Maeneo gani Dar mazuri kwa kuishi?

Ktk hili tuko pamoja,napenda nature,napenda ukimya.wapi panafaa kujenga makazi ya Aina hiyo madam,tukajenge tuishi huko wawili?
Kigamboni bado kupo vizuri na kama hela ipo why not?

Tafuta sehemu yako nzuri mwaga tofali anza mambo. Ukisubiri ujipange ama useme usubiri siku utakayokuwa tayari ndo ujenge it will never happen.

Kuna agents naona kwenye mitandao wanatoa site visits unatembelea maeneo unachagua kiwanja unalipa deposit kiasi fulani then kila mwezi unalipa kiasi fulani kwa mwaka mmoja I think.

Go for it, kupanga ni kuchagua.
 
Kigamboni bado kupo vizuri na kama hela ipo why not?

Tafuta sehemu yako nzuri mwaga tofali anza mambo. Ukisubiri ujipange ama useme usubiri siku utakayokuwa tayari ndo ujenge it will never happen.

Kuna agents naona kwenye mitandao wanatoa site visits unatembelea maeneo unachagua kiwanja unalipa deposit kiasi fulani then kila mwezi unalipa kiasi fulani kwa mwaka mmoja I think.

Go for it, kupanga ni kuchagua.
Nipo night shift now.Nikitoka asubuhi nikumbushe nikaprint huu ushauri kisha nifanyie lamination
 
Hello guys!!

Niaje, nivipi ndugu zanguni. Hivi jamani ni maeneo gani mazuri kwa kupanga nyumba nzuri lakini affordable na kuishi jijini Dar. Napata shida kidogo kuchagua.

Mbezi, Kimara, Ubungo, Kinondon, Kigambon, Gomes, Chanika, Pugu, Kivule, Sinza,..n.k

Ni sehemu gani nzuri?

Nb: Distance does't matter!
Inategemea una kipato gani na unapendelea Nini.
Mfano Kama unapenda Mambo ya shetani tofauti na maumbile Buza kutakufaa, Kama Ni mstaarabu na una pesa yako, hutaki makuu, njoo Kimara.
 
Uwahi kabla hujanikuta kwenye sredi ingine nikiandika bangi tupu.

Afu ubaki kuangalia username ni ile ile au umepigwa na kitu kizito. 🙊🙊🙊🤣🤣🤣
Nakujua vizuri.. samtaimz zinakuja samtaimz zzinahama😅
Ila tunafanana Tu😅
 
Kigamboni bado kupo vizuri na kama hela ipo why not?

Tafuta sehemu yako nzuri mwaga tofali anza mambo. Ukisubiri ujipange ama useme usubiri siku utakayokuwa tayari ndo ujenge it will never happen.

Kuna agents naona kwenye mitandao wanatoa site visits unatembelea maeneo unachagua kiwanja unalipa deposit kiasi fulani then kila mwezi unalipa kiasi fulani kwa mwaka mmoja I think.

Go for it, kupanga ni kuchagua.
Hao wanakwambia Kigamboni kwa kishamba blah blah blah. Waache akili zikiwakaa Sawa watanunua viwanja Kibiti,Msata au Lugoba
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom