Tressa
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 954
- 1,040
Aliyefufua ATCL.Jpm yupi?
Jembe aliyeagiza ndege zinunuliwe.
Aliyefufua ATCL.Jpm yupi?
Endelea kuabudu mizimuSafi sana jpm. Hakuna kama wewe
... Mama Samia na hayati ni kitu kimoja! Roho kwatu au siyo?
Suala la faida usiulize wafanyabiashara walikuwa wanaunganisha safari hii ya moja kwa moja itakuwa msaada mkubwa sana.Jambo zuri sana. Labda hiyo ruti itakuwa na faida.
Bado unamuota marehemu? Shtuka twende mbele sasa hivi Rais ni Samia Suluhu Hassan au una wivu wa kike?Safi sana jpm. Hakuna kama wewe
... unasafiri lini? Daraja gani unataka?Acha kelele sema nauli hizo
Kwendraaaaaa huko😏Bado unamuota marehemu? Shtuka twende mbele sasa hivi Rais ni Samia Suluhu Hassan au una wivu wa kike?
Sisafiri leo Wala kesho ila nataka kujua nauli za madaraja yote... unasafiri lini? Daraja gani unataka?
... dah! daraja na tarehe ya safari ni determinant muhimu sana kwenye nauli za ndege among other factors. Kama hatuelewani vile. Anyway, jaza fomu ya safari Air Tanzania | The Wings Of KilimanjaroSisafiri leo Wala kesho ila nataka kujua nauli za madaraja yote
Kama vile walivyolazimisha kupeleka ndege polini chacho ikiwa haina hata abiria.Matangazo mengi unaweza kuta mnatembeza ndege liko tupu ili mradi tu wasifiwe inaenda uchina
Kule porini nikifikiria nani alikuwa anapanda kila siku tofauti na kichwa cha panziKama vile walivyolazimisha kupeleka ndege polini chacho ikiwa haina hata abiria.
Mkuu Kwa uzoefu bado inatumia masaa machache... ila masaa 11 duh! Inge-stop japo Mumbai, India au Dhaka, Bangladesh, au Rangoon, Myanmar!
kwa hiyo ulitaka siku ya Kwanza tu wajae. Wewe kweli zumbukuu unaelekea hujawahi fanya biashara yoyote maana ni mara chache mambo kuiva at first time.Matangazo mengi unaweza kuta mnatembeza ndege liko tupu ili mradi tu wasifiwe inaenda uchina