Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Huyu kijana nimekuwa namsikia toka yule kocha wa kibrazil Yupo Tanzania mpaka sasa
Napenda sana mchezo wake huwa namfananisha na andrea pirlo Yule wa The azures Au taribo west wa super eagles
Kwa stail yake ya uchezaji sio rahisi kumuona akipoteza pasi,sio rahisi kuona akifanya faulo za kizembe
Ni Wachezaji wachache wanaoweza kujitunza kama erasto kwa soka la Tanzania kwa kuwa soka la Tanzania halieheshimu vipaji vya Wachezaji ila siasa nyingi
Huwa nafurahi zaidi kumwona anapocheza timu ya Taifa akiwa na yondani
Naomba mwenye Maelezo yake kwenye carrier yake toka anaanza hadi hapa alipofika
Ni moja ya Wachezaji wa kitanzania ninaowakubali sana
Moderetors mkipendezwa huu uzi muwekee stick kumuenzi huyu kiungo maridadi wa mpira kuwahi kutokea nchini
...............................................................
Historia fupi katika maisha yake ya soka
Kipaji chake kiliibuliwa katika mashindano ya vijana mkoa wa Arusha
Baada ya hapo alisajiliwa na AFC ya mkoani Arusha baadaye alitimkia katika club ya VITALO FC ya nchini Burundi kabla ya Azam kumrudisha nchini na kuwa mchezaji tegemeo na sasa anacheza klub cha simba sc
Tutaendelea kuiweka hapa historia yake
Napenda sana mchezo wake huwa namfananisha na andrea pirlo Yule wa The azures Au taribo west wa super eagles
Kwa stail yake ya uchezaji sio rahisi kumuona akipoteza pasi,sio rahisi kuona akifanya faulo za kizembe
Ni Wachezaji wachache wanaoweza kujitunza kama erasto kwa soka la Tanzania kwa kuwa soka la Tanzania halieheshimu vipaji vya Wachezaji ila siasa nyingi
Huwa nafurahi zaidi kumwona anapocheza timu ya Taifa akiwa na yondani
Naomba mwenye Maelezo yake kwenye carrier yake toka anaanza hadi hapa alipofika
Ni moja ya Wachezaji wa kitanzania ninaowakubali sana
Moderetors mkipendezwa huu uzi muwekee stick kumuenzi huyu kiungo maridadi wa mpira kuwahi kutokea nchini
...............................................................
Historia fupi katika maisha yake ya soka
Kipaji chake kiliibuliwa katika mashindano ya vijana mkoa wa Arusha
Baada ya hapo alisajiliwa na AFC ya mkoani Arusha baadaye alitimkia katika club ya VITALO FC ya nchini Burundi kabla ya Azam kumrudisha nchini na kuwa mchezaji tegemeo na sasa anacheza klub cha simba sc
Tutaendelea kuiweka hapa historia yake