Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabata foleni imekua too muchSinza, Tabata je?
Kigamboni sijwahi kupaelewa kabisa. Naona kama mbali sana na matukio ya mjini. Bora Mbezi Beach, salasala bila kusahau bahari beachHao wanakwambia Kigamboni kwa kishamba blah blah blah. Waache akili zikiwakaa Sawa watanunua viwanja Kibiti,Msata au Lugoba
congestion.Tabata foleni imekua too much
Matukio kama gani labdaKigamboni sijwahi kupaelewa kabisa. Naona kama mbali sana na matukio ya mjini. Bora Mbezi Beach, salasala bila kusahau bahari beach
Shughuli/pilika za mjini.Matukio kama gani labda
Mbali na clubs kali za kujirusha kwa akina sisi wa kupenda kutoka usiku. In short naona kama pamekaa kushoto sana mbali na shughuli za townMatukio kama gani labda
Basi mbezi makabe panakufaa...tunakula upepo wa msitu wa pande zaidi ya beachNapenda quiet spacious places with many trees and the sound of nature.
To me nature makes more sense than humans.
Hapana. Hapana. Hapana.Basi mbezi makabe panakufaa...tunakula upepo wa msitu wa pande zaidi ya beach
Mkuu nilishidwa kuchati maana nilikuwa na silaha mkononi,now nimepumzika home jioni km kawaKumbe walinzi tuko wengi. Mwenzio Niko Fisi sekyuriti mwenzangu Satoh Hirosh uko kampuni gani?
Mbezi beach hamna viwanja. Vijana wanaoanza maisha wanaweza kumvua mtu nyumba mbezi beach au bahari beach?Kigamboni sijwahi kupaelewa kabisa. Naona kama mbali sana na matukio ya mjini. Bora Mbezi Beach, salasala bila kusahau bahari beach
Si ndio nilichokwambia watakwambia kumekaa kushoto kisa mbali na Kidimbwi au elements utafikiri maisha na future zao zinategemea elements!Matukio kama gani labda
Baaaaaaaata bataaaaaaniKaribu Tabata hutajuta!
Una mdomo mchafu sana wewe binti, unamuita mwenzako Dummy??And you can find your fellow idiots dummy.
Wapi hapo weka kontaktiKinondoni. Bunju viwanja vya mradi alfu 20. Pamepimwa. Vina hati. Pamepangika. Kuna soko kubwa. Mandhari nzuri yenye upepo miti na rutuba
Mbezi beach hamna viwanja. Vijana wanaoanza maisha wanaweza kumvua mtu nyumba mbezi beach au bahari beach?
Mtoa mada anazungumzia nyumba ya kupanga.Mbezi beach hamna viwanja. Vijana wanaoanza maisha wanaweza kumvua mtu nyumba mbezi beach au bahari beach?
Hakuna maji visima hata upake mafuta nikazi bure nendo kinondoni au tabataKigamboni
Buza mkuuHello guys!!
Niaje, nivipi ndugu zanguni. Hivi jamani ni maeneo gani mazuri kwa kupanga nyumba nzuri lakini affordable na kuishi jijini Dar. Napata shida kidogo kuchagua.
Mbezi, Kimara, Ubungo, Kinondon, Kigambon, Gomes, Chanika, Pugu, Kivule, Sinza,..n.k
Ni sehemu gani nzuri?
Nb: Distance does't matter!