Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,236
Sawa sawa mzee wa chato... Tanzania kua km ulaya.
Hakuna shule za kutosha na zilizopo hazina madawati ya kutosha lkn pia hakuna waalimu na vifaa vya kufundishia. Achilia mbali adha ya hospitali zetu ambazo hazina wahudumu wala vifaa tiba...
Watu wajinga km nyie ndio mnasababisha madikteta wawepo Afrika.
Hakuna shule za kutosha na zilizopo hazina madawati ya kutosha lkn pia hakuna waalimu na vifaa vya kufundishia. Achilia mbali adha ya hospitali zetu ambazo hazina wahudumu wala vifaa tiba...
Watu wajinga km nyie ndio mnasababisha madikteta wawepo Afrika.