Maeneo yanayoongoza kwa bodaboda Tanzania

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Sep 30, 2015
1,526
3,801
Kuna sehemu hapa nchini kuna bodaboda nyingi mno either kwasababu ya ubovu wa barabara hivyo magari hayawezi kufika baadhi ya maeneo au kwasababu ya uhaba wa usafiri wa umma.

Moja ya hayo maeneo ni Kibaha, Kwa Mathias. Wakazi wa maeneo hayo wanatumia zaidi bodaboda kwasababu hamna usafiri wa umma kutoka stand kuelekea maeneo ya mbali na hapo kama Msangani, Efatha nk

Maeneo gani mengine hapa nchini kuna bodaboda nyingi sana?
 
Kuna sehemu hapa nchini kuna bodaboda nyingi mno either kwasababu ya ubovu wa barabara hivyo magari hayawezi kufika baadhi ya maeneo au kwasababu ya uhaba wa usafiri wa umma.

Moja ya hayo maeneo ni Kibaha, Kwa Mathias. Wakazi wa maeneo hayo wanatumia zaidi bodaboda kwasababu hamna usafiri wa umma kutoka stand kuelekea maeneo ya mbali na hapo kama Msangani, Efatha nk

Maeneo gani mengine hapa nchini kuna bodaboda nyingi sana?
Umewahi kufika Songea wewe....utadhani viwanda vya Bodaboda vipo kule.
 
Kuna sehemu hapa nchini kuna bodaboda nyingi mno either kwasababu ya ubovu wa barabara hivyo magari hayawezi kufika baadhi ya maeneo au kwasababu ya uhaba wa usafiri wa umma.

Moja ya hayo maeneo ni Kibaha, Kwa Mathias. Wakazi wa maeneo hayo wanatumia zaidi bodaboda kwasababu hamna usafiri wa umma kutoka stand kuelekea maeneo ya mbali na hapo kama Msangani, Efatha nk

Maeneo gani mengine hapa nchini kuna bodaboda nyingi sana?
Mlandizi aisee yaani ukitembea mtaani unakuwa unakazi ya kupisha bodaboda
 
Kuna sehemu hapa nchini kuna bodaboda nyingi mno either kwasababu ya ubovu wa barabara hivyo magari hayawezi kufika baadhi ya maeneo au kwasababu ya uhaba wa usafiri wa umma.

Duh!!!!!
Wa gari... oyoooo..
Bora unajibiwa vizuri..
 
Bukoba kwanza walianzia zamani,walichukua utaratibu wa bodaboda kutoka Uganda kipindi ambacho ukubongo bado azijakuwa rasmi.ila nchi kama Uganda tayari zilikuwa ni usafiri rasmi.
 
Mkuu sasahv yan ndo wamezidi kufupisha wanaita YEBO tu , yan unaambiwa wakianza kufukuzia gari za abiria toka Dar au mkoa mwingine, kuanzia stend ya msamala had stend kuu utafikiri kuna maandamano vile!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha dah aisee natakiwa niende tena Songea aisee. Ila nadhani kule ndio moja ya sehemu za mwanzo kuanza bodaboda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom