Mafanikio sio ajira tu tujiajiri

arete

Member
Sep 26, 2012
7
3
Wadau tushirikiane kukumbushana maisha sio kuajiriwa peke yake. Vijana wengi wamedhani kuwa maisha pekee ya kumwezesha kushi ni kuajiriwa kwenye makampuni au serikali ndipo maisha yaweze kusonga mbele. Tumesahau ujasiria mali ambao tukifuatilia nyanja zake tutafika mbali tujiajiri kwani hata mavyuoni tumejifunza tusiwe waoga wa kujiajiri kumbuka hata mmuyu ulianza kama mchicha.
 
Mkuu Arete, wewe Umejiajiri katika nyanja ipi?, tupe uzoefu wako na Vile safari yako ilivyo katika Kujiajiri. Itatupa Moyo na Nguvu.
 
mkuu hiyo ni kweli ajira nyingi ni chanzo cha umasikini eg. ma graduate wengi wanalipwa kati ya 400,000/= hadi 900,000/= kwa mwezi hiyo ni mshahara. ukitoa matumizi unabakiwa negative, mjasiriamali yeye anachokipata kwa siku anakuwa ameshatowa cost zote kinachobaki ni profit but kwa muajiriwa mshahara sio net profit kwakuwa bado hujatowa matumizi yote ulio ingia mwenzi mzima, mimi binafsi kinachonilinda mjini ni biashara ndogondogo ninazofanya mshahara huwa unaishia wote posta kwenye lunch , nauli aka mafuta , kodi ya nyumba!!!!!
 
Wadau tushirikiane kukumbushana maisha sio kuajiriwa peke yake. Vijana wengi wamedhani kuwa maisha pekee ya kumwezesha kushi ni kuajiriwa kwenye makampuni au serikali ndipo maisha yaweze kusonga mbele. Tumesahau ujasiria mali ambao tukifuatilia nyanja zake tutafika mbali tujiajiri kwani hata mavyuoni tumejifunza tusiwe waoga wa kujiajiri kumbuka hata mmuyu ulianza kama mchicha.

Unasema kweli, lakini mbona hao wanatuambia walala hoi tujiajiri watoto wao wanabanana BOT, TRA, MIZANI-UJENZI, ni waganga wakuu wa wilaya, hospitali etc??????????????????????????????????????????????????????????
 
Kwa fikra za kwamba mtaji wa biashara ni hela tu sidhani kama dhana ya ujasiriamali itakwenda mbali. Watu wanahitaji kupambanua fikra zao nakuona kwamba mtaji halisi ni WAZO lenye kuleta tija ya biashara. Watu hawajiulizi ni kwanini wakenya wanafuata mashudu singida kupeleka kwao na sio yale mafuta ya alizeti. Hela kama hujui chakuifanyia ni sawa na lambalamba iliyoko nje ya jokofu. Waliosema MONEY IS THE MOST LIQUID ASSET hawakukosea. Money is shy, money is slippery ndio maana haionekani kirahisi.
 
Unasema kweli, lakini mbona hao wanatuambia walala hoi tujiajiri watoto wao wanabanana BOT, TRA, MIZANI-UJENZI, ni waganga wakuu wa wilaya, hospitali etc??????????????????????????????????????????????????????????
lakini ukiangalia hizi ni posts tu ambazo siku moja utaambiwa ustaafu tu kwa manufaa ya umma..lakini ukijiajiri(Large Scale Investments) Agriculture, Oil, etc usiulize capital unatoa wapi..amin ukiwa na jitihada ktk entreprenuership unashangaa issue zinaibuka tu..za kuweza pata capital..amin hivi..halafu..unaweza kuta familia yako inasahau..kuhusu dhiki..
 
lakini ukiangalia hizi ni posts tu ambazo siku moja utaambiwa ustaafu tu kwa manufaa ya umma..lakini ukijiajiri(Large Scale Investments) Agriculture, Oil, etc usiulize capital unatoa wapi..amin ukiwa na jitihada ktk entreprenuership unashangaa issue zinaibuka tu..za kuweza pata capital..amin hivi..halafu..unaweza kuta familia yako inasahau..kuhusu dhiki..

Nakubaliana na wewe, nachukia kelele za tujiajili wakati watoto wao wanawapeleka huko. Basi wape mitaji ya kujiajili, mtu anaweza kuwaelewa hata wakiwasokomeza watoto wao huko. Wazo la kujiajili ni zuri na linalipa kama kuna mitaji ya maana.
 
Nakubaliana na wewe, nachukia kelele za tujiajili wakati watoto wao wanawapeleka huko. Basi wape mitaji ya kujiajili, mtu anaweza kuwaelewa hata wakiwasokomeza watoto wao huko. Wazo la kujiajili ni zuri na linalipa kama kuna mitaji ya maana.
mtaji wa kupewa mara nyingi kama hujui invest kwenye nin unaweza ukaishia kwenye..matumizi tu..cha msingi uhangaike mwenyewe kichwani uwe na ideas kibao za kufanya..maana kufeli kwam biashara moja kuzae nyingine na nyingine then hapo lazima uendeleee...
 
Kwa fikra za kwamba mtaji wa biashara ni hela tu sidhani kama dhana ya ujasiriamali itakwenda mbali. Watu wanahitaji kupambanua fikra zao nakuona kwamba mtaji halisi ni WAZO lenye kuleta tija ya biashara. Watu hawajiulizi ni kwanini wakenya wanafuata mashudu singida kupeleka kwao na sio yale mafuta ya alizeti. Hela kama hujui chakuifanyia ni sawa na lambalamba iliyoko nje ya jokofu. Waliosema MONEY IS THE MOST LIQUID ASSET hawakukosea. Money is shy, money is slippery ndio maana haionekani kirahisi.

ni kweli wanafuata lakin ni baada ya kuwa na hela ya kwenda kununua huwezi ukafuata naukachukua hata kama bure utasafiri na nini utakula nini naona unaongea vitu vinaelea hewan tu
 
mkuu hiyo ni kweli ajira nyingi ni chanzo cha umasikini eg. ma graduate wengi wanalipwa kati ya 400,000/= hadi 900,000/= kwa mwezi hiyo ni mshahara. ukitoa matumizi unabakiwa negative, mjasiriamali yeye anachokipata kwa siku anakuwa ameshatowa cost zote kinachobaki ni profit but kwa muajiriwa mshahara sio net profit kwakuwa bado hujatowa matumizi yote ulio ingia mwenzi mzima, mimi binafsi kinachonilinda mjini ni biashara ndogondogo ninazofanya mshahara huwa unaishia wote posta kwenye lunch , nauli aka mafuta , kodi ya nyumba!!!!!

Mkuu laini nne nyingi watu tunkula laki 300000, na kikubwa hata kama ungekuwa unalipwa 10 M bado si kitu, ajira binafisi ndo mpango mzima wakuu
 
ni kweli wanafuata lakin ni baada ya kuwa na hela ya kwenda kununua huwezi ukafuata naukachukua hata kama bure utasafiri na nini utakula nini naona unaongea vitu vinaelea hewan tu
Mkuu, MASHUDU is an idea for a viable business, money comes after a feasible idea. ngoja niendelee kuelea mutu ya watu:yo:
 
Last edited by a moderator:
Unasema kweli, lakini mbona hao wanatuambia walala hoi tujiajiri watoto wao wanabanana BOT, TRA, MIZANI-UJENZI, ni waganga wakuu wa wilaya, hospitali etc??????????????????????????????????????????????????????????
Mkuu ujue hawawapeleki huko ili kufanya kazi ila kuwasaidia kurahisisha mambo yao kama biashara zao, we hujuiliizi kwanini inaonekana kunawafanyakazi ila mambo mengi yanayumba.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom