bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,113
- 3,116
..........funkuro !
acha matusi wewe . Peleka huko huko italy
..........funkuro !
Aaseeee!!!!!!!' alikuwa haiwezekani kutibiwa/kuchekiwa muhimbili?!?
Mti wenye matunda ndio siku zote unaopigwa mawe.acha matusi wewe . Peleka huko huko italy
adui yako muombe njaa.......no kifo ! Njaa utamuonea huruma !Death is not a thing to wish to anybody let alone your greatest rival...how many people hate u and still don't wish u death?? Come on men let's be human even for a little bit!
Huyu sio lazima awepo, hata akiwa nje ya nchi watu mwemwelemwele, ukuona alivyoendesha kura za maoni Arumeru kwa remoti control wakati yeye yupo Ujerumani?Mkuu kwa hali ya sasa ya migomo Muhimbili ama hospital za Tanzania siyo reliable. Juzi nusura nipoteze maisha kwa sababu ya mkutano wa madaktari. Mkuu wewe acha tu Mungu ni mwema aliniokoa.
Apone haraka manake bila yeye siasa za Tanzania zitakuwa doro sana.
Fia hukohuko wewe mwizi na mmiliki wa Richmond na kundi lako lote,eti mpiganaji,huyu mwizi wa rasilimali zetu leo hii awe mpigani? kufa huko huko wewe mamvi na hyo ni laana ya Watanzania inakusumbua,pumzika kwa Amani
Duu! hii zaidi, kwani watu wakiwa chooni huwa wanaongea?amekuibia nini ? Unao ushaidi ? Acheni kuongea kama mpo chooni.
Kwahiyo kufa kwa Lowasa ndio tiba ya Mwakyembe!!?? mwe haya mapya kama watu wamelishwa ujinga kwa viwango hivi!Kumbe tupo wengi tunatumia simu! Duh hata mimi nimekosa kitufe cha LIKE nimekikosa kisha nimegundua kuwa natumia simu! Ila EL bora afe ili Mwakyembe apate nafuu!......
Vipi hali ya Rostam na Chege...binafsi hawa siwezi kuwaombea eti wapone badala yake wafe maana wamesababisha watanzania wengi kupoteza maisha kwa ufisadi wao...mafisadi, wanafiki wote kufeni tena haraka sana...
Fia hukohuko wewe mwizi na mmiliki wa Richmond na kundi lako lote,eti mpiganaji,huyu mwizi wa rasilimali zetu leo hii awe mpigani? kufa huko huko wewe mamvi na hyo ni laana ya Watanzania inakusumbua,pumzika kwa Amani