johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Kwa kifupi sana.
CCM imeruhusu uhuru wa kuabudu kwamba kila mtu ana haki ya kuabudu katika imani anayoiamini.
Viongozi wa dini ndio wenye jukumu la kuhakikisha " mtu" anaendelea kiroho na kimwili.
Mambo mengine yanayosimamiwa na serikali kwamba tuwe na viwanda ili watu wavae na kula pamoja na kulala kwenye vitanda vizuri hayo yote ni maendeleo ya Vitu.
Jukumu pekee la kiserikali katika kuleta maendeleo ya mtu ni kumpa elimu ya dunia jambo ambalo CCM inalifanya tena bure.
CCM muwe makini na Tundu Lisu atawatoa kwenye reli kwa mambo yake ya ujanja ujanja.
Nawatakia Jumatatu yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
CCM imeruhusu uhuru wa kuabudu kwamba kila mtu ana haki ya kuabudu katika imani anayoiamini.
Viongozi wa dini ndio wenye jukumu la kuhakikisha " mtu" anaendelea kiroho na kimwili.
Mambo mengine yanayosimamiwa na serikali kwamba tuwe na viwanda ili watu wavae na kula pamoja na kulala kwenye vitanda vizuri hayo yote ni maendeleo ya Vitu.
Jukumu pekee la kiserikali katika kuleta maendeleo ya mtu ni kumpa elimu ya dunia jambo ambalo CCM inalifanya tena bure.
CCM muwe makini na Tundu Lisu atawatoa kwenye reli kwa mambo yake ya ujanja ujanja.
Nawatakia Jumatatu yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!