piga keleleeeeKwendraaaaaa huko
Tunawapelekea moto sukuma gang. JPM yupi tena unayemzungumzia? Acha kufukua kaburi!Safi sana jpm. Hakuna kama wewe
Mbona hata hapa zipo mjomba,usiharibu hela zako bure kwenda nchi za mbali.BEI GANI WANAJAMII NIENDE ZANGU CHINA NIKALE NYAPU ZA KICHINA ?
Google page ya ATC zipo beiBei ganiii na Mimi nikakusanye Kodi za wapangaji wangu za miezi sita sita niende nikauze Sura kidogo
Hakuna kitu kinaboa kama kukaa kwenye ndege bora gari unachungulia nje ukisalimia miti... ila masaa 11 duh! Inge-stop japo Mumbai, India au Dhaka, Bangladesh, au Rangoon, Myanmar!
... halafu ikianza ku-suffer turbulence ndio balaa kabisa hakuna utulivu! Na kaeneo hako kuanzia India/Sri Lanka eastwards kana turbulence za kufa mtu hasa msimu wa Monsoon!Hakuna kitu kinaboa kama kukaa kwenye ndege bora gari unachungulia nje ukisalimia miti
Kukata kiuno kuendeleeSafi sana jpm. Hakuna kama wewe
Dawa yake ni Whisky tu.turbulence
DaaaahBei ganiii na Mimi nikakusanye Kodi za wapangaji wangu za miezi sita sita niende nikauze Sura kidogo