwanza leo alfajiri kuelea mji wa kibiashara Guangzhou nchini China.

Air Tanzania itakuwa inafanya safari zake moja kwa moja toka Dar es Salaam, Tanzania mpaka Guangzhou nchini China huku ikitumia takribani masaa 11 ikiwa angani.

C1.jpg
C2.jpg
 
Shirika la ndege la Tanzania (Air Tanzania) imefanya safari yake kwanza leo alfajiri kuelea mji wa kibiashara Guangzhou nchini China.

Air Tanzania itakuwa inafanya safari zake moja kwa moja toka Dar es Salaam, Tanzania mpaka Guangzhou nchini China huku ikitumia takribani masaa 11 ikiwa angani.

#AirTanzaniaView attachment 1777180View attachment 1777179View attachment 1777178View attachment 1777182View attachment 1777181View attachment 1777184View attachment 1777183
Jambo jema sana ,tunaweza tukiamua
 
Team corona kimyaaa😂😂😂😂😂wakati huko ndio chimbuko la ugonjwa aiseee
 
Back
Top Bottom