- Thread starter
- #21
Achana na Mabuto aliyejenga bila kuweka miradi na vitu endelevu na yenye muunganisho!Njoo wilaya ya Kakonko ujionee hali ilivyo mbaya ndio utastaajabu ya Chato!
Unaenda kujenga uwanja wa mpira wa kimataifa Chato? Kweli inaingia akilini?
Yaani watu wa Kigoma, Rukwa, Kagera na Shinyanga wakafuate huduma ya hospitali ya rufaa Chato? Kweli?
Kuweni na mshipa wa aibu,sio kulamba tu miguu ya watu!
Hata Mobutu alijenga kijijini kwao ambako ni ndani ya DRC!Hali ikoje sasa hivi?