Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,227
- 26,048
Wabunge wote wa Chadema walitangazwa kwa Shinikizo la nguvu ya umma . Na hata mwaka huu TUNDU ANTIPAS LISSU atatangazwa kuwa raisi kwa shinikizo la nguvu ya ummakwani tume huru haipo? ingekuwa haipo wabunge wa upinzani waliwezaje kuwa wabunge?