BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,802
Kuna sehemu hapa nchini kuna bodaboda nyingi mno either kwasababu ya ubovu wa barabara hivyo magari hayawezi kufika baadhi ya maeneo au kwasababu ya uhaba wa usafiri wa umma.
Moja ya hayo maeneo ni Kibaha, Kwa Mathias. Wakazi wa maeneo hayo wanatumia zaidi bodaboda kwasababu hamna usafiri wa umma kutoka stand kuelekea maeneo ya mbali na hapo kama Msangani, Efatha nk
Maeneo gani mengine hapa nchini kuna bodaboda nyingi sana?
Moja ya hayo maeneo ni Kibaha, Kwa Mathias. Wakazi wa maeneo hayo wanatumia zaidi bodaboda kwasababu hamna usafiri wa umma kutoka stand kuelekea maeneo ya mbali na hapo kama Msangani, Efatha nk
Maeneo gani mengine hapa nchini kuna bodaboda nyingi sana?