Maeneo ya Dar yasiyo na joto sana

Leo nimekuja na hii mada walau tupeane info za life si unajua tena

Ni maeneo gani kwa dar hayana joto sana?

Ni maeneo gani hayana joto sana ukilinganisha na maeneo mengine?

Kiukweli sipendi maeneo yenye joto kali ndo maana nauliza angalau yenye unafuu na yasiyo na joto sana.....
Madale
Goba
Mbezi bichiii
 
Maeneo yote ambayo hayana msongamano wa nyumba nyingi hayana joto kama Mbezi Beach,kenyerezi , Oystarbey, Masaki .. Maeneo ya vijilima kama Baadhi ya sehem za Goba, Salasala .. Sasa jichanganye uishi mahali hakuna hata mti mmoja zaidi ya nyumba tuu kama Mwananyamala Rivaside mbagala .gongolamboto,maeneo ya temeke
Riverside kuna joto eeh
 
Leo nimekuja na hii mada walau tupeane info za life si unajua tena

Ni maeneo gani kwa dar hayana joto sana?

Ni maeneo gani hayana joto sana ukilinganisha na maeneo mengine?

Kiukweli sipendi maeneo yenye joto kali ndo maana nauliza angalau yenye unafuu na yasiyo na joto sana.....
Mlimani na Changanyikeni.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom