RAYAN THE DON
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 679
- 1,194
Habari wadau wa JF? kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.
Ningependa kujua ni maeneo gani huyu kijana Ferouz anapatikana.
lengo kubwa la kutaka kuonana nae ni kwamba nahitaji kumuinua kimuziki kwani ni mwanamuziki mzuri sana na ana kipaji kizuri cha kuimba mfano katika wimbo wake wa starehe, safari, etc.
Mbali na hayo hapo sisi sote ni vijana hakuna haja ya kuwaacha vijana wenzetu kupotea kwenye game bila sababu ya msingi.
Hivyo kama kuna mtu anajua ni maeneo gani anapenda kutembelea naomba kujulishwa PM.
Ahsanteni wanabodi wenzangu.
Ningependa kujua ni maeneo gani huyu kijana Ferouz anapatikana.
lengo kubwa la kutaka kuonana nae ni kwamba nahitaji kumuinua kimuziki kwani ni mwanamuziki mzuri sana na ana kipaji kizuri cha kuimba mfano katika wimbo wake wa starehe, safari, etc.
Mbali na hayo hapo sisi sote ni vijana hakuna haja ya kuwaacha vijana wenzetu kupotea kwenye game bila sababu ya msingi.
Hivyo kama kuna mtu anajua ni maeneo gani anapenda kutembelea naomba kujulishwa PM.
Ahsanteni wanabodi wenzangu.