Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,457
- 2,435
Iringa sehemu gani mkuu?Wandugu hebu tufanye kucatalog maeneo yote inakopatikana na kuchimbwa dhahabu Tanzania. Nasikia kuwa sehemu nyingi zenye udongo mweusi(iron) na mwekundu (iron oxide) huwa ni rahisi kupatikana madini ya dhahabu. Sasa Tz kuna maeneo mengi sana yana dhahabu, tujuzane maeneo hayo na hali ya uchumbaji inavyoendelea
1. Geita. Huku nafikiri ndiyo kunaongoza kwa maswala ya uchimbaji wa dhahabu Tanzania.
2.Chunya, Mbeya. Huku wanaita Lupa gold belt/field. Huku kuna eneo kubwa sana lenye dhahabu na uchumbaji wake siyo mkubwa kama Geita.
3. Mara.
4. Tanga, Handeni huku wamegundua miaka si mingi.
5. Mpanda, Katavi
6. Iringa, huku waligundua miaka ya karibuni na sijui kama bado wanachimba.
7................