Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye meza
ukiwa Bukoba mida ya mchana nenda walk gard hotel, bukoba club, kiroyera beach, spice beach ( hizo ziko jirani) usiku ingia linas night club unakaa adi asubuh na rwabiz mwisho saa 7.
ukitaka sehemu zozote za kula bata unishtue nikutajie nimefika nchi karibia 30 na mikoa yake.
kwa sengerema mjini ndio kuna bar kiasi pale maeneo ya stand kuu, lakin kwingine hakuna executive sana, nenda ZENO MONTEL mkuu mbele kidogo ya sengerema fm kama unaenda mission ni pazuri pale.
Zeno ishapitwa na wakati...ile ni guest kwa sasa. Kuna sehemu kibao nzuri nenda mission kuna kiota kinaitwa kisolya
Mbona unanitukana ZENO Geust mmh! Hiv kisolya nayo inani sasa, kwasababu wanakunywa wasomi.
Mbona unanitukana ZENO Geust mmh! Hiv kisolya nayo inani sasa, kwasababu wanakunywa wasomi.
Naomba kujua viwanja gani vizuri vya kujirusha maeneo hayo,sengerema na bukoba
Acha kuandika pombe k..m..a ww
Kama unataka totoz za kihaya na za kituts nenda Linas Club usiku
Kama unataka just best place ku enjoy by ur own nenda Walk Guard Hotel
Usiende Kyotera polisi wengi sana so hauta enjoy kabisa hasa kama ww ni mtu wa milupo!
mkuu hapo kwenye red unapotosha Kyotera ipo Uganda,km 40 kutoka mtukula ( border) pia km 40 kutoka masaka ( UG)
ukiwa Bukoba mida ya mchana nenda walk gard hotel, bukoba club, kiroyera beach, spice beach ( hizo ziko jirani) usiku ingia linas night club unakaa adi asubuh na rwabiz mwisho saa 7.
ukitaka sehemu zozote za kula bata unishtue nikutajie nimefika nchi karibia 30 na mikoa yake.