Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Wakuu, hivi karibuni nilikuwa Tabora (Nnobhola), pahala pekee penye taa za kuongozea magari ni Isevya ila napendekeza kuongeza taa hizo:
1. Pale penye makutano ya barabara itokayo mjini kwenda Nzega na itokayo bomani kwenda Kiloleni karibu na uwanja wa mpira wa miguu wa Vita. Sasa hivi mzunguko wanaukarabati.
2. Pale NBC, hapo wafanye utaratibu utakaofaa ili kuondoa mkanganyiko kwa madereva wa magari.
Nawasilisha.
1. Pale penye makutano ya barabara itokayo mjini kwenda Nzega na itokayo bomani kwenda Kiloleni karibu na uwanja wa mpira wa miguu wa Vita. Sasa hivi mzunguko wanaukarabati.
2. Pale NBC, hapo wafanye utaratibu utakaofaa ili kuondoa mkanganyiko kwa madereva wa magari.
Nawasilisha.