LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
1. Siku tutakapoacha kupanga maendeleo yetu kwa kutegemea misaada ndipo tutakapoondokana na umaskini!
2. Siku tutakapoacha kutembeza bakuli kuomba misaada ndipo tutakapopata demokrasia na maendeleo ya kweli!
3. Siku viongozi wetu watakapofanya maamuzi kwa kuzingatia kumbukumbu wanayotaka kuacha kwa Watanzania ndipo maendeleo yataanza kupatikana!
4. Siku viongozi wetu wakiacha tabia ya kufikiria familia zao pekee katika maendeleo ndipo nchi itakapoanza kupata maendeleo!
Tafadhali panga orodha ya mambo unayofikiri yakiacha kufanyika ndipo tutapata maendeleo. THINK OF THE ROOT FACTS NOT IMMEDEATE FACTS!
2. Siku tutakapoacha kutembeza bakuli kuomba misaada ndipo tutakapopata demokrasia na maendeleo ya kweli!
3. Siku viongozi wetu watakapofanya maamuzi kwa kuzingatia kumbukumbu wanayotaka kuacha kwa Watanzania ndipo maendeleo yataanza kupatikana!
4. Siku viongozi wetu wakiacha tabia ya kufikiria familia zao pekee katika maendeleo ndipo nchi itakapoanza kupata maendeleo!
Tafadhali panga orodha ya mambo unayofikiri yakiacha kufanyika ndipo tutapata maendeleo. THINK OF THE ROOT FACTS NOT IMMEDEATE FACTS!