ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Tatizo la Bukoba ni serkali,mchawi wa Kagera ni serkali mbaya wa maendeleo ya Bukoba ni ccm,tangia Nyerere mkoa ulitengwa kuanzie elimu,afya na miundo mbinu hakuna bahati mbaya hii ni mikakati iliyoasisiwa kwa wivu wa maendeleo tuliyokuwa nayo mapema.
Mwaka 1928 mji ulikuwa unakuwa kwa kasi lakini Nyerere akaona wivu ndo ukaandaliwa mkakati wa kudhoofisha Bukoba na Kagera kwa ujumla nakutengeneza sheria za uhujumu uchumi wakataifisha mali za watu watu waliamua kubeba vitu vyao vya thamani na kwenda kuvitelekeza maporini ili visikutwe nyumbani vitu kama mabati,tv,pikipiki,baiskeli ata fedha nyingi zilichimbiwa ardhiri na wengi walisahau walikoziweka.
Nyumba za watu zilichukuliwa na serkali watu wenye pesa zao ambao ndio walikuwa wafanyabiashara wakakimbia nchi wakiogopa kufungwa,wengi walikimbilia Uingereza,Ujerumani,Marekani nakwingineko.
Juhudi za kudidimiza Kagera ziliendelea wawekezaji wengi walitaka kujenga viwanda Kagera lakini walikataliwa na kuelekezwa Mwanza, nataka niwambie Nchii Kagera ina hali ya hewa nzuri ya kuishi kuliko mikoa mingi apa nchini Kagera ina ardhi yenye rutuba kuliko mikoa mingine lakini pia ina ardhi ya kutosha kwaajili ya kilimo cha kibishara.
Upande wa stendi kuu na soko kuu la Bukoba kama walivyosema watangulizi apo juu hakuna kabila la kujenga stendi au soko,hakuna kanuni wala sheria inayotoa nafasi kufanya ivyo swala la stendi nila serkali serkali kushindwa kujenga stendi na soko ni mwendelezo wa kuididimiza Kagera ila katika awamu zote za utawala awamu ya tano imefunga record maana babala ya kupeleka fedha za maendeleo waliamua kubeba ata za misaada mfano mzuri nizile B60 zilizotolewa kwaajili ya wahanga wa TETEMEKO LA ARDHI 2016 tuliambulia B3 tu zilizojenga shule ya Ihyungo japo na penyewe ni utata mtupu maana kuna tetesi kuwa shule ilijengwa na makampuni mawili ndio walitoa hizo B3.
Mvutano uliomshinda Kikwete akiwa Rais alipofika Kagera na kukutana na Kagasheki aliyekuwa Mbunge wakati ule na aliyekuwa Meya wa mji Dr.Amani Rais alishindwa kutatatua mgogoro ule uliokuwa wa kimaslahi kati ya Ccm,Mbunge na Meya soko kuu halikujengwa na stendi pia.
2014 wanaBukoba wakafanya mabadiliko makubwa serkali za mitaa wakafuta wenyeviti wote wa mitaa na wajumbe wake 2015 madiwani 70 wakatoka upinzani na Mbunge iliyopelekea Meya na Naibu wake kutoka upinzani ndio muda Magufuli aliingia madarakani akaelekeza tamisemi waondoe makusanyo yote ya halmashauri kurudi serkali kuu halmashauri nyingi zikadhoofika nyingine zikishindwa kujiendesha nakutishiwa kufutwa lakini Manispaa ya Bukoba ilijibana na kufanikiwa kujenga stendi mpya Kyakairabwa uku wakishindana na serkali kutokana na fedha za ndani chini ya usimamizi makini wa Meya kijana Chief Karumuna na Naibu Meya Jimmy Karugendo walifanya kazi kubwa uku wakiunganisha makundi yaliyokuwa asimu
2019 Mwendazake kamwagaanyanga akachukua wenyeviti wote serkali za mitaa na wajumbe wake 2020 akachukua madiwani,wabunge na Urais chakwanza alielekeza Tamisemi warudishe makusanyo kwenye halmashauri lakini kwa upande wa Bukoba pamoja na kurudishiwa makusanyo wakaanzisha mgogoro mpya wakidai stendi ya Kyakairabwa ikiendelezwa watawainua CHADEMA kwahiyo 2024/25 watabwagwa kwenye UCHAGUZI.
Mungu akiwa fundi mkuu akatwangwa mtu na kufanya utulivu wa muda nchini.
Nimeweka michoro ya Stendi mpya iliyojengwa Kyakairabwa ambayo Kama ingekamilika ingebadili hali ya mji na mkoa kwa ujumla.
Lakini pia nimeweka na picha ya stendi inayotumika sasa ivi na soko kuu la Bukoba ni aibu kwa serkali inayojinasibu na uchumi wa kati.
Mwaka 1928 mji ulikuwa unakuwa kwa kasi lakini Nyerere akaona wivu ndo ukaandaliwa mkakati wa kudhoofisha Bukoba na Kagera kwa ujumla nakutengeneza sheria za uhujumu uchumi wakataifisha mali za watu watu waliamua kubeba vitu vyao vya thamani na kwenda kuvitelekeza maporini ili visikutwe nyumbani vitu kama mabati,tv,pikipiki,baiskeli ata fedha nyingi zilichimbiwa ardhiri na wengi walisahau walikoziweka.
Nyumba za watu zilichukuliwa na serkali watu wenye pesa zao ambao ndio walikuwa wafanyabiashara wakakimbia nchi wakiogopa kufungwa,wengi walikimbilia Uingereza,Ujerumani,Marekani nakwingineko.
Juhudi za kudidimiza Kagera ziliendelea wawekezaji wengi walitaka kujenga viwanda Kagera lakini walikataliwa na kuelekezwa Mwanza, nataka niwambie Nchii Kagera ina hali ya hewa nzuri ya kuishi kuliko mikoa mingi apa nchini Kagera ina ardhi yenye rutuba kuliko mikoa mingine lakini pia ina ardhi ya kutosha kwaajili ya kilimo cha kibishara.
Upande wa stendi kuu na soko kuu la Bukoba kama walivyosema watangulizi apo juu hakuna kabila la kujenga stendi au soko,hakuna kanuni wala sheria inayotoa nafasi kufanya ivyo swala la stendi nila serkali serkali kushindwa kujenga stendi na soko ni mwendelezo wa kuididimiza Kagera ila katika awamu zote za utawala awamu ya tano imefunga record maana babala ya kupeleka fedha za maendeleo waliamua kubeba ata za misaada mfano mzuri nizile B60 zilizotolewa kwaajili ya wahanga wa TETEMEKO LA ARDHI 2016 tuliambulia B3 tu zilizojenga shule ya Ihyungo japo na penyewe ni utata mtupu maana kuna tetesi kuwa shule ilijengwa na makampuni mawili ndio walitoa hizo B3.
Mvutano uliomshinda Kikwete akiwa Rais alipofika Kagera na kukutana na Kagasheki aliyekuwa Mbunge wakati ule na aliyekuwa Meya wa mji Dr.Amani Rais alishindwa kutatatua mgogoro ule uliokuwa wa kimaslahi kati ya Ccm,Mbunge na Meya soko kuu halikujengwa na stendi pia.
2014 wanaBukoba wakafanya mabadiliko makubwa serkali za mitaa wakafuta wenyeviti wote wa mitaa na wajumbe wake 2015 madiwani 70 wakatoka upinzani na Mbunge iliyopelekea Meya na Naibu wake kutoka upinzani ndio muda Magufuli aliingia madarakani akaelekeza tamisemi waondoe makusanyo yote ya halmashauri kurudi serkali kuu halmashauri nyingi zikadhoofika nyingine zikishindwa kujiendesha nakutishiwa kufutwa lakini Manispaa ya Bukoba ilijibana na kufanikiwa kujenga stendi mpya Kyakairabwa uku wakishindana na serkali kutokana na fedha za ndani chini ya usimamizi makini wa Meya kijana Chief Karumuna na Naibu Meya Jimmy Karugendo walifanya kazi kubwa uku wakiunganisha makundi yaliyokuwa asimu
2019 Mwendazake kamwagaanyanga akachukua wenyeviti wote serkali za mitaa na wajumbe wake 2020 akachukua madiwani,wabunge na Urais chakwanza alielekeza Tamisemi warudishe makusanyo kwenye halmashauri lakini kwa upande wa Bukoba pamoja na kurudishiwa makusanyo wakaanzisha mgogoro mpya wakidai stendi ya Kyakairabwa ikiendelezwa watawainua CHADEMA kwahiyo 2024/25 watabwagwa kwenye UCHAGUZI.
Mungu akiwa fundi mkuu akatwangwa mtu na kufanya utulivu wa muda nchini.
Nimeweka michoro ya Stendi mpya iliyojengwa Kyakairabwa ambayo Kama ingekamilika ingebadili hali ya mji na mkoa kwa ujumla.
Lakini pia nimeweka na picha ya stendi inayotumika sasa ivi na soko kuu la Bukoba ni aibu kwa serkali inayojinasibu na uchumi wa kati.