Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
- Thread starter
- #41
Sio penalty tu mkuu Erasto ni very composed sana anapokuwa na mpira ana ofa kila kitu uwanjani
Kwenye penati huwa hakosei
Kwenye penati huwa hakosei
Very talented player, hilo halina mjadala
Niliwahi kupiga nae story siku kule Zanzibar yuko very humble
Sure jamaa nimemfahamu miaka2001- 2002 mitaa segerea akichezeanipo ya uwnja was kukunja nadhani
Achana nao hao! Hao kwao Mchezaji bora lazima awe wa JANGWANI ama MSIMBAZI.... Si uliona Bocco.... Kaifanyia Azam Mambo makubwa sana... Waamkaushia! Ila sasa yupo timu yao... Wamemfanya "mungu"
Binafsi namkubali sana huyu jamaa, one of the best kwenye historian ya mpira Tanzania.
Huyu ndio kiungo na yule Mudhari hapa Tanzania
Msimu huu mechi ya kwanza tayari ana kadi ya njano..Feitoto ndio mchezaji aliongoza kupata kadi za njano katika ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2018/2019
BAHARIAAA
Yule Dogo wa Azam bado kijana hapotezi pass zake muda wote sio kama no 6 wengine kama kina mkude na Mao muda mwingi wanatowa pass kwa wapizaniNaam mkuu ila namuweka Erasto mbele zaidi
Mkuu kwenye game hii huyu gervas alimchosha sana nyoni manake mda wote alikuwa anamwacha kwa speed ya jetiHuyu kijana ni mchezaji haswa View attachment 1203811
Kumbuka kuna umri wa mpira na umri halisi hapa bongo mkuuMiaka 40 hajafikisha sababu huyu ameonekana kwenye mpira tokea akiwa kijana mdogo amezaliwa mwaka 1985
Kelvin Yondani 1986
Kati ya vijana walioonekana toka wakiwa wadogo ni Erasto Nyoni ni sawa na Himid Mao hawezi danganya umriKumbuka kuna umri wa mpira na umri halisi hapa bongo mkuu
ameoa na ana watoto 6Huyu kijana nimekuwa namsikia toka yule kocha wa kibrazil Yupo Tanzania mpaka sasa
Napenda sana mchezo wake huwa namfananisha na andrea pirlo Yule wa The azures Au taribo west wa super eagles
Kwa stail yake ya uchezaji sio rahisi kumuona akipoteza pasi,sio rahisi kuona akifanya faulo za kizembe
Ni Wachezaji wachache wanaoweza kujitunza kama erasto kwa soka la Tanzania kwa kuwa soka la Tanzania halieheshimu vipaji vya Wachezaji ila siasa nyingi
Huwa nafurahi zaidi kumwona anapocheza timu ya Taifa akiwa na yondani
Naomba mwenye Maelezo yake kwenye carrier yake toka anaanza hadi hapa alipofika
Ni moja ya Wachezaji wa kitanzania ninaowakubali sana
Moderetors mkipendezwa huu uzi muwekee stick kumuenzi huyu kiungo maridadi wa mpira kuwahi kutokea nchini
...............................................................
Historia fupi katika maisha yake ya soka
Kipaji chake kiliibuliwa katika mashindano ya vijana mkoa wa Arusha
Baada ya hapo alisajiliwa na AFC ya mkoani Arusha baadaye alitimkia katika club ya VITALO FC ya nchini Burundi kabla ya Azam kumrudisha nchini na kuwa mchezaji tegemeo na sasa anacheza klub cha simba sc
Tutaendelea kuiweka hapa historia yake
Huyo ndo mshika 'transistor' wa Mikia FC pamoja na Boko...................Huyu kijana nimekuwa namsikia toka yule kocha wa kibrazil Yupo Tanzania mpaka sasa
Napenda sana mchezo wake huwa namfananisha na andrea pirlo Yule wa The azures Au taribo west wa super eagles
Kwa stail yake ya uchezaji sio rahisi kumuona akipoteza pasi,sio rahisi kuona akifanya faulo za kizembe
Ni Wachezaji wachache wanaoweza kujitunza kama erasto kwa soka la Tanzania kwa kuwa soka la Tanzania halieheshimu vipaji vya Wachezaji ila siasa nyingi
Huwa nafurahi zaidi kumwona anapocheza timu ya Taifa akiwa na yondani
Naomba mwenye Maelezo yake kwenye carrier yake toka anaanza hadi hapa alipofika
Ni moja ya Wachezaji wa kitanzania ninaowakubali sana
Moderetors mkipendezwa huu uzi muwekee stick kumuenzi huyu kiungo maridadi wa mpira kuwahi kutokea nchini
...............................................................
Historia fupi katika maisha yake ya soka
Kipaji chake kiliibuliwa katika mashindano ya vijana mkoa wa Arusha
Baada ya hapo alisajiliwa na AFC ya mkoani Arusha baadaye alitimkia katika club ya VITALO FC ya nchini Burundi kabla ya Azam kumrudisha nchini na kuwa mchezaji tegemeo na sasa anacheza klub cha simba sc
Tutaendelea kuiweka hapa historia yake