Vision Empower
Senior Member
- Dec 31, 2016
- 156
- 234
Mtoa post una maana ujenzi umefikia hatua hiyo unayoonyesha kwenye picha au...
Kwani mpaka world bank wakakubali kufadhili ujenzi wa interchage, unafikiri hawakuyumia numbers? Unafikiri afisa mmoja aliota na kuspecualate halafu fasta wb wakasema pesa hizo
WB ni mtoa mkopo, unavyokopa zaidi ndivyo anavyopata. Wewe ukiomba mkopo milioni mia benk wakauidhinisha ila ulipopiga hesabu ukajikuta unahitaji milioni 75, utachukua mkopo wa milioni mia kwa vile tu benki imeishinisha?
Come up with something imperical.
Akili zako kweli bashite,sasa watu wasihoji??Kwa aliyekusoma vizuri kwenye hili bandiko, umeuliza pasipo NIA NJEMA. Essentially kwa akili yako unataka mradi ufail iwe aibu kwa Maghufuli na CCM yake. Unachoshindwa kujua ni kwamba Tanzania is bigger than JPM na wanasiasa. Tanzania ilikuwepo na itaendelea kuwepo. Kwa hiyo wote tuna maslahi kuona miradi yote inafanikiwa kwa faida ya vizazi vya leo na kesho.
Ukitaka kila kitu kinachofanywa na Magufuli kukiangalia kwa mrengo wa siasa utakuwa disappointed big time!
kabisa.....maana naona render tofauti...NDINDA naomba unisaidie kwa hiliMzee Mwanakijiji, hiki ndicho tulicho ahidiwa kwa mbwembwe na kikiiiii
ahahahahaaaaaa . . . . .matusi hayo mkuuHatua kubwa kabisa iliyofikiwa mpaka sasa ni kuweka bango kubwa la ramani nzima ya hiyo flyover. Mengine subiri 20 yrs to come
Sent using Jamii Forums mobile app