Wadau,
Kutokana na hali halisi ya vifurushi kwa sasa kuwa haieleweki , naomba tufahamishane kwa wale wanaojua njia mbalimbali mbadala za kuendelea kuwa mtandaoni bila gharama , kwa mfano wifi hotspots ambazo mtu anaweza kwenda kukaa na kutumia internet bure , hii inaweza ikawa katika public space , au kwenye ofisi au jengo maalum kama vile co working spaces kama pale buni hub , costech kijitonyama.
Nimetolea mfano wa wifi hotspots , lakini kuwa huru kushare njia yoyote nyingine inayoweza kufaa.
Natanguliza shukrani
Kutokana na hali halisi ya vifurushi kwa sasa kuwa haieleweki , naomba tufahamishane kwa wale wanaojua njia mbalimbali mbadala za kuendelea kuwa mtandaoni bila gharama , kwa mfano wifi hotspots ambazo mtu anaweza kwenda kukaa na kutumia internet bure , hii inaweza ikawa katika public space , au kwenye ofisi au jengo maalum kama vile co working spaces kama pale buni hub , costech kijitonyama.
Nimetolea mfano wa wifi hotspots , lakini kuwa huru kushare njia yoyote nyingine inayoweza kufaa.
Natanguliza shukrani