Nonsense!Heri ya sikukuu ya krismasi na mwaka mpya wa 2020 JF
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatieni, Dar es salaam ndio mji mkubwa Tanzania na unachangamoto lukuki kutokana na idadi kubwa ya watu
Changamoto za Jiji hili kwa kiwango kikubwa zimetatuliwa na mkuu wa mkoa huu mheahimiwa Paul Makonda
Ndani ya Dar kuna majimbo yaliyo na wabunge wao, pasipo kujali jimbo la ccm au chadema, makonda amepeleka maendeleo kila kona ya jiji
Ndani ya jiji hospitali zimejengwa na zinaendelea kujengwa kwa juhudi zake
ofisi za walimu katika shule zote tena za kisasa ndani ya jiji zimejengwa
Barabara kwa kiwango cha lami na madaraja hapa jijini zinajengwa
Mtetezi wa wanyonge hasa wanawake wajane, mama ntilie na makundivyote makonda anatetea sana
kampeni ya usafi, Dar ya makonda inang'aa
kwa sasa Dar nzima inamtaka makonda agombee na kila jimbo linamuhitaji
Heri ya sikukuu ya krismasi na mwaka mpya wa 2020 JF
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatieni, Dar es salaam ndio mji mkubwa Tanzania na unachangamoto lukuki kutokana na idadi kubwa ya watu
Changamoto za Jiji hili kwa kiwango kikubwa zimetatuliwa na mkuu wa mkoa huu mheahimiwa Paul Makonda
Ndani ya Dar kuna majimbo yaliyo na wabunge wao, pasipo kujali jimbo la ccm au chadema, makonda amepeleka maendeleo kila kona ya jiji
Ndani ya jiji hospitali zimejengwa na zinaendelea kujengwa kwa juhudi zake
ofisi za walimu katika shule zote tena za kisasa ndani ya jiji zimejengwa
Barabara kwa kiwango cha lami na madaraja hapa jijini zinajengwa
Mtetezi wa wanyonge hasa wanawake wajane, mama ntilie na makundivyote makonda anatetea sana
kampeni ya usafi, Dar ya makonda inang'aa
kwa sasa Dar nzima inamtaka makonda agombee na kila jimbo linamuhitaji
ni kwa akili hizi ndiyo maana hata wakati wa mkutano wa SADC yeye ndiye aliwapokea wageni badala ya mameya. mjinga sana BASHITE.Makonda kwa hili umezingua! Bora ungenyamaza tu kimya. Yaani Ukuu wako wa Mkoa na ukaribu na mkulu, umekufanya ujione uko juu kweli kweli! Kwa akili hizi, kweli ulifoji vyeti aisee.
Kwa hiyo Jiji halijajiwekea mipango yake ya maendeleo! Hakuna Baraza la Madiwani! Hakuna Wabunge! Hakuna Meya wa Jiji! Hakuna Wakurugenzi wa Manispaa na Jiji! Hakuna watangulizi wako! Hakuna wadau wa maendeleo! Isipokua ni wewe tu ndiye kila kitu.
Kwahyo Bashite unataka upewe jimbo gani hapo Dar?Heri ya sikukuu ya krismasi na mwaka mpya wa 2020 JF
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatieni, Dar es salaam ndio mji mkubwa Tanzania na unachangamoto lukuki kutokana na idadi kubwa ya watu
Changamoto za Jiji hili kwa kiwango kikubwa zimetatuliwa na mkuu wa mkoa huu mheahimiwa Paul Makonda
Ndani ya Dar kuna majimbo yaliyo na wabunge wao, pasipo kujali jimbo la ccm au chadema, makonda amepeleka maendeleo kila kona ya jiji
Ndani ya jiji hospitali zimejengwa na zinaendelea kujengwa kwa juhudi zake
ofisi za walimu katika shule zote tena za kisasa ndani ya jiji zimejengwa
Barabara kwa kiwango cha lami na madaraja hapa jijini zinajengwa
Mtetezi wa wanyonge hasa wanawake wajane, mama ntilie na makundivyote makonda anatetea sana
kampeni ya usafi, Dar ya makonda inang'aa
kwa sasa Dar nzima inamtaka makonda agombee na kila jimbo linamuhitaji
Heri ya sikukuu ya krismasi na mwaka mpya wa 2020 JF
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatieni, Dar es salaam ndio mji mkubwa Tanzania na unachangamoto lukuki kutokana na idadi kubwa ya watu
Changamoto za Jiji hili kwa kiwango kikubwa zimetatuliwa na mkuu wa mkoa huu mheahimiwa Paul Makonda
Ndani ya Dar kuna majimbo yaliyo na wabunge wao, pasipo kujali jimbo la ccm au chadema, makonda amepeleka maendeleo kila kona ya jiji
Ndani ya jiji hospitali zimejengwa na zinaendelea kujengwa kwa juhudi zake
ofisi za walimu katika shule zote tena za kisasa ndani ya jiji zimejengwa
Barabara kwa kiwango cha lami na madaraja hapa jijini zinajengwa
Mtetezi wa wanyonge hasa wanawake wajane, mama ntilie na makundivyote makonda anatetea sana
kampeni ya usafi, Dar ya makonda inang'aa
kwa sasa Dar nzima inamtaka makonda agombee na kila jimbo linamuhitaji
Heri ya sikukuu ya krismasi na mwaka mpya wa 2020 JF
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatieni, Dar es salaam ndio mji mkubwa Tanzania na unachangamoto lukuki kutokana na idadi kubwa ya watu
Changamoto za Jiji hili kwa kiwango kikubwa zimetatuliwa na mkuu wa mkoa huu mheahimiwa Paul Makonda
Ndani ya Dar kuna majimbo yaliyo na wabunge wao, pasipo kujali jimbo la ccm au chadema, makonda amepeleka maendeleo kila kona ya jiji
Ndani ya jiji hospitali zimejengwa na zinaendelea kujengwa kwa juhudi zake
ofisi za walimu katika shule zote tena za kisasa ndani ya jiji zimejengwa
Barabara kwa kiwango cha lami na madaraja hapa jijini zinajengwa
Mtetezi wa wanyonge hasa wanawake wajane, mama ntilie na makundivyote makonda anatetea sana
kampeni ya usafi, Dar ya makonda inang'aa
kwa sasa Dar nzima inamtaka makonda agombee na kila jimbo linamuhitaji
Nikiitwa Bashite napigana.Heri ya sikukuu ya krismasi na mwaka mpya wa 2020 JF
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatieni, Dar es salaam ndio mji mkubwa Tanzania na unachangamoto lukuki kutokana na idadi kubwa ya watu
Changamoto za Jiji hili kwa kiwango kikubwa zimetatuliwa na mkuu wa mkoa huu mheahimiwa Paul Makonda
Ndani ya Dar kuna majimbo yaliyo na wabunge wao, pasipo kujali jimbo la ccm au chadema, makonda amepeleka maendeleo kila kona ya jiji
Ndani ya jiji hospitali zimejengwa na zinaendelea kujengwa kwa juhudi zake
ofisi za walimu katika shule zote tena za kisasa ndani ya jiji zimejengwa
Barabara kwa kiwango cha lami na madaraja hapa jijini zinajengwa
Mtetezi wa wanyonge hasa wanawake wajane, mama ntilie na makundivyote makonda anatetea sana
kampeni ya usafi, Dar ya makonda inang'aa
kwa sasa Dar nzima inamtaka makonda agombee na kila jimbo linamuhitaji
hizo kodi hazipelekwi mikoa mingine?Mleta mada ni kichaaa..maendeleo yanaletwa na mtu au na kodi zetu???Wakuu wa mikoa wanalpwa na kodi zetu au na nanii...hv kwnn wazazi wenu waliopoteza pesa nyingi kwa ajili yenu hamuwaonei huruma kw kuonyesha thamani ya elimu waliyo wapa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni yeye hakuna tatizo. Wewe account yako iko verified?Wewe bashite verify account yako...
Vip hayo maendeleo hayana uhusiano wowote na ujenzi wa miundombinu kule kwa Mwita sio sehemu ya Dsm?Heri ya sikukuu ya krismasi na mwaka mpya wa 2020 JF
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatieni, Dar es salaam ndio mji mkubwa Tanzania na unachangamoto lukuki kutokana na idadi kubwa ya watu
Changamoto za Jiji hili kwa kiwango kikubwa zimetatuliwa na mkuu wa mkoa huu mheahimiwa Paul Makonda
Ndani ya Dar kuna majimbo yaliyo na wabunge wao, pasipo kujali jimbo la ccm au chadema, makonda amepeleka maendeleo kila kona ya jiji
Ndani ya jiji hospitali zimejengwa na zinaendelea kujengwa kwa juhudi zake
ofisi za walimu katika shule zote tena za kisasa ndani ya jiji zimejengwa
Barabara kwa kiwango cha lami na madaraja hapa jijini zinajengwa
Mtetezi wa wanyonge hasa wanawake wajane, mama ntilie na makundivyote makonda anatetea sana
kampeni ya usafi, Dar ya makonda inang'aa
kwa sasa Dar nzima inamtaka makonda agombee na kila jimbo linamuhitaji
Mkuu wa itifaki ndio anapsngani kwa akili hizi ndiyo maana hata wakati wa mkutano wa SADC yeye ndiye aliwapokea wageni badala ya mameya. mjinga sana BASHITE.
Maendeleo yetu ni mchango mkubwa wa RC MAKONDA wapo watakao bidhaa hili ambao wameshindwa hata kuongoza familia zao. Kuongoza ni kipaji toka kwa Mungu mwenyewe.Heri ya sikukuu ya krismasi na mwaka mpya wa 2020 JF
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatieni, Dar es salaam ndio mji mkubwa Tanzania na unachangamoto lukuki kutokana na idadi kubwa ya watu
Changamoto za Jiji hili kwa kiwango kikubwa zimetatuliwa na mkuu wa mkoa huu mheahimiwa Paul Makonda
Ndani ya Dar kuna majimbo yaliyo na wabunge wao, pasipo kujali jimbo la ccm au chadema, makonda amepeleka maendeleo kila kona ya jiji
Ndani ya jiji hospitali zimejengwa na zinaendelea kujengwa kwa juhudi zake
ofisi za walimu katika shule zote tena za kisasa ndani ya jiji zimejengwa
Barabara kwa kiwango cha lami na madaraja hapa jijini zinajengwa
Mtetezi wa wanyonge hasa wanawake wajane, mama ntilie na makundivyote makonda anatetea sana
kampeni ya usafi, Dar ya makonda inang'aa
kwa sasa Dar nzima inamtaka makonda agombee na kila jimbo linamuhitaji
Ili iwejeKama ni yeye hakuna tatizo. Wewe account yako iko verified?