Mkuu we ni mzalendo sio?
Uzalendo upi unaouzungumzia kwamba hata kama haki yako inabanwa uendelee kuwa mzalendo! La hasha huo utakuwa ni UJUHA..
mafilili si kwamba ni mzalendo ni mmoja kati ya wale wanaudhurumu wafanyakazi nchi hii,naomba atambue kuwa uzalendo si kwa raia tu bali hata serikali inatakiwa kuwa na uzalendo kwa raia wake,kauli hizi ni za kukwepa kuwajibika kwa wananchi,posho ya elfu 10 kwa miaka 7 mbona hapo uoni kama madaktari wamekuwa wazalendo sana?tusiwe wavivu wa kufikiri kwa kuangalia tulipoangukia badala ya kuangalia kulipojikwaa!!!