Maendeleo yoyote hayaji bila kufanya kazi kwa bidii na kwa nguvu

Enzi za JK kwa sisi watu wa chini ilikua kawaida sana kukopeshana milioni moja mbili na watu wanakulipa vizuri tu

Enzi za jiwe kila niliemkopesha sent yangu aliishia kunipa maumivu mpaka nikaacha kuwasaidia watu maana mtu anakuja kukulilia shida ya let say 20K ukimpa tu ndio hamuonani tena anaanza kukukwepa

Hii kiuchumi inaitwaje wakuu.
 
Enzi za JK kwa sisi watu wa chini ilikua kawaida sana kukopeshana milioni moja mbili na watu wanakulipa vizuri tu

Enzi za jiwe kila niliemkopesha sent yangu aliishia kunipa maumivu mpaka nikaacha kuwasaidia watu maana mtu anakuja kukulilia shida ya let say 20K ukimpa tu ndio hamuonani tena anaanza kukukwepa

Hii kiuchumi inaitwaje wakuu.
Zinazokupa Maumivu ukidhulumiwa, hizo ndio haswaa jasho lako

Zisizouma, hizo sio zako ni ujanjaujanja tu uliokuwa ukiendelea hapo!!
 
Enzi za JK kwa sisi watu wa chini ilikua kawaida sana kukopeshana milioni moja mbili na watu wanakulipa vizuri tu

Enzi za jiwe kila niliemkopesha sent yangu aliishia kunipa maumivu mpaka nikaacha kuwasaidia watu maana mtu anakuja kukulilia shida ya let say 20K ukimpa tu ndio hamuonani tena anaanza kukukwepa

Hii kiuchumi inaitwaje wakuu.
Ngoja tusubiri, hizo hela zote zinakwenda kwa watu wenye nguvu kiuchumi.
 
uwajibikaji unapungua siku 60 sijazo

nchi inakuwa paradiso ya kufikirika

Yule mwamba,kamanda mbabe, mwalimu wa Nidhamu kalala na lazima watamkumbuka tu...furaha na kejeli na faraja za muda tu

kipindi cha kilio watalia kimya kimya
Haha. we jamaa lini tanzania ilikuwa paradiso, enzi za j*we au?

Sent from my Redmi 5 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom